Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Mume akitaka apate muda wa kuwa na kimada wake lazima aanzishe timbwili nyumbani. Kitu kidogo utafokewa wee ili ujibizane nae apate ticket ya kununa na kuchelewa kurudi nyumbani.
.
.
Dawa yao ni kukaa kimya. Akianzisha timbwili unamuangalia tu, abwabwaje achoke! Na wanaume wa siku hizi sijui wametokea pande zipi yaani wanapenda kununanina na maghubu kama wanawake.
Hili FisadiKuu alilisema.
Huo ni ujinga wanaojazanaga bar kuwa ndio suluhisho.
 
As long as sijazaliwa nae hata sitaki kusikia unambebisha mtu ambae haoni thamanj ya mbebisho wako ... Kiruuuu wenye moyo waendelee nishafika kilele cha mlima kilimanjaro
Mahusiano yawe two way traffic, sasa limtu liko busy na michepuko, wewe unahangaika nae!!!
 
Mtu unamkalisha chini basi nieleze wapi nimeenda sivyo na nini kilichokubadilisha mume/ mpenzi wangu niambie heeee mtu anajifokesha "usinipangie jinsi ya kuishi naishi nitakavo na nitafanya nitakavyo kubadilika kwangu hakukuuhusu hela ya matumizi hupati"?sasa kwako nimefata hela ya matumizi au???? .... Na umejinunisha makusudi na kosa lako nikubembeleze ili iweje sasa... Jinunishe ukijisikia kuongea ongea na ukijisikia kurudi ulikotoka rudi tu maana mimi nishasema sitakaa tena nibembeleze mwanaume ... Khaaa jamani mwanamke anaposema amechoka kweli kachoka tunavumilia mengi mjue
Mmmh kuna watu wamepata wake wema afu hawawa-appreciate
 
nilimtongoza mama mmoja akanipa penzi bila hiyana,,baada ya bao la pili mama kanilalia eti analia eti kaolewa na ana watot wanne hajawahi kukojoleshwa ,,teeeeh,,kidume nikavuta pumzi na jinsi alivyo na wowo tena nikapiga round nne,,,,,,,hadi leo namkuna na anapenda sana,,tukienda hotel naogeshwa napetiwa kama mmewe,,napewa raha kama nan sijui

Hongera kwa kazi
 
Mungu akusamehe. Inaonesha uliingia katika ndoa ungali na umri mdogo sana. Ndiyo maana hujui namna ya ku deal na changamoto za kwenye ndoa na hukucheza mechi nyingi za nje ukajua size mbalimbali za mitwangio. Sasa umekuwa mkubwa ndo unatafuta unatafuta chanzo cha kurukaruka nje. Kwanini usiombe talaka ukajiondokea uende kwa huyo bwana mpya uwe huru zaidi?. Fanya hivyo uone kama atakupokea na kama itapita muda bila mumeo kuoa tena. Tena mumeo kama ni muislam akiamua hata kuongeza wenzako watatu ataongeza. Ulichopaswa kukifanya ni kumuonya, mshitaki kwa wakwe zako au mshenga au mshauri wenu wa ndoa na asipojirudi unadai talaka yako. Hapo wewe ndo utaonekana umekosea zaidi kwasababu umelipiza kwa makusudi. Pengine mumeo huko nje kashakorogewa kitu hajitambui au pengine hata hachepuko, ni stress tuu za maisha haya ya Magufuli.
 
Kweli lakini jiulize kwa style hiyo anaye umia nani baba hashikiki na mama umeamua kufanya yako, je kama mna mtoto/watoto mnawawekea mazingira gani kwa baadae??
Kwani kuchepuka ni unaamishia majeshi huko au ni masaa kadha ushajirudia? Au unaita watoto unawaambia naenda kuchepuka? Watoto nalea kama kawaida na sitaonesha tofauti hata ... Tena huyo mdada mvumilivu .. Ni hivii naondoka nabeba mwanangu naenda mlea nina pa kushika mwanangu atavaa na kula vizuri tena kuzidi hata zamani ....
 
Yaani hadi unamtusi mmeo "eti ana kibamia" duuuh wewe mwanamke wewe, kisa huyo mhuni anaye kudanganya danganya tu, shauri yako …
 
Mmmh kuna watu wamepata wake wema afu hawawa-appreciate
wanataka michangudoa ya kuwashikisha ukuta kupiga simu tigo hahahaa ... Afu anataka mambo anayofanyiwa na michepuko huko ndio na wewe umfanyie ... Kafumua marinda huko anataka na wewe akufumue .. Walai si kwa laana hizo
 
Nimesoma comments humu, hakika nimeelewa kwanini ndoa za vijana walio zaliwa kuanzia 90s hazidumu
Lazima zisidumu maana siku hizi ndoa zimekuwa fashioooon fulani nae kaoa .. Fulani nae kaolewa basi tu kuficha umaruni wetu
 
Kwani kuchepuka ni unaamishia majeshi huko au ni masaa kadha ushajirudia? Au unaita watoto unawaambia naenda kuchepuka? Watoto nalea kama kawaida na sitaonesha tofauti hata ... Tena huyo mdada mvumilivu .. Ni hivii naondoka nabeba mwanangu naenda mlea nina pa kushika mwanangu atavaa na kula vizuri tena kuzidi hata zamani ....
Hahhaha daah
 
Back
Top Bottom