Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,583
- 2,948
Tatizo Chadema wanashindwa kukubali ukweli
CCM walimheshimu sana Slaa kumpeleka Nape kuongea naye.
Chadema ni sawa na kibajaji na CCM ni sawa na treni kwa hiyo huwezi kufananisha dereva wa bajaji na wa treni hata siku moja.
Dereva wa treni ana majukumu mengi sana kuhakikisha mabehewa yote bado yako relini na abiria zaidi ya milioni arobaini wako salama wakati huyu dereva wa bajaji abiria wake wako nyuma yake tu hapo na ni wachache tu na wanafahamiana na kibajaji chenyewe kina magurudumu matatu tu ambayo anayaona kila wakati sasa iweje leo Slaa kwa sababu ni dereva wa kibajaji apewe hadhi sawa na kinanan dereva wa treni?
JITAMBUE!
CCM walimheshimu sana Slaa kumpeleka Nape kuongea naye.
Chadema ni sawa na kibajaji na CCM ni sawa na treni kwa hiyo huwezi kufananisha dereva wa bajaji na wa treni hata siku moja.
Dereva wa treni ana majukumu mengi sana kuhakikisha mabehewa yote bado yako relini na abiria zaidi ya milioni arobaini wako salama wakati huyu dereva wa bajaji abiria wake wako nyuma yake tu hapo na ni wachache tu na wanafahamiana na kibajaji chenyewe kina magurudumu matatu tu ambayo anayaona kila wakati sasa iweje leo Slaa kwa sababu ni dereva wa kibajaji apewe hadhi sawa na kinanan dereva wa treni?
JITAMBUE!