Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,114
Hebu tulia ufanye maombi huko.Hahaa sitakiii
Hebu tulia ufanye maombi huko.Hahaa sitakiii
hakyanane utakuja naye athibitishe kama kweli alihusika.Sio utani ujue!! Hivi wewe shetani unamjua au unamsikia sikia tu!!!
Tena tukimaliza tutakaa ndani kwa utulivu na adabuHapo sasa tutakuwa na mjadala mujarabu kabisaaa, hata tukijenga tena lazima nyumba isimame.
Kwahiyo kumbe haya mambo yalikuwepo, na sio yametokea tu kwenye generation yetu.. Lakini pamoja na yote hayo waliweza kutunza ndoa zao na leo wanaishi maisha yao ya uzee kwa furaha..Sasa kwa taarifa yako wale wazee waliokuwa wanabaki kule walikuwa wanapiga kwa kisingizio wanatafuta mtoto wa chungu
Tuendelee na main mjadalahahahahaha nafunga mjadala...
Hivi wenye ndoa si ndio wanachepuka!! Mie sina hati miliki.Na wewe umeshawahi kuchepuka?

Tuombeane tu jamani.Kweli ni shetani. Hata waume zetu ni shetani tu kawapitia (kama wanavyojitetea siku zote)
.
.
TUOMBE.
Walifanya kwa siri siku hizi simu ndiyo zina haribuKwahiyo kumbe haya mambo yalikuwepo, na sio yametokea tu kwenye generation yetu.. Lakini pamoja na yote hayo waliweza kutunza ndoa zao na leo wanaishi maisha yao ya uzee kwa furaha..
Kwani kule kuombeana kunaishia wapi tena mpendwa? We piga goti, ombea mkeo hadi ajirudi. Mungu anatenda miujiza, na alisema alichokiunganisha...... Sasa ole wako ukitenganishe na facebook yako!!hakyanane utakuja naye athibitishe kama kweli alihusika.
btw ukichepuka ndo mkataba unaisha, mi naingia zangu fb najichagulia kondoo mwingine, najua nitakuta weeengi wamepiga picha kwa kuangalia kule.
dhambi ya mke kuchepuka tutaenda kusameheana mbele ya Mungu mwenyewe
Na itakuwa ndoa ya mfano kabisa.Tena tukimaliza tutakaa ndani kwa utulivu na adabu
Ndio na nyie muwe wavumilivukama baba na babu zenu. Ombeni sana.Kwahiyo kumbe haya mambo yalikuwepo, na sio yametokea tu kwenye generation yetu.. Lakini pamoja na yote hayo waliweza kutunza ndoa zao na leo wanaishi maisha yao ya uzee kwa furaha..
Kwa upande wako huu mjadala uko in favour of you na itakuwa ngumu kukubadilisha mtizamo wako sababu ni lazima utatafuta tu kasoro chache zilizoko kwenye ndoa yako kujitafutia sababu ya kuchepuka..Tuendelee na main mjadala
Ushawahi chepusha???Hivi wenye ndoa si ndio wanachepuka!! Mie sina hati miliki.
![]()
![]()
![]()
![]()
...tena eti jamaa na kibamia chake, huyu dada kwani hakujua kuwa jamaa ana mbilimbi kabla ya kuolewa..Dah, huyu jamaa kadhalilishwa live online aisee.
Kumbe ukijichunga usipokuwa exposed kuchepuka hakuna shida sio?Walifanya kwa siri siku hizi simu ndiyo zina haribu
Nakwambia leo yamekumbukwa mengi,maandiko na mistari ya bibilia,ukimwi, hadi watoto hahaha hiii balaaaa.Baada ya kujua kilichopo huko alafu tunarudi tunaendelea kujenga. Kumbe leo hadi watoto mmewakumbuka!! Safi sana
Hakuruhusiwa kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa!...tena eti jamaa na kibamia chake, huyu dada kwani hakujua kuwa jamaa ana mbilimbi kabla ya kuolewa..Dah, huyu jamaa kadhalilishwa live online aisee.
Oooh mwisho umeruhusu eeh!!jamani mkitoka mkumbuke kutumia condom, au pimaneni kabisa , na hakikisheni hamkamatwi.
mi nimemaliza na hii mada.