Kufafanua Kuondoka Kwangu JF

Kufafanua Kuondoka Kwangu JF

It’s not that deep….. Mimi ni mwalimu, i’m very accommodating… Huwa nakupa tu floor ya kuperfom whatever you are up to!

Elewa mambo itakuwa rahisi sana kuishi.
Acha zako wewe, zile battle na kutambiana mbona zilifika ukomo?

Ukijaribu sana kutumia psychology na mind games za hapa na pale, ila uligota na nilicho kukubali uliacha mchezo mara moja. Which is so necessary
 
Acha zako wewe, zile battle na kutambiana mbona zilifika ukomo?

Ukijaribu sana kutumia psychology na mind games za hapa na pale, ila uligota na nilicho kukubali uliacha mchezo mara moja. Which is so necessary
Bado huelewi mambo mengi sana mdogo wetu.

Kuna ile comment yako kwenye ule uzi mwingine nilitaka nikujibu nilifikiri una clue kumbe huna ..bado hautakiwi kueleweshwa.

Katika uzi wako wa kuaga tafuta ID inaitwa Lost files amekueleza vizuri kabisa mambo mengi.
 
Bado huelewi mambo mengi sana mdogo wetu.

Kuna ile comment yako kwenye ule uzi mwingine nilitaka nikujibu nilifikiri una clue kumbe huna ..bado hautakiwi kueleweshwa.

Katika uzi wako wa kuaga tafuta ID inaitwa Lost files amekueleza vizuri kabisa mambo mengi.
Naelewa sana na ndo maana ninaucheza huu mchezo...

Kamwe kuna vitu huwezi kuvichukua kama vilivyo, huyo jamaa nae ni wale wale tu, namjua vizuri.

Alafu kuna tendency humu ya watu kuja na mambo ya umri and all that, huo ni udwanzi tu, hakuna cha umri kwenye facts, wisdom without understanding is meaningless.

I know about psychology and attention seeking, and trauma, and reverse mind traps. Sio kwamba I'm defending myself ila nataka kusema kuwa watu humu wanajifanya sana, huyo lost files alikuwa a naongelea mambo niliyo kwisha kuyafahamu zamani sana. Na alidhani sielewi.
 
Naelewa sana na ndo maana ninaucheza huu mchezo...

Kamwe kuna vitu huwezi kuvichukua kama vilivyo, huyo jamaa nae ni wale wale tu, namjua vizuri.

Alafu kuna tendency humu ya watu kuja na mambo ya umri and all that, huo ni udwanzi tu, hakuna cha umri kwenye facts, wisdom without understanding is meaningless.
Tafuta kioo cha kujitazama Gunner 😂 Mambo ya umri uliyaanza. It’s either hujui mapungufu yako au umeamua kutuvuna.

I know about psychology and attention seeking, and trauma, and reverse mind traps. Sio kwamba I'm defending myself ila nataka kusema kuwa watu humu wanajifanya sana, huyo lost files alikuwa a naongelea mambo niliyo kwisha kuyafahamu zamani sana. Na alidhani sielewi.
Hii haimaanishi kuwa hakuna cha kujifunza katika aliyoyaandika.
 
Tafuta kioo cha kujitazama Gunner 😂 Mambo ya umri uliyaanza. It’s either hujui mapungufu yako au umeamua kutuvuna.
What do you mean? Ninacho fanya hapa nikutumia hii game niichezayo kwa adalvantage yangu huku nikitoa na madini makubwa sana. Nilianza hoja za umri wapi?
Hii haimaanishi kuwa hakuna cha kujifunza katika aliyoyaandika.
Yes, ni najifunza zaidi. Ila mtu kuja kuanza kuniambia hoja za kuwa yeye ni mkubwa basi yuko sahihi ni maswala ya nidhamu za Uoga.
 
What do you mean? Ninacho fanya hapa nikutumia hii game niichezayo kwa adalvantage yangu huku nikitoa na madini makubwa sana. Nilianza hoja za umri wapi?

You are so invested… Kuna game gani JF?
Yes, ni najifunza zaidi. Ila mtu kuja kuanza kuniambia hoja za kuwa yeye ni mkubwa basi yuko sahihi ni maswala ya nidhamu za Uoga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom