ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 20,587
- 75,608
Kijana sijui tunamsaidiajeDaah sijui kwa nini hata mimi nimeangua kicheko baada ya kuona huu uzi
Kijana sijui tunamsaidiajeDaah sijui kwa nini hata mimi nimeangua kicheko baada ya kuona huu uzi
Kiukweli anahitaji msaada ila namna ya kumsaidia sasaKijana sijui tunamsaidiaje
We jamaa umenichekesha sana.We rudi tu hatukucheki, hizo nenda rudi zako zitakupa stress tu.
Dogo alidhani akiondoka kuna mtu ataanzisha uzi kummisi, kaona hola basi karudi mwenyewe.We jamaa umenichekesha sana.
Ye arudi, hata tukimcheka si yataisha? 😂😂😂
Dogo ana matatizo ya akili,ni mtu asiyejua anapotoka wala anapokwenda,The Icebreaker unaitwa huku
Dogo anahangaika hata kuku anayetaka kutaga akasome; na anajiona ni mtu wa muhimu sana na anayejua kila kitu. Ni bingwa mzuri pia wa kuporomosha matusi ego yake ikitekenywa. Bila shaka atakuwa anasumbuliwa na Narcistic Personality Disorder (NPD). Inasikitisha sana hasa ukizingatia kuwa NPD huwa haina tiba. Itabidi tu tumzoee! 😭VAR.
Kwanza kabisa nipende kuweka angalizo...
Haya ni maoni yangu, sio fundamental kwa watu wengine.
Humu hakuna kitu cha kujifunza, kumejawa na watu feki. Sio kwa ubaya ila hizi ID fake zina haribu sana uchangiaji.
JF ya zamani ilikuwa bomba, kulikuwa na intellectuals ila leo, kumegubikwa na wimbi la ma gen z, wasio na filter na malezi mazuri. Unakuta mtu kaanzisha nyuzi makini ambayo wa juzi wakichangia unaondoka na kitu, ila unashangaa comment ya kwanza mtu anaweka li meme la ajabu, linakata stimu hata za watu wanaokuja next.. Wanachukulia mzaha..
This is nothing but, a wastage of time...
- de Gunner
- binafsi faida humu
- Replies: 191
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Katika maisha kuna muda unafikia a point of no return..
Ndugu zangu, niwaweke tu wazi ya kuwa am now saying a final farewell to y'all..
JF has been a wonderful place,
Sincerely speaking nimegrow humu, nilikuja as a naive young guy in 2021 and now full of wisdom.
Nataka kusema kuwa najiweka kando na hili jukwaa kwa muda, Nitakuwa naingia occasionally Kusoma tu basi.
Sitanii ila nataka hii post iwe funga kazi, kama kuna mtu nilikukwaza, una kitu unataka kuniuliza, au unataka tu kuchat na mm via comments, do it in this post.
Nataka ni focus on my goals, na kuna...
- de Gunner
- kando rasmi
- Replies: 208
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Hahahaha aisee.Dogo anahangaika hata kuku anayetaka kutaga akasome; na anajiona ni mtu wa muhimu sana na anayejua kila kitu. Ni bingwa mzuri pia wa kuporomosha matusi ego yake ikitekenywa. Bila shaka atakuwa anasumbuliwa na Narcistic Personality Disorder (NPD). Inasikitisha sana hasa ukizingatia kuwa NPD huwa haina tiba. Itabidi tu tumzoee! 😭
Dogo anahangaika hata kuku anayetaka kutaga akasome; na anajiona ni mtu wa muhimu sana na anayejua kila kitu. Ni bingwa mzuri pia wa kuporomosha matusi ego yake ikitekenywa. Bila shaka atakuwa anasumbuliwa na Narcistic Personality Disorder (NPD). Inasikitisha sana hasa ukizingatia kuwa NPD huwa haina tiba. Itabidi tu tumzoee! 😭
Kwa nini hujaporomosha matusi na vi-Swanglish vyako vingi? Kwa nini hujatukana? Umenishangaza sana. Au El Nino ndo imeanza? 😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳Hahahaha aisee.
Inabidi uzoee hakuna namna😂