Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
Katika kufunga Mwaka 2021, Jamii Forums mnamo Desemba 30 ilidhamini kusanyiko la watoto takribani 600 wa dini mbalimbali waliokutana Magomeni jijini Dar na kula, kunywa na kucheza pamoja kwa furaha kuuaga mwaka 2021.
Kusanyiko hili liliwezekana kwa kubuniwa na kuratibiwa na Padre Christian Caristus Likoko Nyumayo ambapo watoto bila kujali tofauti zao za kiimani waliburudika pamoja.
Ilikuwa siku ya furaha kwangu na wenzangu kuweza kuwa na watoto hawa kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 10 jioni.
Nilipata muda wa kuongea na Padre, Masheikh na Wachungaji walioshiriki katika kusanyiko hili. Tulikuwa familia moja, Taifa moja na ndugu kupitia watoto hawa.
Mwaka 2022 tunatarajia kuwa na watoto zaidi ya 1,500 kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar.. Tuunge mkono ukiweza!
Naambatanisha baadhi ya picha:
Kusanyiko hili liliwezekana kwa kubuniwa na kuratibiwa na Padre Christian Caristus Likoko Nyumayo ambapo watoto bila kujali tofauti zao za kiimani waliburudika pamoja.
Ilikuwa siku ya furaha kwangu na wenzangu kuweza kuwa na watoto hawa kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 10 jioni.
Nilipata muda wa kuongea na Padre, Masheikh na Wachungaji walioshiriki katika kusanyiko hili. Tulikuwa familia moja, Taifa moja na ndugu kupitia watoto hawa.
Mwaka 2022 tunatarajia kuwa na watoto zaidi ya 1,500 kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar.. Tuunge mkono ukiweza!
Naambatanisha baadhi ya picha: