Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,051
Talaka aende wapi jamani humo humo Congo hakuna kutokaKwanini muuane kwa magonjwa si uombe talaka tu
Be smart dada️
Talaka aende wapi jamani humo humo Congo hakuna kutokaKwanini muuane kwa magonjwa si uombe talaka tu
Be smart dada️
Hakuna mwenye kupinga nguvu ya maombi,ila si kwa huu mfano wa shosti yako aliyekuwa akifanya uzinzi.Mama hebu leo usiku anza kusali tena mpe Mungu jukumu awarekebishe. Ukisali kumrudisha mume ama mpenzi aliyekengeuka ama kudangangika yataka uvumilivu yaweza chukua miezi hata 6. Rafiki yangu aliachana na mpenzi wake kisa kapa mchepukk/mpenzi mwingine alianza kusali neno lake kuu 'MUNGU WANGU NAJUA NILIMPENDA NA KUMUHESHIMU, NILIJITOA KWA DHATI ILA IKIWA NI MAPENZI YAKO BASI ARUDI ENDAPO HUKO ALIKO SIO MIKONO SALAMA' niliona huyu best ni chizi mwanaume kamsusia kampa kibuti akituma sms hajibu 6 months bado anaimani?? Kilichotokea yule kaka alikuja kumtafuta akaomba msamaha kabadilika dharau kaacha wameoana juzi
Hapana aisee, kwani nikiwa na dhamira ya kuiba simu itanifanya nishindwe kumficha asijue? Nimeona rafiki zangu wengi wakigombana na wake zao kwa vitu vidogo vidogo kwenye simu ambavyo kimsingi wala havina umuhimu wowote ule.. Mimi yako sitagusa na yangu usiguse.. Ni ruksa uniwekee hata walinzi au CCTV Cameras nitembee nazo ila sio kushika shika simu bila ruhusa..Kwani mkeo ni dada yako? Mwili mmoja huo. Muache akorokochoe kila mahali, na maswali yake umjibu vizuri tu tena kwa adabu.
😀😀😀😀😀Wakaoe bibi zao watupunguzie bugudha.
teh teh teh we unamsikiliza yule muhaya... Yule Mzee Mwijage akimuweka demu yeyote kwenye 18 yake hachomoki.. Zee lina sound lile aisee na ile ongea yake mi kila nikimsikia nabaki nacheka tu..Nitafutie waziri wa viwanda soon nafungua kiwanda changu, nimebakiza cherehani moja tu.
Nisaidie kwa hilo, omba na kufunga maana mashemeji wanasumbua kweli wanamtaka wifi yao.. heheheheUna mpango gani kwani? Hebu useme vizuri, lile jibu lilikuwa na lengo ngani? Au unataka tuanze kukuombea?
Tutashea msosi, not that sweet 'thingy' aisee!Acha uchoyo.
Ukikua utaacha.Hapana aisee, kwani nikiwa na dhamira ya kuiba simu itanifanya nishindwe kumficha asijue? Nimeona rafiki zangu wengi wakigombana na wake zao kwa vitu vidogo vidogo kwenye simu ambavyo kimsingi wala havina umuhimu wowote ule.. Mimi yako sitagusa na yangu usiguse.. Ni ruksa uniwekee hata walinzi au CCTV Cameras nitembee nazo ila sio kushika shika simu bila ruhusa..
Mimi hata sasahivi ukishika simu yangu ukakuta conversation nazochat na rafiki zangu wa kike unaweza hata kuzimia, kumbe ni marafiki tu.. hehehehe
Hahaaaa...machambo haya mmh.Tuombee tu mpendwa. Shetani sio mzuri hata kidogo.

Poleh dada,dawa ya mwanaume mchepukaji na asiekujali ndio hio tuuu,mwili lazma akutulize mtu,ss mume hataki ufanyejee...ukitaka nisichepuke jitume babu weee..Sikuwahi kupata ya mwanaume mwingine kwahiyo nilikua namjua yy tu baada ya kuonja nje ndio nimejua sio lolote alivyokua ananinyimaga hat mwez akirudi eti amechoka nakosa usingiz usk kucha na ililia
Sasa wanataka tuwe bibi zao wakati wao sio babu zetu!!😀😀😀😀😀
Afu kweli make bibi automatic ni mke
Hehhe kuna ile mwanaume anakukomalia umkubali unamjibu bwn me mke wa mtu,na yeye na mimi mme wa mtu tukubaliane basii Hehhe aibuuuMaudhi yakizidi mapenzi yanaisha hata hisia zinaisha ubabe wanaume kuhisi sisi wanawake akisha kuzalisha basi huna thamani kumbe huko nje watu wanakulilia
Yaani mie alishanishinda tabia tangu atuhesabie mashine za kusaga na gereji kuwa ni viwanda!!teh teh teh we unamsikiliza yule muhaya... Yule Mzee Mwijage akimuweka demu yeyote kwenye 18 yake hachomoki.. Zee lina sound lile aisee na ile ongea yake mi kila nikimsikia nabaki nacheka tu..
Em kwa mfano msando anayomfanyia Jacky mkewe saivi ni ninii kile....yet society expects awe na moyo wa chuma, subutuuu yenuuHakuna kitu kama hicho nyie mnajiona mna mioyo ya nyama ila mwanamke tuna vyuma .. mnachepuka mbaya zaidi mnaenda mbali na kutudharau tukochepuka ooh atapata anguko ungekuwa unanitimizia mqhitaji yangu na kunisikiliza sa ngapi ningepata muda wa kuchepuka ila kwa sababu mna kiburi Acha tufanye kimya kimya tu
Oa mmoja kati ya hao waulizaji, au haujui kusoma alama za nyakati?Nisaidie kwa hilo, omba na kufunga maana mashemeji wanasumbua kweli wanamtaka wifi yao.. hehehehe
Siofii simu kushikwa sababu ya hivyo vitu.. Ila ni vile sipendi kushika simu ya mtu mwingine basi nami naprefer yangu isishikwe.. I mean ukitaka kuishika basi angalau niombe na nitakuruhusu kiroho safi.Ukikua utaacha.
Kuna kitu kinaitwa mipaka, ukishoa/kuolewa lazima uitambue mipaka yako.
Sio ndio busyyyy flirting, safari moja huanzisha nyingine, mwisho utaanza kumsingizia shetani na kutaka uombewe.
Ukioa, punguza ama acha kabisaaaa hayo yanayokufanya uhofie simu yako kushikwa na mkeo. Be a MAN. Sio umeoa ila una_act like MBA.
Rudi hapa.Hahaaaa...machambo haya mmh.![]()
![]()