Kufilisika kisiasa kwingine kunatisha!

Kufilisika kisiasa kwingine kunatisha!

Hamocha😛amoja na sintofahamu ya historia yako,bado mm naamini wewe ni "mnyampaa".Viti yule mla fisi(mnyiramba,mtani) yupo au kapeleka ushahidi mbinguni? msalimie
Mkuu alipeleka kuzimu ambako ni makazi yake na FISI kama yeye!!
 
Napelina Nnauye,na wewe ulikuwa safarini nje ya nchi?maana naona wewe na Mwigulu mlikua kimya sana,toka Marando awaumbue,au mlikua hollywood mkiandaa mkanda mpya wa kisasa zaidi dhidi ya Lwakatare.
 
Nape ameshindwa kurithi busara za baba yake......Ungekuwa kama baba yako ungeheshimiwa sana ila kwa sasa naona unapuliza tu vuvuzela kila kukicha....ama kweli moto huzaa majivu

Kwani Mzee Nnauye ni baba yake!? Majina tu au mtoto wa kufikia. Hatukuona jina la Nape kwenye list ya watoto wa Nnauye
 
kwani mzee nnauye ni baba yake!? Majina tu au mtoto wa kufikia. Hatukuona jina la nape kwenye list ya watoto wa nnauye

ahaaaa ndo maana hana malezi wala maadili.sasa ule ukuu wa wilaya aliupataje.?.bora walimtoa mapemaa ingekuwa balaaaaaaaaaaa.
 
Nnape mbona unatumia maneno mengi bila hoja zinazodhibitisha uongo wa gazeti hilo? Tweleze kilichotokea ili tupime kama kweli jangili alimkimbia Dr. Slaa au si kweli.
 
Ungeandika na upande wako wa stori ya kilichotokea...maneno matupu na kulalamika unakuwa HUELEWEKI
 
Dr. Slaa kwa sasa yuko DESPERATE kupewa Urais. Anafahamu kuwa, kama hataupata Urais 2015 basi hiyo itakula kwake kwa sababu atakuwa na miaka 67. Legally kwa sasa ni PENSIONER. Come 2020 atakuwa na miaka 72.

Kwa sasa mpaka anajaza watu kwenye mitandao kuleta uongo ambao hata hivyo unawafaa watoto wa chekechea. Mara, kapigiwa mizinga na Rais wa Zambia, mara, ooh, Nilikuwa nataka kufanyiziwa kwa ajari ya gari ya kutengeneza , mara, ooh, Ninafuatiliwa barabarani. Ilimradi vulugu tupu.

Toka uchaguzi wa 2010 ulipoisha, amekuwa akifanya kampeni za Urais karibia kila siku. Swali la MSINGI ambalo watu ingekuwa vizuri wakajiuliza, WHY HE IS SO DESPERATE TO BE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.
 
Dr. Slaa kwa sasa yuko DESPERATE kupewa Urais. Anafahamu kuwa, kama hataupata Urais 2015 basi hiyo itakula kwake kwa sababu atakuwa na miaka 67. Legally kwa sasa ni PENSIONER. Come 2020 atakuwa na miaka 72.

Kwa sasa mpaka anajaza watu kwenye mitandao kuleta uongo ambao hata hivyo unawafaa watoto wa chekechea. Mara, kapigiwa mizinga na Rais wa Zambia, mara, ooh, Nilikuwa nataka kufanyiziwa kwa ajari ya gari ya kutengeneza , mara, ooh, Ninafuatiliwa barabarani. Ilimradi vulugu tupu.

Toka uchaguzi wa 2010 ulipoisha, amekuwa akifanya kampeni za Urais karibia kila siku. Swali la MSINGI ambalo watu ingekuwa vizuri wakajiuliza, WHY IS SO DESPERATE TO BE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.

tutanunua ndege nane katika kipindi changu cha urais.....by jk.....au kelele za mlango hazimsumbui mwenye nyumba au hatusumbuliwi na vyama vya msimu ....lol
 
Vuvuzela nape huna jipya wewe na nchemba ndo mnaiua ccm kaalikwa kinana we ulienda kufanya nn? Kama sio kiherehere
 
Dr. Slaa kwa sasa yuko DESPERATE kupewa Urais. Anafahamu kuwa, kama hataupata Urais 2015 basi hiyo itakula kwake kwa sababu atakuwa na miaka 67. Legally kwa sasa ni PENSIONER. Come 2020 atakuwa na miaka 72.

Kwa sasa mpaka anajaza watu kwenye mitandao kuleta uongo ambao hata hivyo unawafaa watoto wa chekechea. Mara, kapigiwa mizinga na Rais wa Zambia, mara, ooh, Nilikuwa nataka kufanyiziwa kwa ajari ya gari ya kutengeneza , mara, ooh, Ninafuatiliwa barabarani. Ilimradi vulugu tupu.

Toka uchaguzi wa 2010 ulipoisha, amekuwa akifanya kampeni za Urais karibia kila siku. Swali la MSINGI ambalo watu ingekuwa vizuri wakajiuliza, WHY IS SO DESPERATE TO BE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.
Bila kumsema Dr. hujisiki eh! poleni sana:focus:
 
Nimeona niweke wazi uelewa wangu kuhusu swala kupitia kwako mkuu, katika akili ya kawaida lipi kati ya Tanzania Daima na Uhuru ni la Chama? kama swala hapo ni kwamba mmiliki wa gazeti la Tanzania Daima ni Mwenyekiti wa Chama basi gazeti lake ni la Chama tuseme kwa kuwa Kinana ni mmiliki wa kampuni iliyosafirisha pembe za ndovu basi kampuni hiyo ni ya CCM? na upuuzi wowote utakaofanywa na kampuni hiyo tuhesabu umefanywa na CCM. Kuna maneno kaandika Nape kwamba eti Uhuru linafanya kazi za kitaifa kwa kuwa lilikuwepo hata kabla ya kuunda kwa CCM naona ni sentenso muflisi kwa kuwa kila kitu kilichokuwa cha TANU na ASP kilirithiwa na CCM na kuwa mali yake. Lakini pia CCM ni mmiliki wa gazeti la Uhuru kupitia kampuni inayomilikiwa na CCM. Kama kweli aliyeandika ni yule Nape ninayemuona mara kwa mara basi yeye ndo kafilisika kisiasa na kiakili kwa maana ya ubongo wake umeharibika beyond repairable.
 
1.mtafute mama yako akufundishe adabu.
2.Siasa ni siasa na utu ni utu ,mpe heshima SLAA na siyo kumuita babu.
3.Fuata maadili ya kazi yako.
4.Kuwa na mipakaya kazi yako au wewe ndo kinana?
5.Epuka cheap popularity.
6.Jitathimini kisiasa.

Kama hawezi kufanyia kazi hayo basi ahesabu mwisho wake kisiasa 2015.Hajitambua kuwa anatumika na mwisho wa matumizi unakaribia?
 
Dr. Slaa kwa sasa yuko DESPERATE kupewa Urais. Anafahamu kuwa, kama hataupata Urais 2015 basi hiyo itakula kwake kwa sababu atakuwa na miaka 67. Legally kwa sasa ni PENSIONER. Come 2020 atakuwa na miaka 72.

Kwa sasa mpaka anajaza watu kwenye mitandao kuleta uongo ambao hata hivyo unawafaa watoto wa chekechea. Mara, kapigiwa mizinga na Rais wa Zambia, mara, ooh, Nilikuwa nataka kufanyiziwa kwa ajari ya gari ya kutengeneza , mara, ooh, Ninafuatiliwa barabarani. Ilimradi vulugu tupu.

Toka uchaguzi wa 2010 ulipoisha, amekuwa akifanya kampeni za Urais karibia kila siku. Swali la MSINGI ambalo watu ingekuwa vizuri wakajiuliza, WHY IS SO DESPERATE TO BE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.
Hapo unamsema Membe bila kujua maana ameona awashughulikie waandishi wa Habari kwa kuwatoboa macho mradi tu wameandika ukweli kuhusu uovu wake
 
Tatizo lako Bwana Nape huwa unaadika vitu kwa pupa na jazba, na huwezi kujenga hoja za mantiki, hili ni tatizo lako kubwa.

Nikuulize, CCM kuna vibabu vingapi ambavyo huviiti Vibabu? Umeng'ang'ania tuu kumwita Slaa Babu???. Wewe Nape kichwani ni mweupe sana, shukuru Mungu umepewa kazi ya kupika kelele, lakini bottom line, wewe ni mweupe sana up stairs!
 
kwanza mkuu naum rekebisha headline yako na utuambie kama unao vigezo vya kudebate na dr.
 
Hakuna maradhi yasiyo na dalili.,ni wazi kuwa chadema wanao ugonjwa mkubwa ambao hivi karibuni utawasababishia kifo cha ghafla. Ukitaka kujua kuwa hawa jamaa wameanza kupoteza touch na jamii ni kwenda mrama kwa propaganda forums zao ikiongozwa na gazeti la Tanzania Daima, JF and the alike. Hii ni kwa kuandika habari zenye mlengwa mmoja bila kubadilika hivyo kuwachosha wasomaji.

Lakini ubutu huu wa kutobadilika na kutofikiri kwa kina juu ya mbinu mpya na zenye mshiko zaidi kwa jamii ni dalili tosha ya ugonjwa mbaya wa kutofikiri sawasawa uliowafika chadema. Utumiaji wa mikakati na mbinu za kijasusi za kudhuru wanaCCM na kuwatishia maisha kila wanaopingana na falsafa na mitazamo ya chadomo ni mbinu zinazokichafua chama hiko kichanga.

Lakini baya zaidi ni hii tabia iliyozuka na kukua kwa kasi ya kumuabudu babu na kufanya kila analoliamrisha ndani ya chama hicho. Babu amekuwa na utaratibu wa kujitengenezea kundi ambalo limeleta mmomonyoko ndani ya chama hiko na kuhatarisha hata uhai wa chama hicho.

vijana wa chadomo waanze kujifunza kuhoji n kujisahili binafsi juu ya mitazamo ya chama na mitazamo yao wao juu ya chama. Hamuwezi kujua chochote iwapo hamtahoji na kudadisi juu ya mwenendo wa babu na chama chenu cha kigaidi.

Tangu lini Magamba yakawa na uchungu na CDM?
 
Dr. Slaa kwa sasa yuko DESPERATE kupewa Urais. Anafahamu kuwa, kama hataupata Urais 2015 basi hiyo itakula kwake kwa sababu atakuwa na miaka 67. Legally kwa sasa ni PENSIONER. Come 2020 atakuwa na miaka 72.

Kwa sasa mpaka anajaza watu kwenye mitandao kuleta uongo ambao hata hivyo unawafaa watoto wa chekechea. Mara, kapigiwa mizinga na Rais wa Zambia, mara, ooh, Nilikuwa nataka kufanyiziwa kwa ajari ya gari ya kutengeneza , mara, ooh, Ninafuatiliwa barabarani. Ilimradi vulugu tupu.

Toka uchaguzi wa 2010 ulipoisha, amekuwa akifanya kampeni za Urais karibia kila siku. Swali la MSINGI ambalo watu ingekuwa vizuri wakajiuliza, WHY HE IS SO DESPERATE TO BE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.

Matatizo ya kuandika kwa kukurupuka kutokana na mahaba ya siasa yanawafanya muonekane vituko na mwisho wa siku mtakuwa na mawazo mgando kwa sababu ya ushabiki tu! Kuweni objective mnapoandika au mnapopinga hoja, pingeni kwa hoja, zaidi ya hapo mnaonekana vioja tu na elimu zenu haziwasaidii kwa sababu ya ushabiki wa kitoto! Mjitambue!
 
Back
Top Bottom