Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,360
- 176,176
Utatosha tu, tutaishi kulingana na mazingira.eti Never acha mbwembwe kisa uko nyuma ya keyboard .
huo mshahara wa usecretary unafikiri utakutosha mwezi mzima?
Utatosha tu, tutaishi kulingana na mazingira.eti Never acha mbwembwe kisa uko nyuma ya keyboard .
huo mshahara wa usecretary unafikiri utakutosha mwezi mzima?
Hapana, muache ale raha! We only live oncemrejesho muhimu chakii
Me mume wangu anaijua ID yangu mbona. Ndo kwanza nimemkuta ananiombea mkewe nizidi kuwa amazing![]()
![]()
kwa comments za Evelyn Salt, demi, Heaven Sent, espy, nao, Nalendwa, mmoja wapo angekuwa ndio mke wangu saa hizi ningekuwa mochuari nakula kiyoyozi. Nimemchungulia Id yake hausiki
. Sisi kwetu ni mubashara tu kwa kweliAmen. Na Uzidi kujisikia aibu na kwa Mungu piaAhsante kwa mleta mada hii(kisia) maana nimejifunza mengi sana juu ya mke. Mwanzo wa mada kisia amesemwa sana kama ametenda kosa kubwa sana (ni kweli) lakini ujio wa hawa wadada Ms. Lincoln, demi, Heaven Sent, miss chagga, Nalendwa, Evelyn Salt, ringson, espy, LadyRed, Msweet, Go mi num, firstLady 1,nao,...hakika,wanaume tuna la kujifunza na lazima tukubali kuwa sisi ni wajinga kiasi fulani. Hakuna haja ya kuombewa maana hicho ndio kilio cha wanawake wengi walio kwenye ndoa, tubadilike kwa hiari. Naona aibu hata kumuangalia wife tangu jana (kaa nami Bwana Yesu peke yangu siwezi). Mkuu Ngoda 95 na wengine tubadilike, tuwajali hawa viumbe. AMEN
Sasa shangazi ndio ashagundua kuwa kile ni kibamia utafanyaje sasa!!sawa shangazi halaf hawa wanaochepuka hivi kama mtoa mada kukamatwa hawachelewi ujue shangazi huyo kashanogewa na utamu mpaka ya mumewe anaona kibamia aisee tusifikie huko jaman mumeo ni mumeo awe na kibamia au mbilimbi usimdharau kiivyo ndio aliyekupenda mpaka kakuoa
Kitanda hakizai haramu. Tukiwawekea suu inakuwaajali tu kama ile ya moto mkuu. Kwahiyo mtuombee tu tusijewawekea sumu.
wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
sawaHapana, muache ale raha! We only live once
Me mume wangu anaijua ID yangu mbona. Ndo kwanza nimemkuta ananiombea mkewe nizidi kuwa amazing. Sisi kwetu ni mubashara tu kwa kweli
Mkuu kwa comments zako![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Cha kukua nini sasa?
, nimekuwa mdogo kama pistons. Collabo mlio ipiga tangu jana hakuna cha BIGstallion wala Ngoda95 alie weza kujibu. Endeleeni kutunyosha
aahhahh shangazi basi acha nimuache apate utamu wake wa hogo la jangombeSasa shangazi ndio ashagundua kuwa kile ni kibamia utafanyaje sasa!!
Au hautaki mwenzio apate utamu, maana utamu wake uko busy kukitembeza hukooo, hataki hata kumpa mwenzie!! Au yeye kasahau kama huyo ni mkewe alomchagua mwenyewe?
#Wapo#ulishawai kukutana na tukio la mwanaume kumuwekea mke wake au kuua kisa amepata mchepuko mwenye Kyuma inayobana?
sisi tunachepuka vizuri na jioni narudi kwa mke heshima zote. nikimla namwambia mama nanii kyuma inazidi kubana nakuongezeka utamu kumbe angejua.
lakini nyie vichwa maji mtaanza dharau mara kibamia mara hanisugui vizuri
Wewe unaongelea jamii labda ya watu wa magharibi kwasababu sidhani kama suala la mwanamke na mwanaume kuchukuliwa tofauti katika ufanyaji wa baadhi ya mambo katika jamii zetu hasa za kitanzania,limebadilika,mimi ni mmoja wa watu ambao nime-experience mwanamke anapofanya jambo la aibu hususani la uzinzi husemwa nakuitwa majina yote tofauti na mwanaume,all in all kushindana katika kufanya maovu siyo busara na ni hasara kuoa mwanamke au kuolewa na mume ambaye ukivunja kikombe yeye anavunja sahani,eti kisa anakomoa,huo ni ujinga na sidhani kama yanayoandikwa hapa na wadau hasa wanawake,yanaweza kutamkwa hadharani na jamii ikashindwa kumshangaa mtamkaji.Daah hiyo jamii ipi unayoizungumzia, ndugu jua dunia imebadilika kila siku wanamwona mme anachepuka kuanzia ngazi ya familia hadi ya mtaa unafikiri mke akichepuka watashangaa nini?
Mortuary akafanyaje sasa? Haha watuombee tu![]()
![]()
![]()
![]()
Na wala hayupo mochwari. Wapige magoti wafanye sala tena wasali kweli.
Ndio nishaona walowaua wake zao baada ya kunogewa na michepuko, wengine hadi huua watoto.ulishawai kukutana na tukio la mwanaume kumuwekea mke wake au kuua kisa amepata mchepuko mwenye Kyuma inayobana?
sisi tunachepuka vizuri na jioni narudi kwa mke heshima zote. nikimla namwambia mama nanii kyuma inazidi kubana nakuongezeka utamu kumbe angejua.
lakini nyie vichwa maji mtaanza dharau mara kibamia mara hanisugui vizuri
Unaona ni mbwebwe lkn moyoni mwako ukweli unaujua. Mshahara wa secretary hautoshi kunifanya niishi? Kwani kwa mume zaidi ya tendo la ndoa napata nini? Chakula?eti Never acha mbwembwe kisa uko nyuma ya keyboard .
huo mshahara wa usecretary unafikiri utakutosha mwezi mzima?
#Wapo#
Mmoja niliona star tv, mume na mchepuko wamempiga mke na kumnyonga. Sad
Mimi mwenyewe nashindwa hata kuwaelewa umeamua kuchepuka sawa nimekuacha kua huru basi na mimi nitafute utamu uko nje wanakua wakali na kuleta hadithi za kutishana.Sasa tunacheza muziki walioupiga wanakasirika tena!! Khaaah!! Hawa viumbe bwana!
Ulivyojibu kinyonge sasa!! Soma trend ya comments utajua kinachoendelea, wala usiumie sana shangazi.sawa