YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
BARAZA KUU NA MKUTANO MKUU NDIO WENYE MAMLAKA YA KUWAVUA SIO KAMATI KUU KWA MUJIBU WA KATIBA YAO YA CHADEMA.vyama vingine tofauti kamati kuu ikikutimua katiba inatamka kuwa umeshaondoka ya Chadema haiko hivyoSasa hao aliokwishawapitisha wamevuliwa uanachama wa chama chao, na hivyo kwa mujibu wa katiba wamepoteza sifa za kuwa wabunge.
pili spika kapelekewa majina na tume ya uchaguzi kwa nini Chadema HAWAKOMALII TUME WANAMKOMALIA SPIKA? kuna nini? yeye hapokei majina kienyeji anapelekewa