Kuchepuka raha

Angetenguliwa kiuno kabisa ili naye mke apate waku mpunguzia stress angetolewa na jicho kabisa
 
halafu wakuu tukumbuke hata wale malaya wa Meeda, Coco beach na buguruni wapo humu jamii forums.. sasa kwa vile hawawezi kusema kwamba wao ni malaya wanaandika hizi post na kujifanya wanandoa ili kuwaaminisha wanawake wengine kuwa umalaya ni kitu cha kawaida.. When a businessman wants to sell his products he tells diamond to tell the community he uses the same products, when a prostitute wants to make other women prostitutes she pretends in social media to be a marrried woman and makes cheating sound like a cool thing to do.
 
Tahadhar. usije ukaposti tena jf kuomba msaada. kila jambo baya lina impact yake ktka hii dunia,trust me huwez kimbia impact ya mistakes zako
 
Kwa uelewa wangu huyu mwanamke ni goal kipa,hana kazi ya kumfanya awe bize,pili Nina waswas na elim yake std 7.over
 
really appreciate your statement broo
 
ndo mana hazikai hata miezi sita watu wanaachana.. barnaba yukwapi sasa?
 
Unijie na manundu yako ya kufumaniwa, huyo mchepuko akuuguze hukohuko!!!
Kama mie hata maji simchemshii kila siku kanisani na ibada za walokole zinavyochelewa tamthilia kwa sana nienda kulala ukutani kimya chai na mihogo kimya ili akome
 
KWA RAHA ZAKO MAMA!
ukimwi HATA USINGECHEPUKA UNGEUPATA KWA TABIA YA MUMEO!
SASA SI BORA UUPATE NA WEWE UWE UMEPATA RAHA!
Mnatuchelewesha kuoa kwasababu unakuta tunawapata kurahisi hivyo.
 
Kwani mwanaume akiwa anachepuka hua anakusudi la kuvunja ndoa yake?kwanza nachepuka kwa siri sio achepukavyo mme.
Akikufumania hapo ndo utaona cha moto,aunakipata udhibitisho.. anakuacha unabaki single mother.
 
Hamna sifa mbaya kama mwanamke kuchepuka bora mwanaume aisee
 
Hujua hata ulichoandika. And yes malaya wapo..na wapo hapa kikazi sidhani kama wana muda wa kiandika mambo ya ndoa!
 
Yaani nashangaa wanaume wasiku hizi kosa anafanya muulize majibu yake halafu ananuna mimi huwa najiuliza unanuna nakupikia chakula una akili sijui kitu gani mwanaume una mnunia mke kweli zamani tulisikia wakubwa zetu mke akinuna baba akitoka na zawadi mke anacheka hasira kwishineee mambo yanaendelea sasa wame wa mwendokasi anavuta mdomo kama chiriku na sura zao za kiume kama kaambiwa dunia inanuka mke naye kijitafutia katulizo pembeni kwa raha zake wewe nuna tu.
 
ndo mana hazikai hata miezi sita watu wanaachana.. barnaba yukwapi sasa?
Watu wanaachana kila siku tangu enzi na enzi. Kumtaja barnaba ni kumuonea..bora yeye amerelax sasa hivi. No more stress!
 
Wee mshauri mwenzako agawe k, ila mkae mkijua kwamba mwanamke ana 80% ya kupata ukimwi wanaume 20% amwambie agawe hata kwa mbwa wa stend sio kwa wanaume tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…