Nape ameshindwa kurithi busara za baba yake......Ungekuwa kama baba yako ungeheshimiwa sana ila kwa sasa naona unapuliza tu vuvuzela kila kukicha....ama kweli moto huzaa majivu
Kwani kasamtambu? ni Prof ama Mjeda? ok mbona kichwa cha habari na yaliyomo ni tofauti?Nape ameshindwa kurithi busara za baba yake......Ungekuwa kama baba yako ungeheshimiwa sana ila kwa sasa naona unapuliza tu vuvuzela kila kukicha....ama kweli moto huzaa majivu
Lakini ninachotaka kusema hapa ni propaganda kama za Gazeti la Chadema leo ni dalili za kufilisika sana kisiasa kiasi kwamba hhata jambo dogo sana linageuzwa kuwa jambo kubwa na linalodhaniwa linaweza kutumika kipropaganda.
WASWAHILI WALISEMA kwa sisimizi hata kifuu cha nazi kwake ni sawa na bahari!Pengine tungemsaidia sana mwajiri kwa kumfanyia utafiti kwanini ofisi za wilayani na mikoani za taasisi anayoiongoza zinafungwa kwa kasi ya ajabu.
================================
Habari kamili toka Tanzania Daima
================================
Toka jana nimekuwa nikisoma kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu hoja ya " NAPE, KINANA NA DR. SLAA" juu ya kipindi kilichodaiwa kuandaliwa na ITV. Leo kwa uzito mkubwa stori hiyo imebebwa na gazeti la Chadema la TanzaniaDaima. Kwa gazeti hili ni stori inayouza gazeti lao leo.
Niseme toka jana niliposoma propaganda ya Tandaleone nilishangaa lakini nikajipa muda kujua msingi wa propaganda ile. Baada ya muda nikaona majibu ya Babu Dr. Slaa nikayashangaa pia japo si sana, bado niajipa muda. Jioni nikapigiwa simu na mwandishi wa TanzaniaDaima kuulizwa juu ya hiyo stori, nikasema wameanza sasa kuja hadharani na makusudi yao naanza kuyafahamu.
Hakuna maradhi yasiyo na dalili.,ni wazi kuwa chadema wanao ugonjwa mkubwa ambao hivi karibuni utawasababishia kifo cha ghafla. Ukitaka kujua kuwa hawa jamaa wameanza kupoteza touch na jamii ni kwenda mrama kwa propaganda forums zao ikiongozwa na gazeti la Tanzania Daima, JF and the alike. Hii ni kwa kuandika habari zenye mlengwa mmoja bila kubadilika hivyo kuwachosha wasomaji.
Lakini ubutu huu wa kutobadilika na kutofikiri kwa kina juu ya mbinu mpya na zenye mshiko zaidi kwa jamii ni dalili tosha ya ugonjwa mbaya wa kutofikiri sawasawa uliowafika chadema. Utumiaji wa mikakati na mbinu za kijasusi za kudhuru wanaCCM na kuwatishia maisha kila wanaopingana na falsafa na mitazamo ya chadomo ni mbinu zinazokichafua chama hiko kichanga.
Lakini baya zaidi ni hii tabia iliyozuka na kukua kwa kasi ya kumuabudu babu na kufanya kila analoliamrisha ndani ya chama hicho. Babu amekuwa na utaratibu wa kujitengenezea kundi ambalo limeleta mmomonyoko ndani ya chama hiko na kuhatarisha hata uhai wa chama hicho.
vijana wa chadomo waanze kujifunza kuhoji n kujisahili binafsi juu ya mitazamo ya chama na mitazamo yao wao juu ya chama. Hamuwezi kujua chochote iwapo hamtahoji na kudadisi juu ya mwenendo wa babu na chama chenu cha kigaidi.
Niseme toka jana niliposoma propaganda ya Tandaleone nilishangaa
Kipindi chenyewe ni recorded Je ingekuwa LIVE? CCM hamjifunzi kupitia kipindi cha" Harakati Majimboni"?Akizungumza na gazeti hili kuhusu suala hilo, Nape alisema alikwenda ITV badala ya Kinana, kuangalia maudhui ya kipindi hicho ili aweze kushauriana na Kinana na kuamua kuja au la.
pole sana VUVUZELA NAPE.Kwa taarifa yako ungekuwa na maadili tu ungekula sana mema ya hii nchi...Lakini kwa kuwa heshima na adabu vimekupita pembeni bado una mlima wa kupanda si kwa sisi vijana wenzako na marika mengine yote....Heshima hainunuliwi baba.Wewe na ujana wako nakuuliza SLAA NI BABU YAKO?!!.jifunze kuwa na adabu...KWA WAKUBWA ZAKO.
mwana mwenye heshima na adabu ni mzigo wa babaye lakini kama hayo ni mzigo wa mamaye....
nakushauri.
1.mtafute mama yako akufundishe adabu.
2.Siasa ni siasa na utu ni utu ,mpe heshima SLAA na siyo kumuita babu.
3.Fuata maadili ya kazi yako.
4.Kuwa na mipakaya kazi yako au wewe ndo kinana?
5.Epuka cheap popularity.
6.Jitathimini kisiasa.
Hakuna maradhi yasiyo na dalili.,ni wazi kuwa chadema wanao ugonjwa mkubwa ambao hivi karibuni utawasababishia kifo cha ghafla. Ukitaka kujua kuwa hawa jamaa wameanza kupoteza touch na jamii ni kwenda mrama kwa propaganda forums zao ikiongozwa na gazeti la Tanzania Daima, JF and the alike. Hii ni kwa kuandika habari zenye mlengwa mmoja bila kubadilika hivyo kuwachosha wasomaji.
Lakini ubutu huu wa kutobadilika na kutofikiri kwa kina juu ya mbinu mpya na zenye mshiko zaidi kwa jamii ni dalili tosha ya ugonjwa mbaya wa kutofikiri sawasawa uliowafika chadema. Utumiaji wa mikakati na mbinu za kijasusi za kudhuru wanaCCM na kuwatishia maisha kila wanaopingana na falsafa na mitazamo ya chadomo ni mbinu zinazokichafua chama hiko kichanga.
Lakini baya zaidi ni hii tabia iliyozuka na kukua kwa kasi ya kumuabudu babu na kufanya kila analoliamrisha ndani ya chama hicho. Babu amekuwa na utaratibu wa kujitengenezea kundi ambalo limeleta mmomonyoko ndani ya chama hiko na kuhatarisha hata uhai wa chama hicho.
vijana wa chadomo waanze kujifunza kuhoji n kujisahili binafsi juu ya mitazamo ya chama na mitazamo yao wao juu ya chama. Hamuwezi kujua chochote iwapo hamtahoji na kudadisi juu ya mwenendo wa babu na chama chenu cha kigaidi.
hivi haya ni mapenzi kwa cdm/Dr. Slaa au ni chuki!?Toka jana nimekuwa nikisoma kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu hoja ya " NAPE, KINANA NA DR. SLAA" juu ya kipindi kilichodaiwa kuandaliwa na ITV. Leo kwa uzito mkubwa stori hiyo imebebwa na gazeti la Chadema la TanzaniaDaima. Kwa gazeti hili ni stori inayouza gazeti lao leo.
Niseme toka jana niliposoma propaganda ya Tandaleone nilishangaa lakini nikajipa muda kujua msingi wa propaganda ile. Baada ya muda nikaona majibu ya Babu Dr. Slaa nikayashangaa pia japo si sana, bado niajipa muda. Jioni nikapigiwa simu na mwandishi wa TanzaniaDaima kuulizwa juu ya hiyo stori, nikasema wameanza sasa kuja hadharani na makusudi yao naanza kuyafahamu.
Pamoja na kujitahidi kueleza kilichotokea bado matokeo ni Lead Stori ya TanzaniaDaima leo inayodai eti Kinana kamkimbia kiaina Babu Dr.Slaa!!!! Raafiki yangu mmoja asub alipoona gazeti la Chadema limeandika vile akanitania akasema nilitegemea UHURU waandike "KINANA AMPUUZA BABU DR. SLAA" nikamwambia UHURU linafanya kazi ya nchi si ya Chama pekeake ndo maana limekuwepo hata kabla ya CCM kuwepo!!
Lakini ninachotaka kusema hapa ni propaganda kama za Gazeti la Chadema leo ni dalili za kufilisika sana kisiasa kiasi kwamba hhata jambo dogo sana linageuzwa kuwa jambo kubwa na linalodhaniwa linaweza kutumika kipropaganda.
WASWAHILI WALISEMA kwa sisimizi hata kifuu cha nazi kwake ni sawa na bahari!Pengine tungemsaidia sana mwajiri kwa kumfanyia utafiti kwanini ofisi za wilayani na mikoani za taasisi anayoiongoza zinafungwa kwa kasi ya ajabu.
================================
Habari kamili toka Tanzania Daima
================================
Nape for real hufaham siasa,sijawahi kukukubali hata siku moja,naona unajitekenya na kucheka mwenyewe..ID ya Tandaleone ni wewe na usilete siasa za ujangili humu.Hamuwezi kuifitinisha chadema na sisi wenye nchi kwa bei rahisi kipropaganda..HIYO NAFASI ULONAYO imekupwaya.