Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,079
SAJEN ALIKO JACKSON
MWANJONDE MWARILINGO
MWAIBATA MWAKYOMA
C/O TAWI LA CCM
LUGURUNI KATA KWEMBE
S.L.P. 9601 KINONDONI
DAR ES SALAAM
KUMB TA/JM/M/188 05/10/2013
MHE. RAIS DR. JAKAYA KIKWETE 0756563169
S.L.P. 20
DAR ES SALAAM
K.K:
MH: MKUU WA WILAYA
MKOA WA PWANI
YAH: KUDHALILISHWA OFISINI KWA MHE. SAID MWEMA MKUU WA JESHI LA POLISI TANZANIA NA AFISA WAKE KUWAAGIZA POLISI KWAMBA AKIJA HUYO MZEE MWANJONDE MLETENI OFISINI KWANGU.
Kwa heshima naleta malalamiko yangu kwako nakuomba uunde tume ikiongozwea na Katibu tawala mhe. Mkuu wa wilaya Bagamoyo kwa malalamiko yangu hapo juu.
Tarehe 4/10/2013 nilifika ofisi ya Mhe. Said Mwema pale mapokezi afisa wa polisi aliyevaa unifomu za polisi akasema mzee mwanjonde usiende ofisini. Kwa kuwa tumeletewa taarifa kwamba ukija tumuite bosi wetu, mara akaja bosi wao akasema mzee hutakiwi kuingia katika ofisi mhe. Said mwema. Twende kwa bosi wangu na kunishika shati kama mharifu. Baada ya kufika kwa bosi wake akasema mzee shida yako nini ya kuja mara kwa mara hapa?
Nikamjibu kwamba ninafuata ya barua zangu. Akasema kuwa sitaki kusikia habari za barua. Akasema kuwa yeye ndiye bosi wa jengo hili. Nimeagizwa ni marufuku kuingia kwenye jengo hili. Yule polisi aliyenileta kwake akasema tekeleza amri hii.
Akanishika shati twende mzee. Tukatelemka mpaka chini kwenye ofisi ya mapokezi. Pale kaunta palikuwa na askari watatu (3) mmoja kavaa nguo za kiraia. Akawauliza wenzenu wako wapi? wakajibu wako kule nje akawaita wote njooni, walipofika wote pale mapokezi akawaambia kwamba ni marufuku huyu mzee Mwanjonde kuja hapa ofisini, na raia walikuwepo wakishangaa kwa umri wangu huu na ndevu nilizonazo nyeupe umri wa miaka 77 akanishika twenda mzee mpaka kule nje. Na wengine kule nje wananifahamu hivyo wakawa wanashangaa kwamba huyu mzee kafanya nini huko ndani?
Baada ya kutoka, wale wafuasi wa CHADEMA wakasema umefanya nini huko? Wakaniambia siku zote tunakwambia ondoka CCM wewe unang'angania huko CCM, haya sasa yamekupata je utaendelea kukaa CCM? Nikawaambia ndiyo nitafia huko huko CCM. Siendi kwenu ninakwenda kwa rais wangu Mhe. Rais Dr. Jakaya Mlisho Kikwete na kwa Mhe. Abdallah Haman, katibu mkuu wa CCM Taifa bara.
Na kwa barua hizi za tarehe 05/08/1998, 30/01/1995. Najibu la Ikulu kumb PP/181/39 ya tarehe 7/4/1995. Na 23/09/1997 NA 30/07/1997 jibu la Ikulu Kumb Na. 480/15/10/1997.
Kumb TA/JM/M/199 ya tarehe 23/09/2009
Kumb TA/JM/M/186 ya tarehe 21/09/2013
Kumb TA/JM/M/44 ya tarehe 30/09/2013
Kumb TA/JM/M/25 ya tarehe 30/04/2013
Gazeti la Dar leo la 17/05/1999 milioni 200 za ukarabati wa barabara zazua kasheshe Tanga. Akitoa ufafanuzi kuhusiana na utata huo Mhe. Mkuchika alisema kwa kuwa Wizara ya Ujenzi iliwahi kuunda tume ya kuchunguza tuhuma hizo ni vyema kikao kuagiza ripoti ipelekwe na kusomwa mbele ya wajumbe.
Halafu itolewe adhabu kwa wahusika Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete adhabu iliyotolewa ni kuwahamisha kituo na kuwapandisha vyeo bila kuwachukulia hatua. Nao wabunge wa mkowa wa tanga waliokuwa katika kikao katika hotel ya Mkonge Tanga walimtisha Rais wao Mhe. Rais Mkapa.
Wafanyakazi wa Wizara ya ujenzi walimuandikia Rais mstaafu Mkapa na barua hizo wakaniletea mimi nidpo nikazileta Ikulu. Na Rais Mkapa akanituma kwa Mhe. Adadi Rajabu Mkurugenzi makosa ya jinai nchini Tanzania.
Sababu za kunipiga marufuku viongozi wa wizara ya ujenzi mkoa wa Tanga waliuza Computa, mipira ya magari, spea za magari wakahonga polisi wa kituo cha chumbageni na mahakimu wa chumbageni mwezi wa 10/2006 RCO (M) ambaye alikuwa anawalinda maafisa wake Kinondoni ofisi ya kamanda wa polisi yupo mpelelezi anapenda rushwa nimempelekea Mhe. Robarti Manumba ndio maana hawanitaki. Pokea kopi ya Mwl. Julius Nyerere Kambarage yenye Kumb RM/12/D ya tarehe 02/12/1997 nilikwenda kumpelekea barua ya tarehe 30/07/1997 wafanya kazi wa Wizara ya Ujenzi ombi kwenu wote nawaomba mchango kupitia A/C J2445883100 CRDB/TAWI LA TANGA ombi la nafasi ya Mhe Said Mwema asipewe mchango na ya Mhe. R. Manumba.
Naomba tume utakayoiunda ije kwangu ili niwaeleze yote yaliyotokea huko Tanga na yaliyotokea huko Wizara ya mambo ya ndani.
Kidumu chama cha Mapinduzi
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko
WENU RAIA MWEMA
SAJEN ALIKO JACKSON MWANJONDE.
Nakala:
Mhe. Bilali Makamu wa Rais
Mhe. Mizengo Pinda Waziri Mkuu
Mhe. Immanuel Nchimbi Waziri wa Mambo ya Ndani
K.K: Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na sababu ni kwa sababu nimepigwa marufuku ofisi ya Said Mwema. Nataka kufika kwake nakuomba wewe ndo unipeleke.
Mh. Abdallha Mari K/M/CCM Taifa
Mh. Phillipo Mangula M/K/CCM Taifa Bara
MWANJONDE MWARILINGO
MWAIBATA MWAKYOMA
C/O TAWI LA CCM
LUGURUNI KATA KWEMBE
S.L.P. 9601 KINONDONI
DAR ES SALAAM
KUMB TA/JM/M/188 05/10/2013
MHE. RAIS DR. JAKAYA KIKWETE 0756563169
S.L.P. 20
DAR ES SALAAM
K.K:
MH: MKUU WA WILAYA
MKOA WA PWANI
YAH: KUDHALILISHWA OFISINI KWA MHE. SAID MWEMA MKUU WA JESHI LA POLISI TANZANIA NA AFISA WAKE KUWAAGIZA POLISI KWAMBA AKIJA HUYO MZEE MWANJONDE MLETENI OFISINI KWANGU.
Kwa heshima naleta malalamiko yangu kwako nakuomba uunde tume ikiongozwea na Katibu tawala mhe. Mkuu wa wilaya Bagamoyo kwa malalamiko yangu hapo juu.
Tarehe 4/10/2013 nilifika ofisi ya Mhe. Said Mwema pale mapokezi afisa wa polisi aliyevaa unifomu za polisi akasema mzee mwanjonde usiende ofisini. Kwa kuwa tumeletewa taarifa kwamba ukija tumuite bosi wetu, mara akaja bosi wao akasema mzee hutakiwi kuingia katika ofisi mhe. Said mwema. Twende kwa bosi wangu na kunishika shati kama mharifu. Baada ya kufika kwa bosi wake akasema mzee shida yako nini ya kuja mara kwa mara hapa?
Nikamjibu kwamba ninafuata ya barua zangu. Akasema kuwa sitaki kusikia habari za barua. Akasema kuwa yeye ndiye bosi wa jengo hili. Nimeagizwa ni marufuku kuingia kwenye jengo hili. Yule polisi aliyenileta kwake akasema tekeleza amri hii.
Akanishika shati twende mzee. Tukatelemka mpaka chini kwenye ofisi ya mapokezi. Pale kaunta palikuwa na askari watatu (3) mmoja kavaa nguo za kiraia. Akawauliza wenzenu wako wapi? wakajibu wako kule nje akawaita wote njooni, walipofika wote pale mapokezi akawaambia kwamba ni marufuku huyu mzee Mwanjonde kuja hapa ofisini, na raia walikuwepo wakishangaa kwa umri wangu huu na ndevu nilizonazo nyeupe umri wa miaka 77 akanishika twenda mzee mpaka kule nje. Na wengine kule nje wananifahamu hivyo wakawa wanashangaa kwamba huyu mzee kafanya nini huko ndani?
Baada ya kutoka, wale wafuasi wa CHADEMA wakasema umefanya nini huko? Wakaniambia siku zote tunakwambia ondoka CCM wewe unang'angania huko CCM, haya sasa yamekupata je utaendelea kukaa CCM? Nikawaambia ndiyo nitafia huko huko CCM. Siendi kwenu ninakwenda kwa rais wangu Mhe. Rais Dr. Jakaya Mlisho Kikwete na kwa Mhe. Abdallah Haman, katibu mkuu wa CCM Taifa bara.
Na kwa barua hizi za tarehe 05/08/1998, 30/01/1995. Najibu la Ikulu kumb PP/181/39 ya tarehe 7/4/1995. Na 23/09/1997 NA 30/07/1997 jibu la Ikulu Kumb Na. 480/15/10/1997.
Kumb TA/JM/M/199 ya tarehe 23/09/2009
Kumb TA/JM/M/186 ya tarehe 21/09/2013
Kumb TA/JM/M/44 ya tarehe 30/09/2013
Kumb TA/JM/M/25 ya tarehe 30/04/2013
Gazeti la Dar leo la 17/05/1999 milioni 200 za ukarabati wa barabara zazua kasheshe Tanga. Akitoa ufafanuzi kuhusiana na utata huo Mhe. Mkuchika alisema kwa kuwa Wizara ya Ujenzi iliwahi kuunda tume ya kuchunguza tuhuma hizo ni vyema kikao kuagiza ripoti ipelekwe na kusomwa mbele ya wajumbe.
Halafu itolewe adhabu kwa wahusika Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete adhabu iliyotolewa ni kuwahamisha kituo na kuwapandisha vyeo bila kuwachukulia hatua. Nao wabunge wa mkowa wa tanga waliokuwa katika kikao katika hotel ya Mkonge Tanga walimtisha Rais wao Mhe. Rais Mkapa.
Wafanyakazi wa Wizara ya ujenzi walimuandikia Rais mstaafu Mkapa na barua hizo wakaniletea mimi nidpo nikazileta Ikulu. Na Rais Mkapa akanituma kwa Mhe. Adadi Rajabu Mkurugenzi makosa ya jinai nchini Tanzania.
Sababu za kunipiga marufuku viongozi wa wizara ya ujenzi mkoa wa Tanga waliuza Computa, mipira ya magari, spea za magari wakahonga polisi wa kituo cha chumbageni na mahakimu wa chumbageni mwezi wa 10/2006 RCO (M) ambaye alikuwa anawalinda maafisa wake Kinondoni ofisi ya kamanda wa polisi yupo mpelelezi anapenda rushwa nimempelekea Mhe. Robarti Manumba ndio maana hawanitaki. Pokea kopi ya Mwl. Julius Nyerere Kambarage yenye Kumb RM/12/D ya tarehe 02/12/1997 nilikwenda kumpelekea barua ya tarehe 30/07/1997 wafanya kazi wa Wizara ya Ujenzi ombi kwenu wote nawaomba mchango kupitia A/C J2445883100 CRDB/TAWI LA TANGA ombi la nafasi ya Mhe Said Mwema asipewe mchango na ya Mhe. R. Manumba.
Naomba tume utakayoiunda ije kwangu ili niwaeleze yote yaliyotokea huko Tanga na yaliyotokea huko Wizara ya mambo ya ndani.
Kidumu chama cha Mapinduzi
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko
WENU RAIA MWEMA
SAJEN ALIKO JACKSON MWANJONDE.
Nakala:
Mhe. Bilali Makamu wa Rais
Mhe. Mizengo Pinda Waziri Mkuu
Mhe. Immanuel Nchimbi Waziri wa Mambo ya Ndani
K.K: Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na sababu ni kwa sababu nimepigwa marufuku ofisi ya Said Mwema. Nataka kufika kwake nakuomba wewe ndo unipeleke.
Mh. Abdallha Mari K/M/CCM Taifa
Mh. Phillipo Mangula M/K/CCM Taifa Bara