Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,937
mrejesho muhimu chakiiMmmmm
mrejesho muhimu chakiiMmmmm
Ngoja arobaini yako ikifika utuletee mrejesho
Basi ni vizuri, muombee na mkeo asijetiwa kiberiti.Nimependa ulivyonojibu nilijua utatoa povu.ila Mimi kibiriti hakitanihusu.
Kwahiyo baada ya kuchepuka ndo akajua siku akijua thaman ya mume atajirekebishaAlikua hajui
Hatushindani, kwani nyie mnapotoka huwa mnashindana na sisi? Tunakwenda tu kupata mautamu then tunarudi.mkianza kushindana na sisi mtawatesa mama zenu baada ya talaka.
Hongera zako dadaake, maana anamuita mumewe kibamia kwahiyo yeye karavati/bwawa wakati wanaoana na mume wake alikuwa size yake tena anamfaa saizi kawa kibamia kwanza hajielewi pili eti anajisifia kuchepuka siku akipata ukimwi aje tena humu ajisifieMhhh,
Hv kuchepuka ndio jawabu?anyway hongera zako but hayo mambo ya kibamia sijui hajui kitu unayoyasema ni udhalilishaji kwa mumeo ila kila la kheri.
Mama zetu wana maisha yao. tunawatesaje kwa mfano? Hatuendi kula bure..mama zetu tutaendelea kuwatunza. Maisha yataenda vzr sana na sitarudi kukaa nyumbani. Never!mkianza kushindana na sisi mtawatesa mama zenu baada ya talaka.
kwahiyo shangazi ni sawa anavyofanyaHebu tulia shangazi bwana, hakuna cha 40 wala 60 hapa!!
Unaweza jikuta unawehuka, say NO tu ugwadu, do yo self a favour go grab the tamuu out there.Haitakiwi. Imagine zile hisia zimekubana halafu mzee hana time na wewe yupo busy na halima. Kinachofuata ni nature hakuna zaidi.
Hata nami namshukuru hajanipa mume mchoyo kama wewe, mume gani hutaki kula vizuri na wenzio!!!
Na una hakika gani wako hachepuki? Au kwavile haujajua?
Alafu ukute mie ndio mkeo![]()
Ndio kajua utamu wa dyudyu sasa, yani anajipimia tu. Anaijua thamani yake ndio maana kaamua kumtafutia msaidizi ili wasigombane kila siku kisa kadudu kamoja.Kwahiyo baada ya kuchepuka ndo akajua siku akijua thaman ya mume atajirekebisha
Shangazi hebu tulia kwanza, muache mwenzio apate utamu!! Unataka achizike kwa ugwadu!!!kwahiyo shangazi ni sawa anavyofanya
Hatushindani, kwani nyie mnapotoka huwa mnashindana na sisi? Tunakwenda tu kupata mautamu then tunarudi.
Hiyo talaka tena vipi? Tuvumiliane tu jamani.
Oooh kumbe!! Vipi nawe hauchepuki?huwezi kuwa yeye najua mwandiko wake.
mke wangu hana tabia hizoo anajitambua sio kama wewe.
Mke wako anaweza akawa anajitambua endapo tu na wewe unajitmbu. Otherwise...you cant be sure!huwezi kuwa yeye najua mwandiko wake.
mke wangu hana tabia hizoo anajitambua sio kama wewe.
Mama zetu wana maisha yao. tunawatesaje kwa mfano? Hatuendi kula bure..mama zetu tutaendelea kuwatunza. Maisha yataenda vzr sana na sitarudi kukaa nyumbani. Never!
sawa shangazi halaf hawa wanaochepuka hivi kama mtoa mada kukamatwa hawachelewi ujue shangazi huyo kashanogewa na utamu mpaka ya mumewe anaona kibamia aisee tusifikie huko jaman mumeo ni mumeo awe na kibamia au mbilimbi usimdharau kiivyo ndio aliyekupenda mpaka kakuoaShangazi hebu tulia kwanza, muache mwenzio apate utamu!! Unataka achizike kwa ugwadu!!!
huu ukweli mchungutatizo nyie akili zenu fupi hamuwezi kuchepuka mtatuletea watoto mkidanganywa kamuekee mume wako sumu hamfikirii mara mbili.
Kitanda hakizai haramu. Tukiwawekea sumu inakuwa ajali tu kama ile ya moto mkuu. Kwahiyo mtuombee tu tusijewawekea sumu.tatizo nyie akili zenu fupi hamuwezi kuchepuka mtatuletea watoto mkidanganywa kamuekee mume wako sumu hamfikirii mara mbili.
Mke wako anaweza akawa anajitambua endapo tu na wewe unajitmbu. Otherwise...you cant be sure!