chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,662
Rushwa imekita mizizi katika jamii. Bob Chacha Wangwe, baada ya kutangaza kwamba atagombea ubunge Tarime Mjini mwaka 2025. Amemueleza Mwenyekiti wa Chadema Wilaya kwamba "ana soda kidogo kwa ajili ya wajumbe" .
Kwa maoni yangu, naona hiyo ni rushwa kwa kuwa hiyo soda inatolewa kwa wajumbe baada ya kutangaza nia ya kugombea.
Kama soda zimeanza mapema hivi, tena katika chaguzi za ndani, mwaka 2025 Chadema watatoa "soda" kiasi gani kwa wajumbe na wananchi watakaopiga kura?
Mara nyingi chadema imekuwa ikiishutumu CCM kwa vitendo vya rushwa katika uchaguzi, shutuma ambazo hazijawahi kuwa na ushahidi wowote
Kwa maoni yangu, naona hiyo ni rushwa kwa kuwa hiyo soda inatolewa kwa wajumbe baada ya kutangaza nia ya kugombea.
Kama soda zimeanza mapema hivi, tena katika chaguzi za ndani, mwaka 2025 Chadema watatoa "soda" kiasi gani kwa wajumbe na wananchi watakaopiga kura?
Mara nyingi chadema imekuwa ikiishutumu CCM kwa vitendo vya rushwa katika uchaguzi, shutuma ambazo hazijawahi kuwa na ushahidi wowote