Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Na tukiwaambia wanasema tu "wanawake kwa kuamini ushirikina", wananikera mimi hawa. Afu bora hata warogwe wenyewe huko walishwe vinyama vya K, michepuko mingine inaroga mkeo na watoto wapotee kabisa, yeye ndo ajitawale. Shindwaaa pepo mchafu
Umenikumbusha my classmate Getrude rest in peace.... 😳
Mchepuko wa mdingi ulimpa mdingi dawa ya kienyeji ili imtibu Getrude, alivoinywa hali ikabadilika kapoteza kumbukumbu akawa kama anachizi hadi akafariki Dada wa watu, chanzo inasemekana getu alikua mshauri wa dingi hela za dingi anamsaidia budget hadi mzee kanunua kiwanja kaanza ujenzi mchepuko ukaona Getrude anaziba rizki
 
Kila la kheri. Maisha ni kupanga na kuchagua. Mwisho wa siku uvumilie matokeo ya ulichochagua.
Nakusihi tu wewe fanya yako lakini usimkashifu mumeo. Weka akiba ya maneno mstahi mwenzio.
 
Mkuu flirting ilovyo tamu, daaah hako ni kaugonjwa tena kanaambukiza . Tena ukimaliza ku-flirt unakimbia kwa wife unacheza nae rede huku ukikumbuka ile flirting na espy.

Vijana endeleeni ku-flirt, kwanza wadada wanalika kirahisi ukianza ku-flirt nao.
Kumbe unajua kuflirt ndio mwanzo wa kukulana eeh!! Basi endeleeni tu. Wake zenu nao wanaflirt hivyo hivyo ila sina hakika kama nao huwa wanakimbilia home kucheza rede nanyi
 
Waleta mada za aina hii huwa ni matangazo ya biashara
 
Kumbe unajua kuflirt ndio mwanzo wa kukulana eeh!! Basi endeleeni tu. Wake zenu nao wanaflirt hivyo hivyo ila sina hakika kama nao huwa wanakimbilia home kucheza rede nanyi
We know how to deal with the "situation".
 
Umenikumbusha my classmate Getrude rest in peace.... 😳
Mchepuko wa mdingi ulimpa mdingi dawa ya kienyeji ili imtibu Getrude, alivoinywa hali ikabadilika kapoteza kumbukumbu akawa kama anachizi hadi akafariki Dada wa watu, chanzo inasemekana getu alikua mshauri wa dingi hela za dingi anamsaidia budget hadi mzee kanunua kiwanja kaanza ujenzi mchepuko ukaona Getrude anaziba rizki
Ukute mama Getu kavumilia miaka yote hiyo For the sake of her kids. Afu mtu anakuja kukuulia hao hao watoto, tena mtu hapo ushajiandaa mwanangu ataanza kunisaidia soon. Unaweza kupata kichaa aisee. Tatizo wanaume wenyewe wanachukuliaga cheating kama ku have fun tu unapita, kumbe michepuko ina targets zao kibao. Yani nikiona mwanaume anajisifia kuchepuka, natamani nimgonge nyundo sijui mtcheeeew
 
Wenzenu jana wamechomwa moto huko,washatembea mbele,cku yakiwafika hamtoamini ila ndio itakua ni hivyo.
 
Jamani achaa tu ni vile kile kitu kufanya atake mwanaume apatee erection, sijui walimroga chaa, almanusra tuzichape kisa kumvua boksa kinguvuu hehe jmn..nilikua nalia hatari, stress, mwili mzitooo
Kw bahati nkapata safari,Usiombe ktk hali km hii umpate mtu mnafungiana ndani siku 3 nzima anakupunguzia stress...I really needed it..mtu unarudi mwepesiii and happy again
Maisha hayaa...

Yaani hadi ugomvi kuvuana boksa!!
Nyambaafu zao. Ngoja nasi tuchoke sasa.
 
Ukute mama Getu kavumilia miaka yote hiyo For the sake of her kids. Afu mtu anakuja kukuulia hao hao watoto, tena mtu hapo ushajiandaa mwanangu ataanza kunisaidia soon. Unaweza kupata kichaa aisee. Tatizo wanaume wenyewe wanachukuliaga cheating kama ku have fun tu unapita, kumbe michepuko ina targets zao kibao. Yani nikiona mwanaume anajisifia kuchepuka, natamani nimgonge nyundo sijui mtcheeeew
Lakini bwana cheating ina hasara zaidi ya faida. Mambo ya kuchomwa moto kisa tu nanihii kweli, nooo..inipite mbali in the name of our heavenly father.
 
Ninachojua bibi na mama zenu mlio wengi walikuwa full house wives. Hawakuijua saloon, vikuku, kuongeza urefu wa kucha, nadhani hata mayai hawakula wakati wa uja uzito! Hapo babu zenu walilelewa na hao bibi zenu kama wafalme, bread winners. Sasa hawa wa kileo, mshahara kamzidi mmewe, bado anataka saloon apelekwe, gari anunuliwe, atafutiwe binti wa kazi, na maamuzi ya nyumbani ayafanye yeye! Ndoa nadra siku hizi, watu wanaishi pamoja!
Ndio uanaume huo, hudumieni tu.
 
9 michache??,how many can pull it off
Ujue ni tofauti mfano mume yuko masomoni ama kikazi mnawasilianan na nini,hapo lazma nimtunzie
Kero tuko wote miezi 9 unapiga nje tu unataka nifanyeje...
Aaah!! Nawe unajipigia tu maisha yanaendelea, kwanza unapunguza stress na taabu zisizo za msingi.
 
Back
Top Bottom