Dr. Slaa kwa sasa yuko DESPERATE kupewa Urais. Anafahamu kuwa, kama hataupata Urais 2015 basi hiyo itakula kwake kwa sababu atakuwa na miaka 67. Legally kwa sasa ni PENSIONER. Come 2020 atakuwa na miaka 72.
Kwa sasa mpaka anajaza watu kwenye mitandao kuleta uongo ambao hata hivyo unawafaa watoto wa chekechea. Mara, kapigiwa mizinga na Rais wa Zambia, mara, ooh, Nilikuwa nataka kufanyiziwa kwa ajari ya gari ya kutengeneza , mara, ooh, Ninafuatiliwa barabarani. Ilimradi vulugu tupu.
Toka uchaguzi wa 2010 ulipoisha, amekuwa akifanya kampeni za Urais karibia kila siku. Swali la MSINGI ambalo watu ingekuwa vizuri wakajiuliza, WHY HE IS SO DESPERATE TO BE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.