Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,334
- 176,126
Bado haijafika, tunapeana kwanza ushauri njia nzuri ya kuchepuka ili msigundue msije tuchoma moto bureeee!!!
Bado haijafika, tunapeana kwanza ushauri njia nzuri ya kuchepuka ili msigundue msije tuchoma moto bureeee!!!
Kumbe inauma eeh!!Looi pole huna haya wala huogopi mungu kwa kujitangazia una chepuka sasa ukua urgent wa shetani gonjwa likingia ndani utakumbuka kipamia maaana hiyo ndizi itakua njiti subilini ukimwi
Vita ya dawa ya kulevya haijawahi kumuacha mtu salama mama.Mchepuko wako mzima?
Sie uzuri hatununiiiiii!! Ukirudi unanikuta freshhhhh, mwepesiiii nakupokea kwa bashasha tele, ukiamua kujinunisha we nuna tu at yo own risk.Teh! Kama mbwai mbwai tu, mkizingua nasisi tunanunaa tuu. Alafu ndio tunaelekeza majeshi michepukoni.
Ujinga ulioanzishwa na kichwa cha familia unaachaje kuusapoti! Hivi unabishana na kichwa kweli wewe!!!Una support ujingA
Haya wakafukiane maana naona shimo lake siyo la kitoto.Wache we!!! Mlivyo na maneno sasa!!
Nae ndio kapata sasa ya size yake.
Ndo mjue tabia zenu. Mjue pia ni jinsi gani wake zenu wanafikiria na nini wanafanya bila nyie kujua. Msijiaminishe kuwa hamgongewi! Wasiogongewa ni wachache mnooo!
Kwakuwa wanachepuka na wanawake wenzao eti?Hapana ni mwanamke pia.
Ndio wanafukiana walaa hawana shida.Haya wakafukiane maana naona shimo lake siyo la kitoto.
Hapana, mmesema wenyewe mnavyotulisha sijui vinyama vya wapi tutaacha kuchanganyikiwa kweli.Kwakuwa wanachepuka na wanawake wenzao eti?
Ahsante kwa mleta mada hii(kisia) maana nimejifunza mengi sana juu ya mke. Mwanzo wa mada kisia amesemwa sana kama ametenda kosa kubwa sana (ni kweli) lakini ujio wa hawa wadada Ms. Lincoln, demi, Heaven Sent, miss chagga, Nalendwa, Evelyn Salt, ringson, espy, LadyRed, Msweet, Go mi num, firstLady 1,nao,...hakika,wanaume tuna la kujifunza na lazima tukubali kuwa sisi ni wajinga kiasi fulani. Hakuna haja ya kuombewa maana hicho ndio kilio cha wanawake wengi walio kwenye ndoa, tubadilike kwa hiari. Naona aibu hata kumuangalia wife tangu jana (kaa nami Bwana Yesu peke yangu siwezi). Mkuu Ngoda 95 na wengine tubadilike, tuwajali hawa viumbe. AMENNdo mjue tabia zenu. Mjue pia ni jinsi gani wake zenu wanafikiria na nini wanafanya bila nyie kujua. Msijiaminishe kuwa hamgongewi! Wasiogongewa ni wachache mnooo!
Oooh leo upande huu imekua ujinga eeeeh!!!!!Una support ujingA
Hapo ukute mke wako ni Evelyn salt. Sema hujui tu!Ahsante kwa mleta mada hii(kisia) maana nimejifunza mengi sana juu ya mke. Mwanzo wa mada kisia amesemwa sana kama ametenda kosa kubwa sana (ni kweli) lakini ujio wa hawa wadada Ms. Lincoln, demi, Heaven Sent, miss chagga, Nalendwa, Evelyn Salt, ringson, espy, LadyRed, Msweet, Go mi num, firstLady 1,nao,...hakika,wanaume tuna la kujifunza na lazima tukubali kuwa sisi ni wajinga kiasi fulani. Hakuna haja ya kuombewa maana hicho ndio kilio cha wanawake wengi walio kwenye ndoa, tubadilike kwa hiari. Naona aibu hata kumuangalia wife tangu jana (kaa nami Bwana Yesu peke yangu siwezi). Mkuu Ngoda 95 na wengine tubadilike, tuwajali hawa viumbe. AMEN
Hapo ukute mke wako ni Evelyn salt. Sema hujui tu!
kwa comments za Evelyn Salt, demi, Heaven Sent, espy, nao, Nalendwa, mmoja wapo angekuwa ndio mke wangu saa hizi ningekuwa mochuari nakula kiyoyozi. Nimemchungulia Id yake hausikiUngejuaje kama ana kibamia usingeitoa k yako out ikutane na zingine,moyo wangu sukuma damu si vingineToka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Huu ni ujinga tena ni dhambi ni dhambi ikikomaa uzaa mauti, geuka ndungu gairi maovu tenda wema.Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Hatupendi hii tabia,mwanaume ndio anaruhusiwa kua na wanawake zaidi ya mmojaWanaume naona povu linawatoka! Ama kweli mkuki kwa nguruwe
Nadhani umefurahia tendo la ndoa si kwamba huyo mwanaume mpya anajua kufanya mapenzi no but ni vile upo na simanzi ukipata jawabu sahihi utarudi kwa mumeo, hujiulizi kwanini kabla ya malumbano na mumeo ulikuwa unafurahia mapenzi na mumeo? Nway kila lakher katika mahusiano ya memory card
Kila LA heri,ila usituletee ukimwi nyumbani,..
Ndio, enheeee