Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Kuna mkaka alisemaga kitu humu ndani ambacho sintasahau kutuhusu, nakumbuka maneno yalikuwa kama hivi, "Wanawake ni emotionally intelligent and very resilient" na kuwa tuna extra sense ambayo hutufanya kugundua vitu haraka pasipo waume zetu kujua. Which is very true!
Sasa nyie vidume jitutumueni tu kuwa hatuwezi kushindana na nyie (Sawa) lakini you guys have no Idea what we're capable of doing. Tunaweza kuonekana wakimya, na wavumilivu kwenye upuuzi wenu laiti mngelijua, kumbe mtu anawachora tu na kuwalia timing, waiting for the perfect time to strike, and of course, we always do it quietly. 🙂
 
Mi naamini kuna madada ambao wanajiheshimu,siyo wote wana hulka yakuchepuka kwani kuna kitu kinaitwa hormonal imbalance,mwanamke akiwa na testerone nyingi maranyingi ni vigumu sana kuhimili ashki zake hivyo wanawake wa hivyo wanashauriwa wawe na makazi kwaajili ya wanaume mbalimbali mfano madereva wa masafa,wanaume ambao wake zao wamejifungua hivi karibuni,wanaume ambao wameshindwa kutatua matatizo yao kwenye ndoa,wanaume ambao wako addicted na ununuzi wa wanawake n.k,kwahiyo unachosema yawezekana unaongelea wanawake wenye horminal imbalance.
Tena wakimya wabaya hao mnweza nunua kitu kimoja mme na mchepuko wote mnalipia chezea wewe omba tu kwakua hujakamata wanaume walivyo wajanja na wanawake hivyo hivyo halafu wao wanawajua waume vizuri kwahiyo kuchakachua ni rahisi sana
 
Nyiee ndo mnaoaibisha familia na watoto wako unainamishwa vichakani na umri huu
Come ooon man!!!!!!
Unaifanya ndoa kuwa boring, kila siku kitandani? Style ya serikali kifo cha mende? Change venue mpeleke bafuni, mfanyie kwenye gari, kichakani kama hakuna watu, barazani usiku mkalishe juu ya kadudu, mashelf ya jioni mbinue....
Ukijiona umri umeenda ndo matokeo yake kimoja kwa mwezi
 
Kuna mkaka alisemaga kitu humu ndani ambacho sintasahau kutuhusu, nakumbuka maneno yalikuwa kama hivi, "Wanawake ni emotionally intelligent and very resilient" na kuwa tuna extra sense ambayo hutufanya kugundua vitu haraka pasipo waume zetu kujua. Which is very true!
Sasa nyie vidume jitutumueni tu kuwa hatuwezi kushindana na nyie (Sawa) lakini you guys have no Idea what we're capable of doing. Tunaweza kuonekana wakimya, na wavumilivu kwenye upuuzi wenu laiti mngelijua, kumbe mtu anawachora tu na kuwalia timing, waiting for the perfect time to counter attack, and of course, we always do it quietly. 🙂
Haaaaa haaaa kama ulikuwepo
 
Come ooon man!!!!!!
Unaifanya ndoa kuwa boring, kila siku kitandani? Style ya serikali kifo cha mende? Change venue mpeleke bafuni, mfanyie kwenye gari, kichakani kama hakuna watu, barazani usiku mkalishe juu ya kadudu, mashelf ya jioni mbinue....
Ukijiona umri umeenda ndo matokeo yake kimojah kwa mwezi



Wewe kutiwa na Mme wako uko vichakana sijabisha unaliwa na mchepuko kichakani. mkiambiwa akili zenu zinawatosha kuvuka barabara na kubadilisha pad mtasema Mmetukanwa
 
Maumivu anayo pata mwanaume akigundua mke wake anachepuka hayamithiliki, chakula hakiliki, kazi hazifanyiki, kitanda hakilaliki, kila kitu ni shaghalabagala. Kwenye mada hii wanaume tulio oa hatubishani maana inagusa moja kwa moja
Kumbe inauma eeeh!! Hata sisi huumiaga hivyo hivyo, sema mshatufanya tumekuwa sugu hatuumi bali tunabaki kuthaminisha tu aliepita na aliepo sasa yupi mkali zaidi, na unaweza jishangaa unaambiwa "ila hapa pa sasa umechemka mume wangu, bora yule alopita".
 
Unataka uongeze mchepuko?
Ngoja kwanza nimuulize mkeo anao wangapi hadi sasa ili usije kumzidi.

Hahaha!, aisee!, yaani sasa hakuna tena mwendo wa kulialia eti mume kaibwa, sasa mwendo ni ku balance tu.
 
Back
Top Bottom