Kitendo cha timu ya Azam Fc kugomea mechi ya kirafiki kabla ya kuisha kisa maamuzi mabovu ya mwamuzi kinaonesha mlivyo na utoto. Lengo kuu la friendly match ni kupima mbinu na utimamu wa mwili, kwa nini mkimbie?
Na leo mlipaswa kuwa na mechi dhidi ya Club Africain naambiwa mmeisusa kisa droo ya CAFCC inaonesha mnaweza kukutana nao round ya pili. Jana wakati mnacheza Club Africain walikuwa uwanjani kuwasoma kwa ajili ya mechi ya leo. Mnadhani kuna kitu mmeokoa? Hakuna.
Huyu kocha Msenegal na wasaidizi wake kutoka kwao hawatawasaidia kitu, kikosi pia ni kidogo na kinakosa quality kwenye maeneo muhimu kama beki wa kati, beki wa kulia, kiungo namba 10/8 mzuri na winga wa kulia.
Msipobadirika hata Waethiopia hamuwatoi na ngao ya jamii Yanga akipenda atawakandaa na ligi hamchukui. Muda ni mwalimu mzuri.
Pia soma: Azam yagomea bao la 4 huko Tunisia, yasingizia refa alikuwa na upendeleo
Na leo mlipaswa kuwa na mechi dhidi ya Club Africain naambiwa mmeisusa kisa droo ya CAFCC inaonesha mnaweza kukutana nao round ya pili. Jana wakati mnacheza Club Africain walikuwa uwanjani kuwasoma kwa ajili ya mechi ya leo. Mnadhani kuna kitu mmeokoa? Hakuna.
Huyu kocha Msenegal na wasaidizi wake kutoka kwao hawatawasaidia kitu, kikosi pia ni kidogo na kinakosa quality kwenye maeneo muhimu kama beki wa kati, beki wa kulia, kiungo namba 10/8 mzuri na winga wa kulia.
Msipobadirika hata Waethiopia hamuwatoi na ngao ya jamii Yanga akipenda atawakandaa na ligi hamchukui. Muda ni mwalimu mzuri.
Pia soma: Azam yagomea bao la 4 huko Tunisia, yasingizia refa alikuwa na upendeleo