Kudhalilishwa ofisini kwa Said Mwema

Kudhalilishwa ofisini kwa Said Mwema

Something might be wrong!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kama Dr. Slaa asingekuwa honeymoon USA, angesaidia kuongeza nguvu kupambana na dhuluma hizi tunazofanyiwa wanyonge. Kwa mambo anayofanya Dr. Slaa na Josephine huko US, siwezi kujiunga nao
 
Haya ni majungu aliyeandika barua haeleweki anachoongelea ni barabara, rambirambi, fidia au kitu gani.

Mlolongo mreeefu wa mabarua kwa marais mbalimbali yanatajwa tu hayasemwi ni ya nini sasa mtu kama huyu kumsikiliza utamuelewa kweli au ni kupoteza wakati; inawezekana hata ana matatizo ya akili sasa kazi ya wakuu itakuwa kuchekeana na waokota makopo kwani ni fani yao kuwatibu.

Hata mleta mada hasemi ni pumba gani hizi kaweka hapa yeye anamwaga tu pwaaa kutupotezea wakati.
 
juzi kwa mara ya kwanza nilikutana na polisi mstàrabu.alikuja benki ya nmb mandela ila kwa unyenyekevu wake,tulimpisha.alikuwa ni mdada na nyota zake mbili kila upande

...alikuwa mdada.....!Watu wengine bwana,mkiona mwanamke tu,ndio uzalendo unawajia!!!
 
Mungu wangu.Said Mwema Ambaye nu Msomi mwenye Shahada ya Sheria ndiye anayehalakisha mambo ya kipuuzi kama haya?

Msomi wapi?huyu aliambiwa amuache mkewe yule mhaya ili apewe u IGP na akafanya hivo...hakuna kitu pale
 
maelezo ya huyo mzee yanajikanganya! Haeleweki anamlalamikia nani! Mara Mwema,mara DCI,mara Ujenzi Tanga,mara Mwal Nyerere,Ah! Nadhani uzee wake umekuja vibaya.

Ujenzi, polisi, mkoa wa tanga, kinondoni na mchanganyiko mwengine maalumu ambao haueleweki hasa analalamika nini.

Nina wasiwasi huyu kidogo amechanganyikiwa (ana msongo wa mawazo).
 
Wakati wa mar. J.K.Nyerere akiwa Rais alikuwepo mtu kama huyu alikuwa anaitwa Mkalakala na mama 1 alikuwa anaitwa Rose alikuwa mke wa RMO kusin.Sasa hv yupo mtu 1 anaitwa Foya huko Kmanjaro hawa wanaugonjwa wa AKILI dawa yao kusikiliza au kupokea barua wanazoleta au kuwapeleka kwa tabibu wa afya ya akili.Pole sana IGP
 
Tuambie kuhusu rambirambi

Hivi hii habari ya Rambirambi ni kweli eeh?maana naona hajajibu popote hizo tuhuma!mh kama ni kweli,CCM sio watu wa kuwaamin kabisa,yan mumuulie mume wake na pesa za rambirambi mkala..lol!
 
kwani huyo mzee dini gani..?wenye dini sahihi wanakula bota nchini kote..
 
Mie sijamwelewa .Huyu Mzee kuja si angalienda huko Lumumba ? Nimesoma hadi mwisho na kurudia sijajua ana madai gani .
 
maelezo ya huyo mzee yanajikanganya! Haeleweki anamlalamikia nani! Mara Mwema,mara DCI,mara Ujenzi Tanga,mara Mwal Nyerere,Ah! Nadhani uzee wake umekuja vibaya.

......mara Bagamoyo, n.k.
 
Back
Top Bottom