Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,051
Mwanaume anasifiwa kwa kazi tu si kuhongwa kwa kibamia hapo mke kuchepuka lazimaSasa wanaume wenyewe ndio hawa wanajisifia kuhongwa unategemea tusichepuke kweli![]()
![]()
![]()
Mwanaume anasifiwa kwa kazi tu si kuhongwa kwa kibamia hapo mke kuchepuka lazimaSasa wanaume wenyewe ndio hawa wanajisifia kuhongwa unategemea tusichepuke kweli![]()
![]()
![]()
Nipo nyumbani naangalia cartoon, naona watoto wananiangalia halafu wanainama wanacheka. Kicheko chao sijakipenda, sijui wananijadili nini?Atakayesoma humu atakuwa mlinzi au askari sugu hata bar watapunguza kwenda safari za kushitukiza kama magu ofisini zitahamia nyumbani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mwanangu ana bahati sana kunipata mie mama ake, Mungu alipe maisha marefu tuDuuh! ukute watotonwa jiraninwanapiga chabo,watamtania mwanao hadi ajute kuzaliwa nawewe.
Sasa mwalimu wa biology unataka watu wachizike na ugwadu?Mi naamini kuna madada ambao wanajiheshimu,siyo wote wana hulka yakuchepuka kwani kuna kitu kinaitwa hormonal imbalance,mwanamke akiwa na testerone nyingi maranyingi ni vigumu sana kuhimili ashki zake hivyo wanawake wa hivyo wanashauriwa wawe na makazi kwaajili ya wanaume mbalimbali mfano madereva wa masafa,wanaume ambao wake zao wamejifungua hivi karibuni,wanaume ambao wameshindwa kutatua matatizo yao kwenye ndoa,wanaume ambao wako addicted na ununuzi wa wanawake n.k,kwahiyo unachosema yawezekana unaongelea wanawake wenye horminal imbalance.
Hihiiiiiii!Ukichepuka na mie you won't regret
Hebu try me please, I love you
usije ukanuia boxer bureeee nikaweka kambi alafu ukanisahaulisha somo lote hili la Mabeijing!Aaah si wanajitoa ufahamu wanadhani tunawaangaliaga tu, muda wao na wao wa kutuombea sasa.Misumari hii balaa..... Misumari hii ya motooo!!!
Hihiiiiiii!![]()
![]()
![]()
usije ukanuia boxer bureeee nikaweka kambi alafu ukanisahaulisha somo lote hili la Mabeijing!

Nakuletea huko home uje kunywea hapo hapo. Ili ukinyegeka tu tuyamalize wenyewe. Mashaka yangu ni wewe, namcheki wife hapa namuona yuko busy kwa simu alafu ni full vicheko.Lete hiyo balimi. Umenitamanisha
So hunitaki poa bana ila utanikumbukaHihiiiiiii!![]()
![]()
![]()
usije ukanuia boxer bureeee nikaweka kambi alafu ukanisahaulisha somo lote hili la Mabeijing!
Vita yetu sie taratiiiiiibu na akili mingi, si wanatuonaga mazezeta!! Utasikia hawa mwalimu wao kipofu, wakati wanasahau wao ndio walimu wetu.Kuna mkaka alisemaga kitu humu ndani ambacho sintasahau kutuhusu, nakumbuka maneno yalikuwa kama hivi, "Wanawake ni emotionally intelligent and very resilient" na kuwa tuna extra sense ambayo hutufanya kugundua vitu haraka pasipo waume zetu kujua. Which is very true!
Sasa nyie vidume jitutumueni tu kuwa hatuwezi kushindana na nyie (Sawa) lakini you guys have no Idea what we're capable of doing. Tunaweza kuonekana wakimya, na wavumilivu kwenye upuuzi wenu laiti mngelijua, kumbe mtu anawachora tu na kuwalia timing, waiting for the perfect time to counter attack, and of course, we always do it quietly. 🙂
Kwakweli watuombee tu jamani tumeshikwa na jini mkata kambaAaah si wanajitoa ufahamu wanadhani tunawaangaliaga tu, muda wao na wao wa kutuombea sasa.
Wanakufurahia baba yao upo nao mida hii. Wenzako wako busy bar kwenye deals zao hawajui hata sura za watoto wao, inawezekana pia hata jina la shule wanayosoma au hata darasa wanalosoma hawajui!Nipo nyumbani naangalia cartoon, naona watoto wananiangalia halafu wanainama wanacheka. Kicheko chao sijakipenda, sijui wananijadili nini?
Haaa si walishakula haina shida wanamuona mama ana furaha hana stress mie najilia matunda huku naendeleaNipo nyumbani naangalia cartoon, naona watoto wananiangalia halafu wanainama wanacheka. Kicheko chao sijakipenda, sijui wananijadili nini?
Wanashangaa baba yao kurudi nyumbani mapema leo, wanacheka kuwa utakuwa umetoswa na mchepuko.Nipo nyumbani naangalia cartoon, naona watoto wananiangalia halafu wanainama wanacheka. Kicheko chao sijakipenda, sijui wananijadili nini?
Haha haaa. Ntakuja kuongeza uzoefu mpya ili kuboresha ndoa. Huko inaonekana yaliyomo yamo. Ila tumuheshimu maza house plizzz!So hunitaki poa bana ila utanikumbuka
😀😀😀😀Nipo nyumbani naangalia cartoon, naona watoto wananiangalia halafu wanainama wanacheka. Kicheko chao sijakipenda, sijui wananijadili nini?
Msije mkabanduana kikweli kweli nyie! Hii mada ni ya kujenga maadili ya wanandoa!Hihiiiiiii!![]()
![]()
![]()
usije ukanuia boxer bureeee nikaweka kambi alafu ukanisahaulisha somo lote hili la Mabeijing!
Uje uimarishe ndoaHaha haaa. Ntakuja kuongeza uzoefu mpya ili kuboresha ndoa. Huko inaonekana yaliyomo yamo. Ila tumuheshimu maza house plizzz!
Shhhhh unaniharibia banaMsije mkabanduana kikweli kweli nyie! Hii mada ni ya kujenga maadili ya wanandoa!
.
.
Do Not Allow Nature To Take Its Place. Pls
Shut da phuck up you wicked women, this is too much evil of you.