Kufuru katika msiba wa bilionea Sambeke Arusha

Kufuru katika msiba wa bilionea Sambeke Arusha

Ni kwa sababu hukumjua au hukuwahi kuishi karibu na mtu huyo ndio maana unapata shaka.
Kwa tuliomjua kwa karibu tunajua jinsi mwanaume yule alivyokuwa na uwezo wa kutisha wa senti, ikiwa ni pamoja na vision za hali ya juu za maendeleo.
Yeye alikuwa akiongelea kuhusu kuanzisha Flying School, kitu ambacho hata serikali haijawahi kuwaza hilo.
ha haa kweli Bob Sambeke ni zaidi ya serikali ya JK.
 
Mkuu PakaJimmy huyu jamaa alikuwa anajishugulisha na biashara gani?

Flying school inafaida gani kwa jamii masikini ya kitanzania?
Mkuu,
Ni aibu kuwa na mawazo ya aina hii hadi karne hii!
Unauliza maana ya FS ?...labda ni kwasababu jambo usilolijua ni kama usiku wa giza!
Nitakupa mfano mdogo tu wa kampuni ya Ndege ya COASTAL ambayo najua unaijua vizuri!
Ile kampuni ina ndege kama 12 au zaidi hadi sasa, na ni kama kampuni ya kizalendo japo inamilikiwa na mzungu aliyelowea. Ukienda pale ofisini ukawauliza kuna marubani wangapi wazalendo Vs Wazungu utasikitika sana. Hivi wazungu wana nini hadi waje kuendesha ndege zinazofanya kazi nchini kwetu?..sisi ni mbumbumbu kiasi hicho?...hell No!
 
Hahahaha. Kila kitu friimasoni siku hizi. Afu na wewe siku hizi naskia uko kwenye huo mtandao ndo maana una mahela kibao. Bisha
mzizimkavu is losing is cool and direction

labda friimeson wameshamla kichwa na maimani yake meusi

kama wewe umezoea kula nyumbani kwako ubwabwa na finyango moja, wenzio tinafanya diet. Nyama kg moja na ubwabwa tonge moja.
Kusema ni nyingi mno is a very relative term. Haitoshi kuwa kufuru.
Hapana mkuu,issue ni kiasi cha ubwabwa,nyama pamoja na vinywaji vipo vingi mno!
 
Sasakufuru hapo ni ubwabwa jamani? Waandishi wa habari bwana!

Hata mimi nimeshangaa, na nilitegemea habari hii imeandikwa na gazeti la ijumaa kumbe MWANANCHI!..siamini Mwananchi nao wanareport kiudaku kiasi hicho...SHAME!
R.I.P Bob!
 
Mmh, chakula cha kupimiwa hicho??
Kule kwetu misiba tunachinja ng'ombe hata 10 na mchele 'masefuria na masefuria'
 
Hapana mkuu,issue ni kiasi cha ubwabwa,nyama pamoja na vinywaji vipo vingi mno!
tumefikia huku? Mungu aturehemu na huu utamaduni wetu mpya wa kuwananga marehemu woote wa Kaskazini! Kufuru ni vinywaji na vyakula kwenye msiba! Yaani hizi chuki sijui zitatufikisha wapi?
 
Mkuu PakaJimmy huyu jamaa alikuwa anajishugulisha na biashara gani?

Flying school inafaida gani kwa jamii masikini ya kitanzania?

Kwani shule za VETA au Chuo chochote kina faida gani kwa Maskini wa kitanzania? Fungua macho mkuu, you are better than that!
 
Nyingi mno inaanzia finyango ngapi??

Naweza kuwa bilionea maana mie kila mtu nyumbani anamaliza mbuzi wake

kama wewe umezoea kula nyumbani kwako ubwabwa na finyango moja, wenzio tinafanya diet. Nyama kg moja na ubwabwa tonge moja.
Kusema ni nyingi mno is a very relative term. Haitoshi kuwa kufuru.
 
Ni kwa sababu hukumjua au hukuwahi kuishi karibu na mtu huyo ndio maana unapata shaka.
Kwa tuliomjua kwa karibu tunajua jinsi mwanaume yule alivyokuwa na uwezo wa kutisha wa senti, ikiwa ni pamoja na vision za hali ya juu za maendeleo.
Yeye alikuwa akiongelea kuhusu kuanzisha Flying School, kitu ambacho hata serikali haijawahi kuwaza hilo.

Kama mungu angemjalia maisha marefu Babu angefanya mambo mengi makubwa (hilo halina ubishi). Tofauti na watu wengi wenye pesa, pride ya Babu ilikuwa zaidi kwenye 'achievement' ya kitu - by 'any means'. Kwake the word 'Impossible' lilikuwa mwiko.
 
Hebu tuwekee picha

Ukute walikuwa wanakuwa ugali kwa samaki wa kuchora weeeeengi
 
Hivi unaweza fanya makubwa hata kwa pesa chafu??

Kama mungu angemjalia maisha marefu Babu angefanya mambo mengi makubwa (hilo halina ubishi). Tofauti na watu wengi wenye pesa, pride ya Babu ilikuwa zaidi kwenye 'achievement' ya kitu - by 'any means'. Kwake the word 'Impossible' lilikuwa mwiko.
 
Wakuu kwa sisi wachaga msiba ni sherehe ya mwisho ya marehemu, hivyo tunachanga hela tunakula na kunywa
 
Hata mimi nimeshangaa, na nilitegemea habari hii imeandikwa na gazeti la ijumaa kumbe MWANANCHI!..siamini Mwananchi nao wanareport kiudaku kiasi hicho...SHAME!
R.I.P Bob!
ushaambiwa imeandikwa na "Juma Mussa" ameenda msibani kuangalia cha kuandika na ndicho alichoona alishindwa tu kusema kama chakula hicho kilimwagwa au kililiwa choote?
 
Ni kwa sababu hukumjua au hukuwahi kuishi karibu na mtu huyo ndio maana unapata shaka.
Kwa tuliomjua kwa karibu tunajua jinsi mwanaume yule alivyokuwa na uwezo wa kutisha wa senti, ikiwa ni pamoja na vision za hali ya juu za maendeleo.
Yeye alikuwa akiongelea kuhusu kuanzisha Flying School, kitu ambacho hata serikali haijawahi kuwaza hilo.

rubbish. muiteni bilionea huko kwenu. tuwekeeni "net worth" yake hapa tumpime kwa standards zinazotambulika kote duniani. Alikuwa anafanya shughuli gan kwanza??? ametoa ajira ngapi??
 
Kweli watu wakishakufa wanageuka watakatifu.

You are right! Ever read "THE GODFATHER 1-111". Thats the scene when the not so saint team up with politicians, civil servants and the underworld and do you know what is the result of this chemistry? The society starts being ruled by the Mafiosi.
 
Hizo biashara zilizomfanya akawa bilionea mbona haziwekwi wazi?zimetoa ajira kwa watu wangapi?
 
Hahahaha. Kila kitu friimasoni siku hizi. Afu na wewe siku hizi naskia uko kwenye huo mtandao ndo maana una mahela kibao. Bisha

kama wewe umezoea kula nyumbani kwako ubwabwa na finyango moja, wenzio tinafanya diet. Nyama kg moja na ubwabwa tonge moja.
Kusema ni nyingi mno is a very relative term. Haitoshi kuwa kufuru.
Sawa mkuu,ndiyo maana sisi tunaona vitu vya ajabu kulingana na level ya maisha yetu!

Na wewe kwa upande wako hupaswi kutushangaa sisi tunao mshangaa huyo bilionea!
 
Mkuu,
Ni aibu kuwa na mawazo ya aina hii hadi karne hii!
Unauliza maana ya FS ?...labda ni kwasababu jambo usilolijua ni kama usiku wa giza!
Nitakupa mfano mdogo tu wa kampuni ya Ndege ya COASTAL ambayo najua unaijua vizuri!
Ile kampuni ina ndege kama 12 au zaidi hadi sasa, na ni kama kampuni ya kizalendo japo inamilikiwa na mzungu aliyelowea. Ukienda pale ofisini ukawauliza kuna marubani wangapi wazalendo Vs Wazungu utasikitika sana. Hivi wazungu wana nini hadi waje kuendesha ndege zinazofanya kazi nchini kwetu?..sisi ni mbumbumbu kiasi hicho?...hell No!
Mkuu una point nyingi na hoja za msingi,lakini huna busara kwa kuwa unashambulia badala ya kuelimisha!

Muuliza swali anaweza kuwa mjinga lakini mjibu swali anaweza kuwa mjinga zaidi!
 
Back
Top Bottom