Mheshimiwa sana Nape, Katibu mwenezi wetu.
Kwa kuwa kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake, Kwa heshima na taadhima naomba utoe kauli hapa:
- Kwanini kila mara Unaliita jina la Dr. Slaa kwa ku-prefix "Babu"? (kwa sababu imekuwa ni kawaida yako na huwezi kukana hili) Ni babu kivipi?
- Unatoa maoni gani kwa wale wote ambao pia wameamua ku-prefix jina la Dr.Slaa kwa kama "Padre" Yaani kila wakitaka kutaja jina hili husema "Padre Slaa"> Hii ilianza rasmi wakati alipogombea urais wa JMT 2010. Je unavyoona wewe kauli hii ya kumwita "Padre" wakati yeye mwenyewe hakutaka aitwe hivyo (rejea majina rasmi aliyotumia wakati wa kujiandikisha kama mgombea na mpigakura) ililenga nini? (reflect your answers on the context of what is going on now in our lovely country)
- Kwa usawa huohuo basi, ni sahihi pia (hata wewe unaweza) kumwita mtu mwingine kama Dr. Jakaya Mrisho kikwete, Hon Peter Pinda au Wassira kwa Prefixes kama hizo hata kama wenyewe hawajiiti hivyo? Hint: Wassira alizaliwa 1945, anamzidi Slaa kwa miaka mitatu, Slaa anamzidi J.K miaka miwili tu, (ages:Wassira 68, Dr. Slaa ana 65 and JK ana 62) Hon. Pinda alizaliwa August 12, 1948, Dr. Slaa alizaliwa October 29, 1948. (source: Bunge website and other sources) Hivyo Wassira na pinda wamemzidi siku za umri Slaa. Kama kumwita mtu babu ni heshima, na Umri wa miaka >65 ndio base year yako kuita mtu kwa heshima ya "Babu", Je unataka tuelewe kuwa huna heshima kwa Wassira na Pinda kama unavyomheshimu Dr. Slaa?
Majibu tafadhali...
Kwa mazoea yako ya kumwita BABU DR Slaa ndio maana alisepa, naamini alifikiri ungeenda zaidi ya hapo. Bora Kinana huwa anaongea kwa staha na kwa heshima.
Wewe Nape huna uwezo wakuongea na Dr Slaa atakua anajidhalilisha.
mbunge mtarajiwa dah 2015 tutakua na kina Lusinde na Serukamba kibao toka hiki chama cha majizi
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Hata mimi jana niliandika baada ya kuona hizi propaganda za huyo mtu wa propaganda wa CCM.
Sijui ni kwa nini Katibu mkuu wa CCM na Mwenyekiti wake Jakaya kikwete wanaogopa mdahalo na Dr.Slaa kiasi hiki.Leo Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana amemkimbia Dr.Slaa kama alivyofanya Mwenyekiti wa CCM ndugu Jakaya Kikwete wakati akiwa mgombea Urais Mwaka 2010 alipokimbia mdahalo kwa kumhofia Dr.Slaa.Taarifa za awali ni kwamba Kinana amehofia kuumbuliwa zaidi hadharani na Dr.Slaa kuhusu tuhuma zinazomkabili kuhusiana na nyara za Taifa ambazo ameshindwa kuzitolea majibu.Leo ITV waliwaalika makatibu wakuu wa vyama vya siasa kujadili hali ya kisiasa nchini.Dokta Slaa alikubali na kuitikia wito ila alipofika kwenye ofisi za ITV Kinana hakutokea na baadae akatokea Nape Nnauye-mpiga gitaa na mnenguaji kwenye mikutano yao ya hadhara (literally mistaken kama kATIBU WA ITIKADI NA UENEZI)bila kuzingatia itifaki.Dr.Slaa akataka itifaki izingatiwe akaamua kuondoka.Walialikwa makatibu wakuu na itifaki ilistahili kuwa hivyo
Wananchi wanajiuliza sasa ni chama gani hiki ambacho mwenyekiti na katibu mkuu wanaogopa mijadala kiasi hiki?.Rais kikwete (kwa kuhofia uwezo wake mdogo kama inavyojulikana sana)alikimbia mdahalo mwaka 2010 kwa kumuogopa Dr.Slaa,leo imekua zamu ya katibu mkuu Kinana.
Tujifunze kuzoea mijadala/midahalo(debate).This is the age in which you must be yourself na uwe tayari kwa public condemnation or appraisal and not otherwise.
Th
Yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Ngwi munyampaaaaaaaaa yule, sikujua bwana. Nilidhani niko peke yangu Nkhomango,Hamocha😛amoja na sintofahamu ya historia yako,bado mm naamini wewe ni "mnyampaa".Viti yule mla fisi(mnyiramba,mtani) yupo au kapeleka ushahidi mbinguni? msalimie
Toka jana nimekuwa nikisoma kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu hoja ya " NAPE, KINANA NA DR. SLAA" juu ya kipindi kilichodaiwa kuandaliwa na ITV. Leo kwa uzito mkubwa stori hiyo imebebwa na gazeti la CHADEMA la Tanzania Daima. Kwa gazeti hili ni stori inayouza gazeti lao leo.
Niseme toka jana niliposoma propaganda ya Tandaleone nilishangaa lakini nikajipa muda kujua msingi wa propaganda ile. Baada ya muda nikaona majibu ya Babu Dr. Slaa nikayashangaa pia japo si sana, bado niajipa muda. Jioni nikapigiwa simu na mwandishi wa TanzaniaDaima kuulizwa juu ya hiyo stori, nikasema wameanza sasa kuja hadharani na makusudi yao naanza kuyafahamu.
Pamoja na kujitahidi kueleza kilichotokea bado matokeo ni Lead Stori ya Tanzania Daima leo inayodai eti Kinana kamkimbia kiaina Babu Dr.Slaa!!!! Raafiki yangu mmoja asub alipoona gazeti la CHADEMA limeandika vile akanitania akasema nilitegemea UHURU waandike "KINANA AMPUUZA BABU DR. SLAA" nikamwambia UHURU linafanya kazi ya nchi si ya Chama pekeake ndo maana limekuwepo hata kabla ya CCM kuwepo!!
Lakini ninachotaka kusema hapa ni propaganda kama za Gazeti la CHADEMA leo ni dalili za kufilisika sana kisiasa kiasi kwamba hhata jambo dogo sana linageuzwa kuwa jambo kubwa na linalodhaniwa linaweza kutumika kipropaganda.
WASWAHILI WALISEMA kwa sisimizi hata kifuu cha nazi kwake ni sawa na bahari!Pengine tungemsaidia sana mwajiri kwa kumfanyia utafiti kwanini ofisi za wilayani na mikoani za taasisi anayoiongoza zinafungwa kwa kasi ya ajabu.
================================
Habari kamili toka Tanzania Daima
================================
hivi kuna mtu anasomaga Tanzania Daima kweli??
Toka jana nimekuwa nikisoma kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu hoja ya " NAPE, KINANA NA DR. SLAA" juu ya kipindi kilichodaiwa kuandaliwa na ITV. Leo kwa uzito mkubwa stori hiyo imebebwa na gazeti la CHADEMA la Tanzania Daima. Kwa gazeti hili ni stori inayouza gazeti lao leo.
Niseme toka jana niliposoma propaganda ya Tandaleone nilishangaa lakini nikajipa muda kujua msingi wa propaganda ile. Baada ya muda nikaona majibu ya Babu Dr. Slaa nikayashangaa pia japo si sana, bado niajipa muda. Jioni nikapigiwa simu na mwandishi wa TanzaniaDaima kuulizwa juu ya hiyo stori, nikasema wameanza sasa kuja hadharani na makusudi yao naanza kuyafahamu.
Pamoja na kujitahidi kueleza kilichotokea bado matokeo ni Lead Stori ya Tanzania Daima leo inayodai eti Kinana kamkimbia kiaina Babu Dr.Slaa!!!! Raafiki yangu mmoja asub alipoona gazeti la CHADEMA limeandika vile akanitania akasema nilitegemea UHURU waandike "KINANA AMPUUZA BABU DR. SLAA" nikamwambia UHURU linafanya kazi ya nchi si ya Chama pekeake ndo maana limekuwepo hata kabla ya CCM kuwepo!!
Lakini ninachotaka kusema hapa ni propaganda kama za Gazeti la CHADEMA leo ni dalili za kufilisika sana kisiasa kiasi kwamba hhata jambo dogo sana linageuzwa kuwa jambo kubwa na linalodhaniwa linaweza kutumika kipropaganda.
WASWAHILI WALISEMA kwa sisimizi hata kifuu cha nazi kwake ni sawa na bahari!Pengine tungemsaidia sana mwajiri kwa kumfanyia utafiti kwanini ofisi za wilayani na mikoani za taasisi anayoiongoza zinafungwa kwa kasi ya ajabu.
================================
Habari kamili toka Tanzania Daima
================================