kubenafrank
Member
- Aug 14, 2011
- 82
- 22
Tatizo tulilonalo ni mfumo mbovu wa uendeshaji nchi.Hatuna vipaumbele kama taifa ndio maana kila Rais na serikali yake anapoingia madarakani anakuja na vioja vyake.Mara wengine wafute masomo ya kilimo na biashara ambayo ndo chanzo cha maendeleo katika dunia hii. Ni katika tanzania tu ambapo Rais anaweza kufanya chochote atakacho bila ushauri wa mtu yeyote kwa ajili ya taifa.Hii ni hatari sana kwa taifa.
Suluhisho ya matatizo yote yataondoka tu mara tutakapoweza kuiondoa ccm na serikali yake na kuwawajibisha kwa manufaa ya umma. Pili, tutengeneze katiba nzuri ambayo itaweka maslahi na vipaumbele vya taifa mbele na kuacha pembeni maslahi ya vyama na mtu mmoja mmoja.
Bila kufanya hayo tutaendelea kuteseka bila sababu yeyote ya msingi wakati Mungu ametupa rasilimali zote za utajiri ambazo zinawanufaisha wachache pamoja na wageni.
Suluhisho ya matatizo yote yataondoka tu mara tutakapoweza kuiondoa ccm na serikali yake na kuwawajibisha kwa manufaa ya umma. Pili, tutengeneze katiba nzuri ambayo itaweka maslahi na vipaumbele vya taifa mbele na kuacha pembeni maslahi ya vyama na mtu mmoja mmoja.
Bila kufanya hayo tutaendelea kuteseka bila sababu yeyote ya msingi wakati Mungu ametupa rasilimali zote za utajiri ambazo zinawanufaisha wachache pamoja na wageni.