Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Siofii simu kushikwa sababu ya hivyo vitu.. Ila ni vile sipendi kushika simu ya mtu mwingine basi nami naprefer yangu isishikwe.. I mean ukitaka kuishika basi angalau niombe na nitakuruhusu kiroho safi.

Wakati wote simu zangu sihangaiki kuweka pattern wala password lakini eti niko naoga huku nyumba mtu anaanza kuipekua kila mahali I wouldn't love that. Kama unaona naenda kuoga na unataka kuipekua basi niombe, sio unafanya kama vile unatafuta unafukuza mwizi..
Ukionyesha dalili za wizi itapekuliwa tu.
 
KORBOTO Nakubaliana na wewe kwa sehemu kubwa lakini lazima tuukiri Ukweli kuwa Wake zetu sio malaika ni wanadamu. Tunapowakosea na kuwapuuza puuza kuwa hakuna wanachoweza Fanya ina madhara sana.

Wake zetu wanahitaji zaidi ya financial support ili kuwanya wafurahie mahusiano. Naamini asilimia kubwa ya Wanawake wanacheat huwa sisi Wanaume ndio tumechangia kwa sehemu kubwa wao kufanya hivyo.

Hizi story za "vibamia" sijui vidudu ni mbwembwe na hasira zao kwetu tu hawa wanakojozwa hata na kidole cha mwishwo kile kidogo. Ila tubadilike jamani... Ooooh otherwise tutagongewa sana tu. Mimi humu kunanisaidia sana kuwaelewa wanawake yaani kila siku nakuwa bora zaidi ya Jana kwa my wife wangu.
Bora kama unaelewa kaka,nishawahi kaa miezi 9 deshiii mume ananizungusha tuu michepuko kibaoo,mara nimechoka mara sijui naumwa nini mara sijui ushuzi gani... Ny*** zake..sipigizani kelele na mtu anymore wala kuulizia kidude... Mpaka mke anacheat mume jitafakari sana
Unamheshimu mtu ila inafikia hatua it's too much
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Subuhanallah yaan mtu wajisifia uzinzi mbele ya kadamnasi eeeee mmmh nimekushindwa tabia
 
Bora kama unaelewa kaka,nishawahi kaa miezi 9 deshiii mume ananizungusha tuu michepuko kibaoo,mara nimechoka mara sijui naumwa nini mara sijui ushuzi gani... Ny*** zake..sipigizani kelele na mtu anymore wala kuulizia kidude... Mpaka mke anacheat mume jitafakari sana
Unamheshimu mtu ila inafikia hatua it's too much
Miezi 9!!! Yumo humo humo ndani!! Si umbake.
 
Ukikua utaacha.

Kuna kitu kinaitwa mipaka, ukishoa/kuolewa lazima uitambue mipaka yako.
Sio ndio busyyyy flirting, safari moja huanzisha nyingine, mwisho utaanza kumsingizia shetani na kutaka uombewe.

Ukioa, punguza ama acha kabisaaaa hayo yanayokufanya uhofie simu yako kushikwa na mkeo. Be a MAN. Sio umeoa ila una_act like MBA.
Naam, akiisha oa anapeleka group sms kuwaalifu kuwa ameoa na simu haina password na mother house ana full access. Japo mitaani huwa wapo wapandisha presha, wakijua tu lazima wapandishe presha ya mke hasa wakijua ni mtu wa kupanick. Ushauri wangu, achana na simu ya mkeo na achana na simu ya mmeo.
 
Bora kama unaelewa kaka,nishawahi kaa miezi 9 deshiii mume ananizungusha tuu michepuko kibaoo,mara nimechoka mara sijui naumwa nini mara sijui ushuzi gani... Ny*** zake..sipigizani kelele na mtu anymore wala kuulizia kidude... Mpaka mke anacheat mume jitafakari sana
Unamheshimu mtu ila inafikia hatua it's too much
Miezi tisa tu ukapigisha kitu nje...aaaah we bidada mfungo unaanza ujuwe
 
Miezi 9!!! Yumo humo humo ndani!! Si umbake.
Jamani achaa tu ni vile kile kitu kufanya atake mwanaume apatee erection, sijui walimroga chaa, almanusra tuzichape kisa kumvua boksa kinguvuu hehe jmn..nilikua nalia hatari, stress, mwili mzitooo
Kw bahati nkapata safari,Usiombe ktk hali km hii umpate mtu mnafungiana ndani siku 3 nzima anakupunguzia stress...I really needed it..mtu unarudi mwepesiii and happy again
Maisha hayaa...
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Pole
 
Bora kama unaelewa kaka,nishawahi kaa miezi 9 deshiii mume ananizungusha tuu michepuko kibaoo,mara nimechoka mara sijui naumwa nini mara sijui ushuzi gani... Ny*** zake..sipigizani kelele na mtu anymore wala kuulizia kidude... Mpaka mke anacheat mume jitafakari sana
Unamheshimu mtu ila inafikia hatua it's too much
Miezi tisa hupati kadudu 😀😀😀
 
Wakaoe bibi zao watupunguzie bugudha.
Ninachojua bibi na mama zenu mlio wengi walikuwa full house wives. Hawakuijua saloon, vikuku, kuongeza urefu wa kucha, nadhani hata mayai hawakula wakati wa uja uzito! Hapo babu zenu walilelewa na hao bibi zenu kama wafalme, bread winners. Sasa hawa wa kileo, mshahara kamzidi mmewe, bado anataka saloon apelekwe, gari anunuliwe, atafutiwe binti wa kazi, na maamuzi ya nyumbani ayafanye yeye! Ndoa nadra siku hizi, watu wanaishi pamoja!
 
Jamani achaa tu ni vile kile kitu kufanya atake mwanaume apatee erection, sijui walimroga chaa, almanusra tuzichape kisa kumvua boksa kinguvuu hehe jmn..nilikua nalia hatari, stress, mwili mzitooo
Kw bahati nkapata safari,Usiombe ktk hali km hii umpate mtu mnafungiana ndani siku 3 nzima anakupunguzia stress...I really needed it..mtu unarudi mwepesiii and happy again
Maisha hayaa...
Interesting...una mvua boxer kwa nguvu?
 
Back
Top Bottom