Kufuru katika msiba wa bilionea Sambeke Arusha

Kufuru katika msiba wa bilionea Sambeke Arusha

me nimesoma moshi tech.nilikuaga nasikia story zke na ndege nimeshawah kuiona ila cjui sura yake inafananaje.

rip Sambeke
 
Kufuru iko wapi ,nilijua wanagawa pesa kwa kila anayekwenda kuhani, labda wekundu mmoja hivi.....................
 
Bwana alitoa na hatimaye ametwaa,jina lake lihimidiwe! Kesho sijui ni zamu ya nani kutwaliwa!!? Kweli duniani tunapita!!, Kila kitu tutaacha,napata uchungu niitazamapo nyumba yangu! yaan ipo cku na mimi nitaiacha!!!!!???!!!!???
 
Huyo angekuwa Bilionea angemiliki ki-School Bus hicho. Kuna watu nchi hii wametulia hawana mbwembwe mitaani wanatisha, hiyo kununua ka-School Bus hako inawezekana ni hobi yake lakini kuna watu wana uwezo wa Jet hapa hapa Bongo lakini wametulia kwa sababu sio hobi yao.
 
Teh teh teh!kuku anamiliki mali gani?acha kuchekesha walionuna!
Ukiwa na mawazo ya utoto unaweza kufikiri hakuna mtu tajiri duniani kama Baba yako, kwa kuwa tu anakupa ugali kila siku.
 
Kumbe wote walifanyiwa mema,wako wapi waliodhulumiwa na ku ba kwa?wampe sifa pia
 
Naona msafara wakwenda moshi kwaajili ya mazishi unaongozwa na pikipiki ya polisi.
 
Jet-setters: Billionaires with Expensive Private Jets



Bombardier-BD-700-Global-Express-interior.jpg
Hao ni billionaires in terms of TZshilings?
 
R.I.P kamanda Sambeke.....kifo chako kimeacha mtafaruku mpaka huku JF....wapo wanaokuponda na bado wanatumia muda mkubwa kuweka mabandiko hapa JF...... Ni great thinkers hawa nao..... Haijalishi ulikuwa milionea au bilionea ila la muhimu ni mtu mwenye ujasiri wa kuingia front....... Wapo wanadai pesa yako chafu ilhali hawamsemi mwenye pesa safi...... Wapo wanaokulinganisha na ndege za akina bill gate il hali wanasahau hata viwanja vyetu vya ndege havina miundo mbinu inayoweza support ndege za maana......... Wapo tunaoponda mali zako ingawa hatunazo.... R.I.P sambeke wote wanaokusifia na hata wanaokuponda wametumia muda wao pia hii ni kuonesha umuhimu wako...... R.I.P bob
 
Kwa kweli vijana siku hizi mmeloose track. Yaan kuona ubwabwa mwingi na soda/beer ndo kufuru? Jamani, hebu mjitafakari na muone aibu kuongeaongea pumba! Pumbaaa.....v. Oooh sorry, pumba !
Pia, kazi yenu kubishania utajiri wa watu tu! Hakuna la maana lolote! Hebu bishaneni kwa nini Matajiri wa Ki-bongo hawanulfaishi/wananufaishaje jami inayowazunguka?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums


Yes, dat is the point I was waiting for...Asilimia kubwa ya Matajiri wa Kibongo ni wa Binafsi mno, hawana mpango wa kuwanufaisha wengine kupitia mgongo wao...unless uwe mtu wake wa karibu saaaaaaana! Hata ukimchunguza huyo tajiri aliyekufa utaona its a true fact!
 
Ni kwa sababu hukumjua au hukuwahi kuishi karibu na mtu huyo ndio maana unapata shaka.
Kwa tuliomjua kwa karibu tunajua jinsi mwanaume yule alivyokuwa na uwezo wa kutisha wa senti, ikiwa ni pamoja na vision za hali ya juu za maendeleo.
Yeye alikuwa akiongelea kuhusu kuanzisha Flying School, kitu ambacho hata serikali haijawahi kuwaza hilo.

Kigugumizi! Bilionea?? Flying school?! Really?!
 
Kufuru kunywa soda na kula wali waandishi wa habari punguzeni mbwembwe basi


Don't give up

Tomorrow is the new day
 
Kipindi hiyo huu uzi kuna kina 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 wanasoma TEHAMA ubaoni.Mouse unachorewa na motherboard unadadafuliwa kwa ubao.
Daah siku zinaenda.
 
me nimesoma moshi tech.nilikuaga nasikia story zke na ndege nimeshawah kuiona ila cjui sura yake inafananaje.

rip Sambeke
Hukuwa unajongo kwenda karanga na mjini kwa mguu kwani ulikuwa u amuogopa mwl. Mpande na Malisa?
Huyo Babu alikuwa Cha utundu tangu akisoma kibo na alikuwa akiwasarandia Sana mabinti wa Serengeti muda wote! Mwaka 1982 alikatwa fensi kwa ajili ya kuwapitisha mabinti! Alikuwa mtu wa vurugu tu na mpikipiki wake wenye kelele!
 
Hukuwa unajongo kwenda karanga na mjini kwa mguu kwani ulikuwa u amuogopa mwl. Mpande na Malisa?
Huyo Babu alikuwa Cha utundu tangu akisoma kibo na alikuwa akiwasarandia Sana mabinti wa Serengeti muda wote! Mwaka 1982 alikatwa fensi kwa ajili ya kuwapitisha mabinti! Alikuwa mtu wa vurugu tu na mpikipiki wake wenye kelele!
piki piki kama ya mwl. nkya

missing moshi tech, my advance school

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom