Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Ukute mama Getu kavumilia miaka yote hiyo For the sake of her kids. Afu mtu anakuja kukuulia hao hao watoto, tena mtu hapo ushajiandaa mwanangu ataanza kunisaidia soon. Unaweza kupata kichaa aisee. Tatizo wanaume wenyewe wanachukuliaga cheating kama ku have fun tu unapita, kumbe michepuko ina targets zao kibao. Yani nikiona mwanaume anajisifia kuchepuka, natamani nimgonge nyundo sijui mtcheeeew
Siku hizi wanajiita "wake wasaidizi"
 
Ukute mama Getu kavumilia miaka yote hiyo For the sake of her kids. Afu mtu anakuja kukuulia hao hao watoto, tena mtu hapo ushajiandaa mwanangu ataanza kunisaidia soon. Unaweza kupata kichaa aisee. Tatizo wanaume wenyewe wanachukuliaga cheating kama ku have fun tu unapita, kumbe michepuko ina targets zao kibao. Yani nikiona mwanaume anajisifia kuchepuka, natamani nimgonge nyundo sijui mtcheeeew
Ila kuna wanaume wanaishi kwa tahadhali sana hata kama anachepuka
 
Ukute mama Getu kavumilia miaka yote hiyo For the sake of her kids. Afu mtu anakuja kukuulia hao hao watoto, tena mtu hapo ushajiandaa mwanangu ataanza kunisaidia soon. Unaweza kupata kichaa aisee. Tatizo wanaume wenyewe wanachukuliaga cheating kama ku have fun tu unapita, kumbe michepuko ina targets zao kibao. Yani nikiona mwanaume anajisifia kuchepuka, natamani nimgonge nyundo sijui mtcheeeew

Huwa najiuliza kwa nini mtu apiganie wa mwenzake mpaka kufikia kuua au kuvunja ndoa ya mtu!, halafu wakisha pata wanaishi kwa amani kabisa!
Ama kweli dunia imevaa bukta.
 
Ni mjinga pekee anayeweza kukuunga mkono, wewe ndiye mtu pekee wa kumrekebisha mumeo kwa makosa yoyote hata kama amefanya nini hiyo ya kuchepuka ni magonjwa tu mtajiletea na kuharibu familia yenu; Ebu fikirieni kuhusu kesho yenu itakavyo kuwa kwa mwenendo huo.
Mwanaume wa karne gani anaweza rekebishika? Labda kama ni wa sayari ya Jupiter.... Embu acheni masihara
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Tena uliyempata bado ajui kitu ungenipata mimi ungeomba talaka kabisa maana ungeona jamaa kama anajubana tu! Na Mimi ninavyopenda dezo!
 
Umenikumbusha my classmate Getrude rest in peace.... 😳
Mchepuko wa mdingi ulimpa mdingi dawa ya kienyeji ili imtibu Getrude, alivoinywa hali ikabadilika kapoteza kumbukumbu akawa kama anachizi hadi akafariki Dada wa watu, chanzo inasemekana getu alikua mshauri wa dingi hela za dingi anamsaidia budget hadi mzee kanunua kiwanja kaanza ujenzi mchepuko ukaona Getrude anaziba rizki
God forbid!!!
 
Cases za hivi zipo nyingi sana my dear, ni vile watu hawaongei tu. Wanaume wanajitia wana nguvu sanaa wanaweza hata kumiliki wanawake 10, ila ukweli ni kwamba hizo nguvu hawanaaaaa!! Ni kujitoa ufahamu tu, ndio maana wakichepuka tu lazima huduma nyumbani zilegelege.
Yaani kujitoa ufahamu haswaa!
Kama kweli wangekuwa na nguvu kiasi hicho upande mmoja usingeyumba wanapochepuka.
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Angalia usinase kwa waume za watu mpaka mgsnga wa kienyeji aje kuachilia.Aluta continua bibie kwa raha zako

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom