Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Utumie muda adimu wa ndoa yako kufurahia na familia yako badala ya kuhangaika na majibu na maswali ya wapita njia mitaani. Hata siku sms imekosewa namba inasema mwanao huku ananisumbua darling, inaweza kuwa ndio mwanzo wa kuporomoka kwa hiyo ndoa.
Msitafute visingizio, tutafukunyua tu.
 
Hata huyo mwenye Msoloboko MKIZINGUANA utagundua alikuwa ananuka Kikwapa na Mdomo.
Na hivyo alikuwa halifai na Huyo mwingine mpya ukikorogana nae utagundua ni mchafu, Yaani shida tu.
 
Wakati tunaendelea kupongezana kuhusu cheating, wale wanaoamini katika kuombea marehemu apunguziwe adhabu wasimsahau huyu mrembo, pretty lady daaah!!
991113102e459e54d906d52abd98aff1.jpg
Huyu alifanyaje jamani? RIP
 
Ni mjinga pekee anayeweza kukuunga mkono, wewe ndiye mtu pekee wa kumrekebisha mumeo kwa makosa yoyote hata kama amefanya nini hiyo ya kuchepuka ni magonjwa tu mtajiletea na kuharibu familia yenu; Ebu fikirieni kuhusu kesho yenu itakavyo kuwa kwa mwenendo huo.
 
Ndio maana nasema wadada jamani tusikimbilie kuolewa kabla hatujajipanga jamani kwa karne ya sasa kutegemea mwanaume kwa kila kitu ilikua zamani tusiwe tegemezi .... Ukiwa na cha kujishikisha anakuzingua unajiondokea unapanga unaanza maisha yako vizuri tuuu bila kusumbuliwa na mtu anayeitwa mwanaume
Unaolewa una miaka 20 ili iweje?
 
Kumbe hizi case nyingi hivi!, Pole sana dada.
Yaani kuna mijanawanaume Koooonyo! 🙁
Cases za hivi zipo nyingi sana my dear, ni vile watu hawaongei tu. Wanaume wanajitia wana nguvu sanaa wanaweza hata kumiliki wanawake 10, ila ukweli ni kwamba hizo nguvu hawanaaaaa!! Ni kujitoa ufahamu tu, ndio maana wakichepuka tu lazima huduma nyumbani zilegelege.
 
Back
Top Bottom