Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
jambo zito hilohii inamaanisha ili chadema ishinde kwa kishindo kinachotakiwa, lazima ikubali kubadilika and start doing things right besides doing the right thing!.
jambo zito hilohii inamaanisha ili chadema ishinde kwa kishindo kinachotakiwa, lazima ikubali kubadilika and start doing things right besides doing the right thing!.
Nimegundua humu jamvini chadema mipewa ushauri mnakuja juu, hata kama una manufaa na chama chenu kwanini? nashindwa kuelewa! ni mtu gani asotaka kushauri? hii ni ishara ya chama kibaya, mnataka kujifanya nyie kama nyerere alokataa ushauri na kujifanya kutawala kwa akili zake yeye tu ! hivi mtafika kweli?
Hivi chadema itashinda kwa kura za kina nani? wachagga? wako wangapi nchi hii?
Mkuu wangu shukran na umegusia haswa pale panapotuweka sote pamoja nyuma ya Chadema.. Je hii inatosha kweli kutegemea kuchoka kwa CCM ndio uwe mtaji wetu kisiasa?. Kwa mwenye kutazama ndani vizuri sana atafahamu support kubwa ya Chadema ni kuipiga mande CCM waondoke, mtaji huu hautoshi kisiasa maana wananchi hawa hawana tumaini la sisi kufanya nini baada ya ushindi.SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM
Bila shaka hapa unazungumzia mikoba ya Uganga wa kienyeji.ok, ni zitto kuchukua mikoba ya urais ifikapo wakati huo. Hilo for sure linazungumzika
wewe unaelewa maana ya cocoon?
wewe unaelewa maana ya cocoon?
Mkuu BAK, determinant factor ya ushindi wowote kupitia ballot box ni idadi ya kura halali!. Matokeo yakishatoka, "the end justify the means", kama mshindi alihonga ili apigiwe kura au alichakachua, kura batili zika its way into ballot box, mshindi ni aliyeshinda no matter what!. Hao wanahongwa pilau, t-shirt na kofia na kupiga kura zao in favour ya CCM, kura zao ni halali kwa sababu hiyo ndiyo ridhaa yao!.
Pasco,
Umenena vema,ni rahisi sana kukosoa na kurekebisha makosa.au niseme ni rahisi sana kutazama boriti lililo ndani ya jicho la mwenzako,LAKINI nivigumu sana kuwa sehemu ya hayo mazuri unayoyafikiria.
Jamani serikali ya CCM haiwachoshi tu bibi,shangazi,na watoto wa wanachama wa chadema.Sote tumepigika,sote Tunaumia,sote tunateseka.NI lini!!!!!!!! kauli hizi za kunyooshea vidole wengine kwamba wafanye hivi wafanye vile zitakomeshwa.
Huu ni mda wa kufanya maamuzi na kusimama upande mmoja.kama uko CCM zungumza kama mwanaCCM na kama ni mpambanaji simama ujibainishe na kuwa sehemu ya mabadiliko.
Tuachane na uvuguvugu ndio unaochelewesha safari yetu ya ukombozi,nchi hii bwana,
walimu vuguvugu
madaktari vuguvugu
waandishi vuguvugu
wanasiasa vuguvugu
Tatizo liko hapo.!!!!!!!!
EVERYBODY HAS TO CHANGE .
pumba na mchele zikichanganywa pamoja.
badilika kwanza wewe na mafumbo yako. watanzania tushachoka na mafumbo na misemo(ya jk).
Mkuu mwananchi wa kawaida kijijini hahitaj kujua ufisd wa ccm anahtaj umwambie ni jins gan utatatua changamoto zake za miundo mbinu afya na elimu ni lazima CHADEMA 2WE NA SULUHISHO MBADALA KWA CCM ILIYOCHOKWAyataje hayo mapungufu kama kweli we unanianjema na chadema
Mkuu BAK, determinant factor ya ushindi wowote kupitia ballot box ni idadi ya kura halali!. Matokeo yakishatoka, "the end justify the means", kama mshindi alihonga ili apigiwe kura au alichakachua, kura batili zika its way into ballot box, mshindi ni aliyeshinda no matter what!. Hao wanahongwa pilau, t-shirt na kofia na kupiga kura zao in favour ya CCM, kura zao ni halali kwa sababu hiyo ndiyo ridhaa yao!.
We ni mvivu wa kuhudhuria mikutano ya CDM ungefaham na usingeleta huo umbea wenu hapa jf.hiz ndizo ajira alizo ahid jk kuwa atatoa ahsante tunazionaMkuu mwananchi wa kawaida kijijini hahitaj kujua ufisd wa ccm anahtaj umwambie ni jins gan utatatua changamoto zake za miundo mbinu afya na elimu ni lazima CHADEMA 2WE NA SULUHISHO MBADALA KWA CCM ILIYOCHOKWA
Mkuu mwananchi wa kawaida kijijini hahitaj kujua ufisd wa ccm anahtaj umwambie ni jins gan utatatua changamoto zake za miundo mbinu afya na elimu ni lazima CHADEMA 2WE NA SULUHISHO MBADALA KWA CCM ILIYOCHOKWA
Chadema sio rahisi kushinda, kwa sababu imeonesha dhahiri kuwa ni chama cha kanisa, sisi waislamu hatuwapi kura zetu , hilo lazima walijue, sasa watashinda kwa kura za kina nani?