Kufungulia Nchi? Kurudi Kujivunia Umaskini?

Ukweli mwingine ambao mpaka sasa hausemwi.

Makosa yaliyofanyika awamu ya tano yataitesa hii nchi kwa miaka miiingi sana, na huu ukweli ni ngumu kuonekana au kusemwa kwa sababu ya unafiki wetu na staili ya uongozi wa propaganda awamu iliyopita..

Madeni yaliyoachwa, big projects zilizoachwa kila mahala huku nchi ikitegemea funds za kuunga unga kuendesha miradi, diplomasia mbovu kuanzia ya uchumi, siasa na jamii ni misalaba itakayomtesa sana mama... Propaganda na brainwashing iliyofanyika kwa watu kama special project ni changamoto nyingine kwenye utawala wa mama maana akili zilijaa propaganda kuliko uhalisia wa mambo..
Miradi mingi itabakia kwenye maandishi tu na itasahaulika kabisa.
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Dikteta magufuli ashakufa, muacheni mama afanye kazi, uko kufokafoka Kama kichaa mama sio haiba yake,, wasukuma msimpangie mama cha kufanya, nendeni chattle mkafagie nyumba ya mungu wenu ambae ameondoka na akili zenu
 
Yaani akili yako inakutuma kuwa Kiongozi ili awe mzuri ni kufokea watu?? Kwani kuna Mtoto? Sisi sio ng'ombe zake.

Kuachia machinga wapange vitu barabarani na kutuaminisha kuwa sisi ni wanyonge ndio uongozi mzuri?

Kwahio unataka Samia nae aanze kujibu watu kuwa " Baki na Mavi yako nyumbani"?? Au "kama huna hela piga mbuzi"?
Wanao sapoti matusi ya mwendazake wamefirisika kisiasa
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Jiwe aliacha lini kuomba omba

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
1. Huogopi kuitwa MATAGA?

2. Wewe ni Sukuma Gang!

3. Utaambiwa unamchukia Mama .

4. Usisahau kuwa huyu Mama hakosolewi! Ukithubutu tu, utaambiwa unamtaka Magufuli ila bahati mbaya harudi tena!
Huyu mleta mada hataki kukubali kama dikiteta wake hayupo tena.

(alisikika taahira mmoja toka mitaa ya ufipa)
 
Labda tupate tafsiri pana ya kufungulia nchi wewe umeielewaje.
Kwani nchi ilifungwa sasa inafunguliwa? Mwekezaji asiyetaka kufuata sheria za nchi au asiyetaka kulipa kodi, na anapokuja anakuja na wafanyakazi wake kutoke nje ya nchi hatumtaki!! Lebo ya kuwa "mwekezaji" haina maana serikali imtetemekee. China walipofungulia wawekezaji walikuwa na sharti kubwa sana kuwa aajiri wachina tu, na hata kama hawajui kazi lazima wafundishwe; hao waliofundishwa ndio waliokwapua teknoloji ya magharibi wakaanazisha viwanda vyao wenyewe.
 
China chini ya Deng Xiaoping alifungulia nchi, huku ndiko mama anavyomaanisha.
Kuondoa vikwazo vya kipuuzi vya kuleta investment na kuondoa urasimu kwenye kuanzisha business.

Sasa kufungulia nchi na kuomba mbona haviendani naona mko busy kutwist maneno yake na kuyafanyia spinning ili kupotosha!

So far so good, Nchi inaenda vizuri vhini ya mama Samia, kafanya kazi nzuri sana kwenye siku zake 50 za kushika usukani, aneonyesha njia nzuri mno
Kama ipi mbona na wewe unasifia bila maana yoyote
Siku hamsini zina matokeo.kweli au ni umbea tu
 
Huyu mwanakijiji ni mnafiki Sana na kama hamjamuelewa sasa hivi mtamuelewa hapo mbeleni huyu kwa mheshimiwa Maghufuli hukuwahi kukosoa kisa ni kanda mja kaka huyu mama ameanza na vibandiko uchwara utadhani nchi ilikuwa haikopi
 
Aliwakorofisha vp?hebu tupe mifano hai walau 3 tu.
Na lini majirani waliifungia TZ mipaka?, au ni ile ya kipindi cha corona?
Hii mentality ya baadhi ya watu kama wewe mnaotaka Taifa hili liendelee kuishi kwa kuwanyenyekea mataifa mengine ni ya kipumbaf sana.
Sihangaiki na habari za jiwe maana sioni faida yake na hata kutaja jina lake.
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Ni lini tuliacha kuomba ?

Unaposema mama hawezi kufoka, kwahiyo kufoka ndio kuendesha nchi !

Hivi ninyi watu Magu aliwapa nini aisee ???

Brain washing is real guys ?

Kwahiyo Tanzania ya Samia siyo Magufuli tena?


Wewe mzee umekuwa mwehu kabisa.
 
Kati ya Magufuli na Samia ni nani aliekua anawasababishia watanzania umasikini?
Watu wengine biashara zao wanategemea wageni kuja !sasa kama kwenye biashara kuna sheria kali na vitisho lazima watakula
Kona na watu huku tanzania watakuwa wana lia njaa

Ova
 
Kuna muda tafakari zinakuwa nyingi

Kama amebadilisha mahindi na gasi, anafaa kuendelea kutuongoza?

Kama ametoa zawadi ya milioni 400 kwa birthday ya Mzee mmoja tajiri anayeedelea kutunzwa na serikali hadi are, anatufaa?

Inaonekana akili yake ameaiacha Kenya

Kama Dunia imeitangaza Tanzania kuingia uchumi wa kati, na bado kuna mtu anaona wakati wa JPM uchumi ulifungwa, akapimwe akili
Du chuki yako kwa Samia inakutoa ufahamu Mkuu..
 
JPM alikuwa na attitude mbaya kwa biashara na wafanyabiashara kwa ujumla wao.

Tukubali tukatae, hayati alishindwa kabisa kuenda sambamba na dunia ya biashara na uwekezaji.

Alijitahidi kujenga miundo mbinu rafiki kwa biashara kubwa lakini mentality yake haikuwa rafiki wa kweli wa kile alichokusudia kuona kinafanyika miaka mingi ijayo.

Mama analeta uwekezaji na wakati huo huo anatumia vizuri kipaji chake cha mawasiliano kwa ajili ya kuwepo uhusiano mwema kati ya serikali na sekta ya biashara.

Anao mtihani wa kuwa ni Mama, hawezi kukwepa kuwa na huruma na kutenda haki, mtihani alionao ni watu wenye nia mbaya kuwa sehemu ya watakaomkaribia akiwa Rais.
 
China chini ya Deng Xiaoping alifungulia nchi, huku ndiko mama anavyomaanisha.
Kuondoa vikwazo vya kipuuzi vya kuleta investment na kuondoa urasimu kwenye kuanzisha business.

Sasa kufungulia nchi na kuomba mbona haviendani naona mko busy kutwist maneno yake na kuyafanyia spinning ili kupotosha!

So far so good, Nchi inaenda vizuri vhini ya mama Samia, kafanya kazi nzuri sana kwenye siku zake 50 za kushika usukani, aneonyesha njia nzuri mno
Kufungulia nchi huko China kukoje?
 
Inawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...

Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Hivi enzi ya utawala wa Magufuli Tanzania ilikuwa haiombi ombi?
 
Nasikia Ukabila umerudi kwa style nyingine - Wa Pwani ( Ndengeleko) vs Kanda ya Ziwa (Sukuma gang).. Kaazi kweli kweli
 
China chini ya Deng Xiaoping alifungulia nchi, huku ndiko mama anavyomaanisha.
Kuondoa vikwazo vya kipuuzi vya kuleta investment na kuondoa urasimu kwenye kuanzisha business.

Sasa kufungulia nchi na kuomba mbona haviendani naona mko busy kutwist maneno yake na kuyafanyia spinning ili kupotosha!

So far so good, Nchi inaenda vizuri vhini ya mama Samia, kafanya kazi nzuri sana kwenye siku zake 50 za kushika usukani, aneonyesha njia nzuri mno
Deng alifanya hivyo baada ya kuridhika kuwa Wachina wamesoma na wana uwezo kiteknolojia kupambana na kiuchumi na taifa la Marekani na nchi za Magharibi, alifanya hivyo baada kuwapeleka vyuoni vijana maelfu kwa maelfu nchini Marekani na nchi za Magharibi , na waliporudi ndio akawa na jeuri ya kuruhusu nchi za Magharibi kuwekeza, kwa hiyo ndugu usifananishe Uchina ya Deng na Tanzania ya mama ni sawa na kufananisha sayari ya Mars na dunia yetu, alichoandika Mzee Mwanakijiji ni tahadhari iliyo mbele yetu, tunapojadili mambo ya maana tuache mahaba ya kukurupuka bila kufikiria na kuleta mifano ya uongo, soma kwanza historia ya Deng na mapinduzi ya viwanda huko China yalivyofanikiwa watu wachache kuwa mabilionea wa kutupwa namamilioni ya wengi kuwa masikini wa kutupwa ,wengine ndio hawa tunaogambania nao kuuza mahindi ya kuchoma Kariakoo na mikoani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom