FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Conducts zibaki zilezile.. Achaneni na Western culture.Hahaha mnawapenda sana mama zetu eti. Hiki ni kizazi kipya
Au na nyie mnataka muanze kuishi na mbwa..
Conducts zibaki zilezile.. Achaneni na Western culture.Hahaha mnawapenda sana mama zetu eti. Hiki ni kizazi kipya
Kitanda hakizai haramuMchepuko haujakutia mimba? Kama hujapata mimba je, ikitokea mchepuko ukikupa mimba utamwambia mumeo au utambambikizia watoto wa mchepuko wako?
Utasikia mama mlokole,mama mchungaji. Wanakukebehi tu. Bladifulu(in massawe's voice) nabadili maombi apatwe na tezi dumeNa wakijua u naomba wa namwambia mchepuko na kukupa a.k.a mfyuu

Mama yangu na mimi ni watu wawili tofauti kabisa.
asanteee mpaka ikishindikana.Naamini kila mwanamke anatakiwa kabla ya maamuzi magumu ajaribu kujenga ikishindika aisee
Kweli aiseee tunahitaji maombi yenu sasa!Nao ni muda wao wa kutuombea sasa.
Hadi Mungu,heshima na uvumilivu umekumbukwa leo.Kwa mara ya kwanza naona ukimwi umekumbukwa kwa wingi kwa thread inayohusiana na kuchepuka.
Wanaumeeeeee!

Sie hata mia tunawapenda tu, we have that genorous heart naturally ujue.kinanga komoooo...!!!! sisi tunaupendo sana. Tunaweza kuwapenda hata wanawake 10 kwa mara moja.
Na nyie mtuombee tu jamani, ni shetani tuuu. Unadhani hata tunapenda basiii, shetani mbaya sana huyu.




Hapana tunataka na nyie muishi kama binadamu wenye utashi, sio kuishi kama wanyama mnapandiana tuConducts zibaki zilezile.. Achaneni na Western culture.
Au na nyie mnataka muanze kuishi na mbwa..
Tusaidiane kujenga si me naweka tofauli halafu we unajitoa ufahamu unakuja na nyundo unavunja ukiulizwa unakuwa mkali aisee kama vipi tushike nyundo wote
Kitanda hakizai haramu
Dini , kabila , ukoToka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
asanteee mpaka ikishindikana.
kwa namna hii espy atalia, ye anataka tu kutorosha tunu za taifa bila majadiliano
si kila mwanamke anawezaI adore your mommyMama yangu na mimi ni watu wawili tofauti kabisa.
.
.Speaking about my mom...alishaniambia kuwa hajawahi kupata stress kwenye ndoa yake, ni vimatatizo vidogo vidogo vya kawaida sana. Pia hakubaliani na upuuzi wa wanaume tena mimi ni mvumilivu huwa anashangaa nawezaje! I wish angejoin kuchangia hii mada!
Hatukomoi, ni kupata tu starehe kama ambavyo huwa mnaipata.kumkomoa mtu kwa kutoa mwili wako utumike huo ni ujinga ambao nyie wanawake mnadhidi kuprove uwezo wenu c mzuri ............
ni mawazo tu lkn
Kwahiyo pamoja na hayo matatizo yako madogo madogo (which I'm sure sio makubwa) ulishawahi kuchepuka?Mama yangu na mimi ni watu wawili tofauti kabisa.
.
.Speaking about my mom...alishaniambia kuwa hajawahi kupata stress kwenye ndoa yake, ni vimatatizo vidogo vidogo vya kawaida sana. Pia hakubaliani na upuuzi wa wanaume tena mimi ni mvumilivu huwa anashangaa nawezaje! I wish angejoin kuchangia hii mada!
Utasikia mama mlokole,mama mchungaji. Wanakukebehi tu. Bladifulu(in massawe's voice) nabadili maombi apatwe na tezi dume![]()
![]()
halafu akipata ndiyo unachepuka safi