Kufuru katika msiba wa bilionea Sambeke Arusha

Kufuru katika msiba wa bilionea Sambeke Arusha

Hata kama ana bilioni 10 bado ni bilionea kwa maisha ya kitanzania . Kwahiyo ni sawa tukimwita bilionea wa kitanzania . wacheni wivu bhana .
 
Ni kwa sababu hukumjua au hukuwahi kuishi karibu na mtu huyo ndio maana unapata shaka.
Kwa tuliomjua kwa karibu tunajua jinsi mwanaume yule alivyokuwa na uwezo wa kutisha wa senti, ikiwa ni pamoja na vision za hali ya juu za maendeleo.
Yeye alikuwa akiongelea kuhusu kuanzisha Flying School, kitu ambacho hata serikali haijawahi kuwaza hilo.
Tatizo kubwa la mabwiga wa Moshi hasa wachaga ni kusifia watu wenye vijifedha.....na wewe utakuwa mchaga tu piga nakuona na miguu baja ya kichaga......wachaga ukiwapa ofa ya bia siku ya krisimasi na kuwachinjia mbuzi watakusifu mwaka mzima.....


Ubilionea wa huyu mwizi ni upi??? mnatakatisha pesa mambwiga nyie.....jamaa kaiba alikuwa muizi jambazi la kukubuhu..kuanzisha flying school kwa pesa za wizi unamsifia mchaga wewe?? kakwiba mijihela ya watu....ananuka damu marehemu...wengi wamefurahia....kaulize nairobi jamaaa kaacha wajane na watoto hawana wazazi wangapi.......
 
Hizo biashara zilizomfanya akawa bilionea mbona haziwekwi wazi?zimetoa ajira kwa watu wangapi?

Swali muhimu sana hili. Binafsi, rudia Binafsi nitamkubali mtu kuwa ni Bilionea iwapo tu:

.Amejenga na anamiliki japo hoteli mbili za Nyota 4 ama 5 ambazo zinatoa ajira kwa watanzania wenzetu kadhaa.
.Ana Kampuni ya Usafirishaji kwa mabasi/malori, ma-tanker nk inayotoa ajira kwa watanzania.
.Ana Mashamba makuubwa ya mazao muhimu kama Kahawa/ngano nk ambayo huuza nje na kutuingia fedha za kigemni kupitia yeye.
.Anamiliki Hospitali Kubwa ya binafsi ambayo watanzania hupata huduma iliyokamilika ya matibabu japo kwa kulipia.
.Ana miliki vyombo vya habari kadhaa; TV, redio na magazeti...
.Biashara zote hizo ANAZILIPIA KODI inavyostahili.

Kwangu mimi, rudia kwangu mimi, mtu anayemiliki hivi japo kwa nusu yake naweza kukubali akiitwa Bilionea. Huu ubilionea wa vijiweni wa kumpa mtu kwa sababu tu ana uwezo wa kubadilisha mboga, suruali, magari nk ambavyo wewe huna unatia shaka kidogo.Ni mawazo Yangu.:A S 39:



.

 
ajali_sembeke.jpg




Aina hii ya ndege si ndio zile zilizokuwa zinatumika kumwagilia dawa mashambani? RIP Bilionea
 
[TABLE="width: 0"]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TH="class: digests lhead active asc, bgcolor: transparent"]Rank[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Name[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Net Worth[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Age[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Source[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Country of Citizenship[/TH]
[/TR]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="class: rank, bgcolor: transparent"]1[/TD]
[TD="class: company, bgcolor: transparent"] Carlos Slim Helu & family

[/TD]
[TD="class: worth, bgcolor: transparent"]$73 B[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]73[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]telecom[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Mexico[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="class: rank, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: company, bgcolor: transparent"] Bill Gates

[/TD]
[TD="class: worth, bgcolor: transparent"]$67 B[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]57[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Microsoft[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]United States[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="class: rank, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="class: company, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="class: worth, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="width: 0"]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TH="class: digests lhead active asc, bgcolor: transparent"]Rank[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Name[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Net Worth[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Age[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Source[/TH]
[TH="class: digests lhead, bgcolor: transparent"]Country of Citizenship[/TH]
[/TR]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="class: rank, bgcolor: transparent"]1[/TD]
[TD="class: company, bgcolor: transparent"] Carlos Slim Helu & family

[/TD]
[TD="class: worth, bgcolor: transparent"]$73 B[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]73[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]telecom[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Mexico[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="class: rank, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: company, bgcolor: transparent"] Bill Gates

[/TD]
[TD="class: worth, bgcolor: transparent"]$67 B[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]57[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Microsoft[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]United States[/TD]
[/TR]
[TR="bgcolor: transparent"]
[TD="class: rank, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="class: company, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="class: worth, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Slim na Bill Gates sijui wataitwaje aisee,,,ila kwa level yetu ni ka-Millionaire
 
Hivi unaweza fanya makubwa hata kwa pesa chafu??

There in no such a thing as 'pesa chafu', Kiongozi. Pesa ni pesa, unaweza kutumia 'njia chafu' kupata pesa, but once you get it, ni pesa. Na kwa Babu, the end justfy the means!
 
Mkuu hilo ni jukumu lako kumpima kwa standard unazozijua wewe mwenyewe.Lakini kwa standard zetu amefuzu kuwa bilionea!
Nyinyi ndiyo mliokuja na tafsiri yenu ya umasikini kwamba mtu yeyote mwenye kipato chini ya U.S Dollar moja ni masikini,wakati huku bongo mtu anaweza kupata mahitaji yake yote ya msingi ilihali hana uwezo wa kuingiza U.S Dollar moja kwa siku!Tokeni na viwango vyenu sisi tunasonga mbele na viwango vyetu!

Haya bwana... nlichogundua ni kwamba angalau unajua kusoma na kuandika.
 
Kwa kweli vijana siku hizi mmeloose track. Yaan kuona ubwabwa mwingi na soda/beer ndo kufuru? Jamani, hebu mjitafakari na muone aibu kuongeaongea pumba! Pumbaaa.....v. Oooh sorry, pumba !
Pia, kazi yenu kubishania utajiri wa watu tu! Hakuna la maana lolote! Hebu bishaneni kwa nini Matajiri wa Ki-bongo hawanulfaishi/wananufaishaje jami inayowazunguka?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Da kindege kama cha kunyunyizia madawa ya kuua panzi na ndege wa kweleakwelea kwenye mashamba nakumbuka vimeuzwa laki tano tano tu.Matajri wa Arusha wana mambo,mwaka huu wapambe watapata shida sana kwani''mabilionea ''wao kama watatu wote wanakufa kwa ''ajali'
 
R.I.P Kamanda,
Babuu Sambeke ni mfano wa kuigwa haswa kwa taifa lenye watu legelege kama hili letu la Tanzania,
Kwan Babu alikuwa ana ujasiri uliopitiliza,kwake neno haiwezekani ilikuwa hamna kabisa chochote akiitaji anapata kwa njia yeyote ile iwe kwa hiari ama kimabavu.
Laiti tungewapata Watanzania wengi wenye moyo mgumu kama aliyokuwa nao Babuu bila shaka tungeweza kuwanyoosha hawa viongozi legelege katika nchi yetu.

No matter what, Babuu alikuwa ni Bilionea na tajiri wake aliupata wakat wa vita ya Rwanda miaka ile ya 90s ndo alikuwa akiitwa Babu Sambeke kweli....
Nakumbuka kipindi hicho alikuwa ana Girl Friend wake mtoto wa Mama Kuku wanatembea na Jeep Banda wazi, Babuu kukupatia laki 5 bure alikuwa hata awazi hiyo ni miaka ya 90s.
 
Hata kama tunalima wenyewe,ukiwa mwingi zaidi ya kawaida ni kufuru mkuu!

Mkuu, kama ulimwaga labd hapo ndio pana kufuru, lakini umeliwa ukaisha? kuna tatizo hapo? Labda hawakutaka yale yanayotukuta kwenye misiba yetu kuwa waombolezaji wanakuwa wengi kuliko ubwabwa! Tunaishia kusema suna, suna wapi wakati umeisha?
 
Ona mawazo ya kimasikini haya,mtu kutembea na girlfrend ktk jeep ni bilionea? Eti katajirikia vita ya rwanda,alifanya biashara gani ama kampuni gani anayoimiliki?
Kwanza ktk taarifa iliandikwa alikuwa pilot wa wakili,whats wrong? Jeep millioni 10 ama 20 unapata ndio ubilionea?



R.I.P Kamanda,
Babuu Sambeke ni mfano wa kuigwa haswa kwa taifa lenye watu legelege kama hili letu la Tanzania,
Kwan Babu alikuwa ana ujasiri uliopitiliza,kwake neno haiwezekani ilikuwa hamna kabisa chochote akiitaji anapata kwa njia yeyote ile iwe kwa hiari ama kimabavu.
Laiti tungewapata Watanzania wengi wenye moyo mgumu kama aliyokuwa nao Babuu bila shaka tungeweza kuwanyoosha hawa viongozi legelege katika nchi yetu.

No matter what, Babuu alikuwa ni Bilionea na tajiri wake aliupata wakat wa vita ya Rwanda miaka ile ya 90s ndo alikuwa akiitwa Babu Sambeke kweli....
Nakumbuka kipindi hicho alikuwa ana Girl Friend wake mtoto wa Mama Kuku wanatembea na Jeep Banda wazi, Babuu kukupatia laki 5 bure alikuwa hata awazi hiyo ni miaka ya 90s.
 
hao ndugu zangu kazi ipo.....mchele umekua ubilionea siku hizi!!!!
 
Mkuu, kama ulimwaga labd hapo ndio pana kufuru, lakini umeliwa ukaisha? kuna tatizo hapo? Labda hawakutaka yale yanayotukuta kwenye misiba yetu kuwa waombolezaji wanakuwa wengi kuliko ubwabwa! Tunaishia kusema suna, suna wapi wakati umeisha?

Mkuu inaonekana watu walikula na kusaza na kilichobaki kilimwagwa!
 
Back
Top Bottom