The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,369
- 118,960
Mkuu,unajua huyu dogo hana maisha nje ya JF,Dogo anahangaika hata kuku anayetaka kutaga akasome; na anajiona ni mtu wa muhimu sana na anayejua kila kitu. Ni bingwa mzuri pia wa kuporomosha matusi ego yake ikitekenywa. Bila shaka atakuwa anasumbuliwa na Narcistic Personality Disorder (NPD). Inasikitisha sana hasa ukizingatia kuwa NPD huwa haina tiba. Itabidi tu tumzoee! 😭
Inaonekana hata watu wa karibu yake hawamjali tena na walisha mtelekeza,
Jamii iliyomzunguka haimpi umuhimu wowote ule na walisha mdharau,
So,faraja yake pekee imebaki ni humu JF tu,akifungua hivi vinyuzi na watu wakachangia,basi na yeye anafarijika na kujiona kumbe bado ni mtu,ila hii ni faraja ya muda tu,huyu dogo ana tatizo kubwa sana,na kibaya zaidi,yeye ana amini yupo sawa,ukisoma nyuzi zake,matatizo yake yalianzia kwenye aina ya malezi kwenye ukuaji wake,
Nafikiri huyu ni wa kuachwa tu,hata hivi vinyuzi vyake,hakuna haja ya kuchangia pia.