Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Dawa ya moto ni moto ila usitoe siri za mumeo c vzr
 
Wahenga walinena mwanamke mafiga matatu. Figa moja hakai. Nakushauri utafute figa la tatu halafu ulete mrejesho. Tatizo watoto wa siku hizi hampelekwi unyagoni
 
Duh pole sana, hilo swala la kulogwa hapo Koh wanaume wanafanyiwa sana huko
Na tukiwaambia wanasema tu "wanawake kwa kuamini ushirikina", wananikera mimi hawa. Afu bora hata warogwe wenyewe huko walishwe vinyama vya K, michepuko mingine inaroga mkeo na watoto wapotee kabisa, yeye ndo ajitawale. Shindwaaa pepo mchafu
 
Nini kurogwa....

Wakienda huko mara wachomewe chumvi.....

Hawajakaa sawa wakanyagiwe shahawa....

Kabla hawajageuka mwiko utapigwa mahali

Akitaka kunyanyuka kuna mtu anamfanyia ya maji

Asipumue vizuri chupi zitanuiziwa

Hata kuhema hawezi team vitambaa watavifunga na kufunika kwenye ndoaa na mabeseni

Kabla hajapiga kelele watamfunika na ungo

Wataacha kuchanganyikiwa? Yote ni gharama ya umalaya wanaojisifia kuona ni ushujaa... wangetulia na wake zao yasingewapata zaidi wangeombewa mafanikio tu.....mwendo wa novena
Kazi yao tu "Mtuombee" as if maombi ya vita ni sawa na kula ugali. Wewe mtu mwenzio anatoa makafara na masadaka kumdhibiti mumeo, wanahisi hadi tufanikiwe kuwarudisha ni rahisiiii. Kuna mianamke mishirikina jamani ptuuuuu
 
Duuuuu
Hiyo ni tabia yako kabla hata ya kuolewa kuwa na wanaume zaidi ya Wawili ndio maana hukuridhika ndani kwani ukijifanya mstaarabu kwa kuficha makucha kumbe nyoka Mbaya nacho weza kukushauri mpaka sasa mpe taraka mumeo ubaki single ili ubaki na wenye Mihogo na za punda kabla aibu haijakukuta ya yeye unaedai ni mumeo kukuacha kwa mazingira ya kukudhalilisha ukafukuzwa kama mbwa kwa umalaya

Kingine kaa ukijua kosa halilipwi kwa kosa Bali matendo mazuri yangeweza okoa ndoa yako kwani mpaka sasa huna ndoa
 
Huyu alichepuka peke yake? Unaendeleza yale yale tuliyokuwa tunayapinga! Weka na picha ya mzinzi mwenzake!
Mkuu ile ya jamaa sijaiona, wamesambaza ya huyu dada tu. Ukipata ya jamaa lete ili tubaansi story.

On a serious note, mara chache mwanamke aweza kumdhuru mgoni wake kiasi hiki. Beware na hao wanaume zenu, some men are totally insane, shauri zenu.
 
Kuna jamaa yeye ana mchepuko binti wa kitanga, yani siku akitoka kuonana tu na mchepuko huo ugomvi sasa nyumbani ni wa kuzima na kikosi cha zima moto, hata wife kishagundua hilo
Afu ukimuona sasa jamaa na mchepuko wake unaweza Dhani ni jamaa na mganga wake kumbe mchepuko teh teh teh halo ya simba mla kitimoto
Teh afu ukute huo mchepuko unajisifu oooh me kwetu Tanga, nikimshika mwanaume hachomoki. Sasa atachomokaje kwa ulozi anaomfanyia mwenzie?, maufundi pekee hayatoshi teh. Asije tu akamroga mke mkubwa, maana
 
Na tukiwaambia wanasema tu "wanawake kwa kuamini ushirikina", wananikera mimi hawa. Afu bora hata warogwe wenyewe huko walishwe vinyama vya K, michepuko mingine inaroga mkeo na watoto wapotee kabisa, yeye ndo ajitawale. Shindwaaa pepo mchafu
Yamekukuta nn mama
 
Back
Top Bottom