Go mi num
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 1,321
- 1,609
As long as sijazaliwa nae hata sitaki kusikia unambebisha mtu ambae haoni thamanj ya mbebisho wako ... Kiruuuu wenye moyo waendelee nishafika kilele cha mlima kilimanjaroDamn!!!
Heaven Sent huu moyo unao?
Usione watu hawajihangaishi na waume zao ujue yamewafika kooni, akiulizia maji anaonyeshwa kwa mguu tu!!
wanataka michangudoa ya kuwashikisha ukuta kupiga simu tigo hahahaa ... Afu anataka mambo anayofanyiwa na michepuko huko ndio na wewe umfanyie ... Kafumua marinda huko anataka na wewe akufumue .. Walai si kwa laana hizo