Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Wewe kutiwa na Mme wako uko vichakana sijabisha unaliwa na mchepuko kichakani. mkiambiwa akili zenu zinawatosha kuvuka barabara na kubadilisha pad mtasema Mmetukanwa
Basi we utakuwa zebra cross maana we nawe si ulizaliwa na mwanamke!!!
 
Nakuletea huko home uje kunywea hapo hapo. Ili ukinyegeka tu tuyamalize wenyewe. Mashaka yangu ni wewe, namcheki wife hapa namuona yuko busy kwa simu alafu ni full vicheko.
Umeniangusha sana, nilishajipa ushindi kuwa nguvu nilizotumia hapa angalau zimeokoa ndoa mbili tatu na ya kwako ikiwemo.. inakuaje tena unanishawishi aisee? Na upweke huu unafikiri nitakataa?
.
.
Njoo basi uniletee BALIMI zangu espy maombi yako yanahitajika ili shetani asipite hapa kati!
 
Hahaha!, aisee!, yaani sasa hakuna tena mwendo wa kulialia eti mume kaibwa, sasa mwendo ni ku balance tu.
Unalilia dyudyu kwani anayo yeye tu!! Akuu jipatie nawe yako akirudi anakukuta mwepesiiiiiiiii walaa hauna habari, unawasaidia tu watoto homework.
 
Nakuletea huko home uje kunywea hapo hapo. Ili ukinyegeka tu tuyamalize wenyewe. Mashaka yangu ni wewe, namcheki wife hapa namuona yuko busy kwa simu alafu ni full vicheko.
hebu ingia chumbani halafu ita kwa nguvu demii... Isije kuwa ndio wife wako. Mi bado namchunguza espy, wife kakaa tu yupo busy na simu hataki kuangalia cartoon
 
Umeniangusha sana, nilishajipa ushindi kuwa nguvu nilizotumia hapa angalau zimeokoa ndoa mbili tatu na ya kwako ikiwemo.. inakuaje tena unanishawishi aisee? Na upweke huu unafikiri nitakataa?
.
.
Njoo basi uniletee BALIMI zangu espy maombi yako yanahitajika ili shetani asipite hapa kati!
Ngoja nimuite na chuma cha mjerumani tufanye maombi ya nguvu, huyu shetani jamani mbona hivi lakini!!!
 
Umeniangusha sana, nilishajipa ushindi kuwa nguvu nilizotumia hapa angalau zimeokoa ndoa mbili tatu na ya kwako ikiwemo.. inakuaje tena unanishawishi aisee? Na upweke huu unafikiri nitakataa?
.
.
Njoo basi uniletee BALIMI zangu espy maombi yako yanahitajika ili shetani asipite hapa kati!


Hahaaa ukimuita espy pepooo linakimbia mbayaaa aisee.

Ila binafsi nimejifunza sana tu.
 
Nauliza maswali hata hayana msingi. Siku zote siangaliagi cartoons zao, leo nimekuwa msumbufu ili wanieleweshe. Kuna muda hawanijibu
Wanakushangaa huyu Dingi vipi
Ndo mtenge muda wenu, upate muda wa kukaa na wanao ucheze nao kama ni cartoon muangalie wote sio muda wote bar kama paka
 
Nauliza maswali hata hayana msingi. Siku zote siangaliagi cartoons zao, leo nimekuwa msumbufu ili wanieleweshe. Kuna muda hawanijibu
Hawajazoea kukuona muda huu huwa wasikia mama anapokufungulia mlango wao tayari wanakuwa walishalala
 
Sio vya kutunyanyasa hivyo::: kisa mahari nisubiri kuletewa ukimwi???? Haipo hata SKU moja!!!! Mahari yenyewe umechangiwa mpaka na babu mzaa babu!!! Uje kuninyanyasa nayo loooh!
You nailed it
 
Back
Top Bottom