Kudadadeki Vita mpya kati ya Manara na Mwijaku imenoga

Kudadadeki Vita mpya kati ya Manara na Mwijaku imenoga

"Mwijaku asiwaongopee watu kuwa amejenga atuonesha hati kama kuna jina lake mke wake ana msitiri tu kuishi kwake alichokisema @officialbabalevo kina ukweli ndiyo maana alikaa kimya" Alisema Haji Manara.

Chanzo Taarifa: manaratv

Ila Haji Manara muhuni sana Wewe jamaa yaani hata hujaogopa kusema kuwa Mwijaku Kajaaliwa Umbile zuri Mashaalah?
hii ni aibu sana kwa wanaume
 
Hiyo list uliyotaja kuna wengine umewasahau
zee la minyama
juma lukole
doto magari
dudu baya
 
Wanaume nao siku hizi wamekuwa mipasho ,umbeya promax .Dunia imekwisha ,kwani wanaume wamekuwa zaidi ya wanawake kwa mipasho.Wanaume wenzao uko duniani wanawaza kurusha vyombo mwezini,kutengeneza ndege,kutengeneza fedha ,investment nk wao matako ,wanawake duu Dr.Samia anaongoza watu wa ajabu lazima apate shida sana.Mama Samia Pole Dada yangu .
 
"Mwijaku asiwaongopee watu kuwa amejenga atuonesha hati kama kuna jina lake mke wake ana msitiri tu kuishi kwake alichokisema @officialbabalevo kina ukweli ndiyo maana alikaa kimya" Alisema Haji Manara.

Chanzo Taarifa: manaratv

Ila Haji Manara muhuni sana Wewe jamaa yaani hata hujaogopa kusema kuwa Mwijaku Kajaaliwa Umbile zuri Mashaalah?
Umbea una faida gani kwa hii nchi?
 
Wanaume ni WAMBEA kuliko wanawake

Wanawake tumewaachia UMBEA sasa tunasaka PESA...
Dar ilitakiwa kuwa kioo cha mikoa mingine ila ndio imekuwa mfano kwa issue zisizo na maana.
Masela tumekuwa vip sijui unakuta msela yuko busy kutafta leo nani kafanya nini na wapi ili dah kwel ni dar.
 
Kwa hili jibu sijui kama karudi
Hajarudi na nina uhakika hatothubutu tena kujaa katika 18 zangu. Nina PhD ya Kujibizana na Watu kwa kila aina ya Maneno hata wakiwa 100 kwa wakati mmoja na Mimi hivi peke yangu tu na bado nitawamudu na kuwanyoosha wote.
 
"Mwijaku asiwaongopee watu kuwa amejenga atuonesha hati kama kuna jina lake mke wake ana msitiri tu kuishi kwake alichokisema @officialbabalevo kina ukweli ndiyo maana alikaa kimya" Alisema Haji Manara.

Chanzo Taarifa: manaratv

Ila Haji Manara muhuni sana Wewe jamaa yaani hata hujaogopa kusema kuwa Mwijaku Kajaaliwa Umbile zuri Mashaalah?
Hawa machawa wote ni wapuuzi, kuanzia Dotto Magari, Mwijaku, Baba Levo na wapuuzi wengine waliojaa hapa mjini.....mwanamme una akili timamu unashindaje kujipiga picha na kuropoka tu kila kukicha ili uwekwe mjini?
 
Hajarudi na nina uhakika hatothubutu tena kujaa katika 18 zangu. Nina PhD ya Kujibizana na Watu kwa kila aina ya Maneno hata wakiwa 100 kwa wakati mmoja na Mimi hivi peke yangu tu na bado nitawamudu na kuwanyoosha wote.
Ulivyo mjinga unaona matusi ni sifa nzuri.
 
Back
Top Bottom