Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,515
- 27,530
Ukila nyama haramu unakula ile iliyo nona.duh hapana
Ukila nyama haramu unakula ile iliyo nona.duh hapana
Mungu aniepushie daahYamekukuta nn mama
Ntakuoa mm ni kukududua any timeMungu aniepushie daah
Umenikumbusha my classmate Getrude rest in peace.... 😳Na tukiwaambia wanasema tu "wanawake kwa kuamini ushirikina", wananikera mimi hawa. Afu bora hata warogwe wenyewe huko walishwe vinyama vya K, michepuko mingine inaroga mkeo na watoto wapotee kabisa, yeye ndo ajitawale. Shindwaaa pepo mchafu
Kumbe unajua kuflirt ndio mwanzo wa kukulana eeh!! Basi endeleeni tu. Wake zenu nao wanaflirt hivyo hivyo ila sina hakika kama nao huwa wanakimbilia home kucheza rede nanyiMkuu flirting ilovyo tamu, daaah hako ni kaugonjwa tena kanaambukiza. Tena ukimaliza ku-flirt unakimbia kwa wife unacheza nae rede huku ukikumbuka ile flirting na espy.
Vijana endeleeni ku-flirt, kwanza wadada wanalika kirahisi ukianza ku-flirt nao.

NishaolewaNtakuoa mm ni kukududua any time
We know how to deal with the "situation".Kumbe unajua kuflirt ndio mwanzo wa kukulana eeh!! Basi endeleeni tu. Wake zenu nao wanaflirt hivyo hivyo ila sina hakika kama nao huwa wanakimbilia home kucheza rede nanyi![]()
![]()

Ukute mama Getu kavumilia miaka yote hiyo For the sake of her kids. Afu mtu anakuja kukuulia hao hao watoto, tena mtu hapo ushajiandaa mwanangu ataanza kunisaidia soon. Unaweza kupata kichaa aisee. Tatizo wanaume wenyewe wanachukuliaga cheating kama ku have fun tu unapita, kumbe michepuko ina targets zao kibao. Yani nikiona mwanaume anajisifia kuchepuka, natamani nimgonge nyundo sijui mtcheeeewUmenikumbusha my classmate Getrude rest in peace.... 😳
Mchepuko wa mdingi ulimpa mdingi dawa ya kienyeji ili imtibu Getrude, alivoinywa hali ikabadilika kapoteza kumbukumbu akawa kama anachizi hadi akafariki Dada wa watu, chanzo inasemekana getu alikua mshauri wa dingi hela za dingi anamsaidia budget hadi mzee kanunua kiwanja kaanza ujenzi mchepuko ukaona Getrude anaziba rizki
Hivi ujue hiyo ni ndani ya ndoa sio boiflendi huyo!!!!Miezi tisa tu ukapigisha kitu nje...aaaah we bidada mfungo unaanza ujuwe![]()
![]()
Jamani achaa tu ni vile kile kitu kufanya atake mwanaume apatee erection, sijui walimroga chaa, almanusra tuzichape kisa kumvua boksa kinguvuu hehe jmn..nilikua nalia hatari, stress, mwili mzitooo
Kw bahati nkapata safari,Usiombe ktk hali km hii umpate mtu mnafungiana ndani siku 3 nzima anakupunguzia stress...I really needed it..mtu unarudi mwepesiii and happy again
Maisha hayaa...
Lakini bwana cheating ina hasara zaidi ya faida. Mambo ya kuchomwa moto kisa tu nanihii kweli, nooo..inipite mbali in the name of our heavenly father.Ukute mama Getu kavumilia miaka yote hiyo For the sake of her kids. Afu mtu anakuja kukuulia hao hao watoto, tena mtu hapo ushajiandaa mwanangu ataanza kunisaidia soon. Unaweza kupata kichaa aisee. Tatizo wanaume wenyewe wanachukuliaga cheating kama ku have fun tu unapita, kumbe michepuko ina targets zao kibao. Yani nikiona mwanaume anajisifia kuchepuka, natamani nimgonge nyundo sijui mtcheeeew
Si naweza kuchizika!!!Miezi tisa hupati kadudu 😀😀😀
Ndio uanaume huo, hudumieni tu.Ninachojua bibi na mama zenu mlio wengi walikuwa full house wives. Hawakuijua saloon, vikuku, kuongeza urefu wa kucha, nadhani hata mayai hawakula wakati wa uja uzito! Hapo babu zenu walilelewa na hao bibi zenu kama wafalme, bread winners. Sasa hawa wa kileo, mshahara kamzidi mmewe, bado anataka saloon apelekwe, gari anunuliwe, atafutiwe binti wa kazi, na maamuzi ya nyumbani ayafanye yeye! Ndoa nadra siku hizi, watu wanaishi pamoja!
Moto jamani, moto. Nawapenda sana, angalieni huo moto jamani.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani hadi ugomvi kuvuana boksa!!
Nyambaafu zao. Ngoja nasi tuchoke sasa.
Aaah!! Nawe unajipigia tu maisha yanaendelea, kwanza unapunguza stress na taabu zisizo za msingi.9 michache??,how many can pull it off
Ujue ni tofauti mfano mume yuko masomoni ama kikazi mnawasilianan na nini,hapo lazma nimtunzie
Kero tuko wote miezi 9 unapiga nje tu unataka nifanyeje...
Ni ubatili mtupu, Cumming is so overrated. Vitulizeni tu kwa wake zenu, nje mnatafuta tu mabalaaLakini bwana cheating ina hasara zaidi ya faida. Mambo ya kuchomwa moto kisa tu nanihii kweli, nooo..inipite mbali in the name of our heavenly father.