Haya Ndiyo maamuzi ya kikao cha CCM (CC-Wiki iliyopita)
1.Kutohudhuria mdahalo na Dr.Slaa; Nape akamuwakilisha mtego ambao Dr.Slaa alishtuka naye akachomoa
2.Waziri Nchimbi wiki iliyopita alihamasisha wabunge hasa wa CCM na mawaziri kuperuzi mitandao ya kijamii kama JF ili kujua hisia za wananchi, na wanatumia fedha nyingi kuwalipa wanafunzi vyuoni ili wajiunge JF na hizo ID zao anazo Nape ili kufuatilia utendaji kazi wao post moja 7000/- kufifisha hoja.....ila imekuwa ngumu kuna madogo UDOM wamesema ''CCM hawajui mioyo yetu''
3.Kinana kumshurutisha Mch.Msigwa amuombe radhi kupitia mwanasheria wake....nadhani barua mmeiona humu JF.
4.Kushawishi wabunge wa CCM kumuongeze JK muda hadi 2017 .ili kuchakachuwa katiba kwani imeonekana wazee ndani ya CCM hawaaminiani so kuna sheria kandamizi zinaandaliwa kuuwa (assasination) wapinzani na kuwateuwa baadhi ya wapinzani serikalini (serikali ya umoja wa kitaifa) ili kupata Katiba mpya, Hili likipitishwa na viongozi wa upinzani wakikubali kufanya kazi na CCM nchi itakuwa mbaya sana kwa nchi.
5.Kuna tetesi kwamba Mjomba (JK) akapangua CC, kwani Mwigulu ni mzigo............,
Wenye Data zaidi tiririka.........., ila magamba dhibitini hasira na povu.
1.Kutohudhuria mdahalo na Dr.Slaa; Nape akamuwakilisha mtego ambao Dr.Slaa alishtuka naye akachomoa
2.Waziri Nchimbi wiki iliyopita alihamasisha wabunge hasa wa CCM na mawaziri kuperuzi mitandao ya kijamii kama JF ili kujua hisia za wananchi, na wanatumia fedha nyingi kuwalipa wanafunzi vyuoni ili wajiunge JF na hizo ID zao anazo Nape ili kufuatilia utendaji kazi wao post moja 7000/- kufifisha hoja.....ila imekuwa ngumu kuna madogo UDOM wamesema ''CCM hawajui mioyo yetu''
3.Kinana kumshurutisha Mch.Msigwa amuombe radhi kupitia mwanasheria wake....nadhani barua mmeiona humu JF.
4.Kushawishi wabunge wa CCM kumuongeze JK muda hadi 2017 .ili kuchakachuwa katiba kwani imeonekana wazee ndani ya CCM hawaaminiani so kuna sheria kandamizi zinaandaliwa kuuwa (assasination) wapinzani na kuwateuwa baadhi ya wapinzani serikalini (serikali ya umoja wa kitaifa) ili kupata Katiba mpya, Hili likipitishwa na viongozi wa upinzani wakikubali kufanya kazi na CCM nchi itakuwa mbaya sana kwa nchi.
5.Kuna tetesi kwamba Mjomba (JK) akapangua CC, kwani Mwigulu ni mzigo............,
Wenye Data zaidi tiririka.........., ila magamba dhibitini hasira na povu.