Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,220
- 94,667
kazi kweli kweli...boga linapotaka kuitwa ubongo!!!
Wee hau-run your married?
Wee hau-run your married?
Mshukuru MUNGU kwa Haya na Usilete Ngebe wala Dharau Kwa Sisi Waafrika..
Umeniudhi Sana kwa Jinsi Unavyowatukuza Wazungu...WEWE NI MTUMWA..Mtu Usiyeweza Kuthamini vya kwenu..
Kwani Wazazi wako Kuwa na Masters ndo kitu gani?? Kwani Unaona Masters ni kitu cha Ajabu sana au??? Unachekesha Sana...Masters Hainitishi dada,Mi naona ni kitu cha kawaida tu...Naithamini Elimu na Ninaithamini pia hiyo Masters ila sio kuleta majivuno eti kwa sababu ya Masters!!!
Kuna Wenye wazazi waliosoma Kuliko wa Kwako na hawana Dharau Hizo!!! Ni Ulimbukeni tu Ulionao..Natalia Umeniudhi kwa Nyodo zako sio Siri..
BADILIKA,WAZUNGU NI WATU TU KAMA WEWE USIWATUKUZE HIVYO
Ni jambo zuri kufanya due diligence kabla hujaoa au kuolewa! Hii itasaidia kupunguza stress za kuoa ama kuolewa na first born ambaye ni tegemeo kwao 'solo guitar'. Ni mtazamo tuNina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki
Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye ni first born .Wewe ungefanyaje ?
Inategemea. Kuna mwingne ameolewa mume wake wa mwisho. Cku ya kwanza wanaenda kutambulishana ma mkwe anamwambia bi dada ''nenden na mtoto mkamtafutie shule englsh midium asome!'' Huyo mtoto baba yk yupo hai na ni mfanyakaz ictoshe ma mkwe mwalim na mtoto anasoma hapo anapofundsha. Bidada na mwenzie ndo kwanza wako chuo kikuu wanasoma. Walivyooana ndo utacheka upasuke. Bidada anaambiwa ''inabid uje uish hapa kijijin na mumeo mi nastaf mwakan naenda dar kwa mume wangu'' (mumewe anafanya kaz huko). ''Af hi nyumba itabid mjenge ingine hi haifai!'' ( ndo kwanza wanasubiria ajira mishe za town za mmewe ndo znawaweka mjin) Mumewe kwao wanaume wapo wengi na waliotangulia wote wapo kazin. Bidada kachoka hana hamu lkn ndo kashayavulia nguo maji yabd aoge 2.
kazi kweli kweli...boga linapotaka kuitwa ubongo!!!
Kabla hawajaoana angemmwambia .sasa inabidi amuache huyo mume maana umaskini ndio
Unapoanza
Acha kufuatillia maisha ya watu.Nina rafiki yangu hajakaa hata mwezi Kwenye ndoa mama mkwe kahamia na wajukuu wa Tatu .rafiki
Yangu kanipigia simu analia kwa uchungu baada ya kumuuliza mume wake kwa nini wanahamia akasema yeye ni first born .Wewe ungefanyaje ?
Hayatuhusu
Nimemwambia atupe vitu vyao nje .mume mwenyewe mshahara million 2 shillings jamani .extended family Noma
Unaweza ukacheka, afu ukaudhika vile vile at the same time
Ni Mtazamo Wako...Wabongo bhana,ukiongea reality una dharau! Ukikosa unasemwa,acheni hizo bhana,mnataka watu waish maisha y kupretend ili muone mko level moja au? Aaaarggggh mnabore
Umaskini hauwezi kuanza kwa kuishi na Mama yako Mzazi. Pamoja na kwamba uzungu umetawala, lakini kumbuka huyo Mama kamtoa mbali huyo mume wa rafiki yako. Kwanza Mama Mzazi sio extended familly, labda kama ingekuwa wajomba, shangazi. Hakuna anachoweza kumlipa, bali kuhakikisha kuwa anaishi vizuri katika maisha yake yaliyobaki. Kwanza, tambua kuwa kama Mama anakaa na ninyi watoto wenu watalelewa vizuri wakati ninyi mkiwa kazini. Hatakubali HG alete kijana ndani na kumwonywesha maziwa ya mtoto.