Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Kuna mama mmoja wa karibu sana na mimi. Huyu mama ni mvumilivu dunia nzima hakuna!
.
.
.
Ameishi kwa taabu sana na mumewe, kapigwa sanaaa, kafanyishwa kazi sanaaa...tena zile ngumu. Mumewe amezaa na wanawake tofauti tofauti kama watano hivi...wengine walimletea watoto wadogo wachanga huyo mama kawalea. Imagine kalea watoto wa wanawake wengine.
.
.
Mume alikimbia nyumbani akasahau familia maza wa watu yupo tu anahangaika na watoto. Mume akaugua sana huko aliko..wenyewe wamesema alilogwa,kaumwa ile mbaya alivyojua anakaribia kufa ndio anamkumbuka mke wake akarudi nyumbani haikuchukua hata mwezi mzee akadead..
.
.
Sasa hivi mama wa watu yupo tu maisha anatunzwa na watoto ( si mbaya). Mume alikuwa tajiri balaa lkn now mama hana kitu alichoachiwa zaidi ya nyumba. Maza anaumwa viungo mwili mzima madaktari wamesema ni kwaajili ya kufanya kazi ngumu sana na vipigo juu.
.
.
Haya sasa niambie ni nini huyo mama alichopata kutokana na uvumilivu wake? Ndio huu uvumilivu mnaotaka wanawake tuwe nao au ni upi? Kama ni uvumilivu huu sidhani kama kwa karne hii mtapata wanawake wa hivyo. Na huo ni unyanyasaji.
Weeee tena mimi kama mtu akinitelekeza akahamia kwa mchepuko wake, atakapoanza kuumwa hoi apitilize tu kijijini kwao, mimi mwenyewe nina allergy na shida. Wakiwa na maisha mazuri hawatulii na wake zao kutwa kuhangaika, yakiwashinda huko ndo anarudi na kijuso kinamshuka. Utauguzwa huku huko ulipokuwa unakula raha zako, nani anataka liabilities.
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Hadithi, hadithi njoo...........................
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Kama umemkuta mhuni lazima uone tofauti ,mmeo anakuhurumia lakini mhuni anakukunja mpaka kiuno kina gusa uso ukirudi nyumbani viungo vyote vimelegea
 
Kuna mama mmoja wa karibu sana na mimi. Huyu mama ni mvumilivu dunia nzima hakuna!
.
.
.
Ameishi kwa taabu sana na mumewe, kapigwa sanaaa, kafanyishwa kazi sanaaa...tena zile ngumu. Mumewe amezaa na wanawake tofauti tofauti kama watano hivi...wengine walimletea watoto wadogo wachanga huyo mama kawalea. Imagine kalea watoto wa wanawake wengine.
.
.
Mume alikimbia nyumbani akasahau familia maza wa watu yupo tu anahangaika na watoto. Mume akaugua sana huko aliko..wenyewe wamesema alilogwa,kaumwa ile mbaya alivyojua anakaribia kufa ndio anamkumbuka mke wake akarudi nyumbani haikuchukua hata mwezi mzee akadead..
.
.
Sasa hivi mama wa watu yupo tu maisha anatunzwa na watoto ( si mbaya). Mume alikuwa tajiri balaa lkn now mama hana kitu alichoachiwa zaidi ya nyumba. Maza anaumwa viungo mwili mzima madaktari wamesema ni kwaajili ya kufanya kazi ngumu sana na vipigo juu.
.
.
Haya sasa niambie ni nini huyo mama alichopata kutokana na uvumilivu wake? Ndio huu uvumilivu mnaotaka wanawake tuwe nao au ni upi? Kama ni uvumilivu huu sidhani kama kwa karne hii mtapata wanawake wa hivyo. Na huo ni unyanyasaji.

Hiyo ni rare case demi, uchepukaji wa huyo mzee sio wa mtu timamu, najua hakuna uchepukaji timamu. Ila na nyie muwe mnajiuliza inakuwaje mtu aliyekuwa anakupenda sana hadi akakuoa ameanza kutafuta wanawake wengine
 
Weeee tena mimi kama mtu akinitelekeza akahamia kwa mchepuko wake, atakapoanza kuumwa hoi apitilize tu kijijini kwao, mimi mwenyewe nina allergy na shida. Wakiwa na maisha mazuri hawatulii na wake zao kutwa kuhangaika, yakiwashinda huko ndo anarudi na kijuso kinamshuka. Utauguzwa huku huko ulipokuwa unakula raha zako, nani anataka liabilities.
ID yako na maneno yako ni mafuta na maji,

badilisha ID mdada, unaaibisha utukufu
 
Tena wakitoka kuchepuka anarudi kavimba ili usisubutu hata kuuliza.hawa watu waajabu sana!
Ndio wanawaoa sasa ukitaka Asia waajabu lbda umuumbe we hahahaha na mkiliwe nyny na kuleta watoto sio waajabu
 
Walijishusha sana kwa waume zao. Siku hizi wanawake mmekuwa watata mnataka usawa kila kitu. Mtaweza?
Kujishusha kivipi yaani. Tukijishusha ndio mnapata bichwa mnatunyanyasa. Hakuna mke ambaye hajawahi kujishusha kwa mwanaume. Na kama mke wako alikuwa anajishusha mara ghafla kabadilika ujue tatizo ni wewe!
.
.
Mnapenda tujishushe lkn nyie wajibu wenu kama mume hamtekelezi..bado tujishushe tu? Ifike pahala mtambue kuwa we are also human beings, we have feelings, what you feel we feel the same and even more! Unapotamani nje na sisi tunatamani.
.
.
Mapenzi ni both sides! Usitegemee upendwe wewe uheshimiwe wewe! Halafu usinipende nikupende, usiniheshimu nikuheshimu. SI KARNE YA SASA.
 
Endeleeni kumdanganya ili siku akivurumushwa mumsaidie kukaa nae. Aliyesema wanawake wana akili fupi hakukosea aisee.
Wanawake wa siku hizi wanajishughulisha, ukimfurumusha anajipangia zake maisha yanaendelea.

Ukiona mwanamke mpaka anafikia hatua hiyo jua kachokaaa!! Kila siku humu mnaleta mada za michepuko mnafurahia ila huyu mnamsema ndiyo muone ni kiasi gani inauma.
 
Weeee tena mimi kama mtu akinitelekeza akahamia kwa mchepuko wake, atakapoanza kuumwa hoi apitilize tu kijijini kwao, mimi mwenyewe nina allergy na shida. Wakiwa na maisha mazuri hawatulii na wake zao kutwa kuhangaika, yakiwashinda huko ndo anarudi na kijuso kinamshuka. Utauguzwa huku huko ulipokuwa unakula raha zako, nani anataka liabilities.
Uzuri wa ngoma ukiipata leo huumwi kesho ,lazima atakuambukiza tu haina jinsi nikuomba Mungu atuepushe
 
Yani badala ya kukaa na watoto uwafundishe mambo mazuri unaona solution ni kwenda kuchepuka? Bad wife, bad mother... watoto unawaacha na nani unapoenda kwa mchepuko!!

Hahha aisee umenichekesha, kweli Mungu sio Lusajo. Nani kasema anaenda kuchepuka?. Anyway nyie mnavyoenda kuchepuka watoto wanabakigi na kina nani? Afu kuchepuka sio lazima mtu atumie siku nzima, vimasaa vichache tu vinatosha unaendelea na majukumu ya watoto teh
 
Kuna mama mmoja wa karibu sana na mimi. Huyu mama ni mvumilivu dunia nzima hakuna!
.
.
.
Ameishi kwa taabu sana na mumewe, kapigwa sanaaa, kafanyishwa kazi sanaaa...tena zile ngumu. Mumewe amezaa na wanawake tofauti tofauti kama watano hivi...wengine walimletea watoto wadogo wachanga huyo mama kawalea. Imagine kalea watoto wa wanawake wengine.
.
.
Mume alikimbia nyumbani akasahau familia maza wa watu yupo tu anahangaika na watoto. Mume akaugua sana huko aliko..wenyewe wamesema alilogwa,kaumwa ile mbaya alivyojua anakaribia kufa ndio anamkumbuka mke wake akarudi nyumbani haikuchukua hata mwezi mzee akadead..
.
.
Sasa hivi mama wa watu yupo tu maisha anatunzwa na watoto ( si mbaya). Mume alikuwa tajiri balaa lkn now mama hana kitu alichoachiwa zaidi ya nyumba. Maza anaumwa viungo mwili mzima madaktari wamesema ni kwaajili ya kufanya kazi ngumu sana na vipigo juu.
.
.
Haya sasa niambie ni nini huyo mama alichopata kutokana na uvumilivu wake? Ndio huu uvumilivu mnaotaka wanawake tuwe nao au ni upi? Kama ni uvumilivu huu sidhani kama kwa karne hii mtapata wanawake wa hivyo. Na huo ni unyanyasaji.
My dear huo uvumilivu wa namna hiyo tuwachie bibi zetu lo!!! wanawake watano hao ndo kazaa nao je ambao hawakuzaaa aaaaiii nacheka kama mazuri.hapo nikufanya maamuzi magumu tu.
 
Kujishusha kivipi yaani. Tukijishusha ndio mnapata bichwa mnatunyanyasa. Hakuna mke ambaye hajawahi kujishusha kwa mwanaume. Na kama mke wako alikuwa anajishusha mara ghafla kabadilika ujue tatizo ni wewe!
.
.
Mnapenda tujishushe lkn nyie wajibu wenu kama mume hamtekelezi..bado tujishushe tu? Ifike pahala mtambue kuwa we are also human beings, we have feelings, what you feel we feel the same and even more! Unapotamani nje na sisi tunatamani.
.
.
Mapenzi ni both sides! Usitegemee upendwe wewe uheshimiwe wewe! Halafu usinipende nikupende, usiniheshimu nikuheshimu. SI KARNE YA SASA.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuwa mnyenyekevu na kuwa mjinga.
 
ID yako na maneno yako ni mafuta na maji,

badilisha ID mdada, unaaibisha utukufu
Wewe ibadilishe tu ID yangu kadri utakavyojisikia.
Kama mume akitaka kurudi a - make sure bado ni asset, sio mtu hueleweki apeche alolo, umekongoroka ndo unanirudia, ntakutoa nduki na zubeda lako, kwendraaa kijijini kwenu huko. Hata ukija vizuir sio guarantee ya kurudiana na wewe ila naweza kukufikiria Haha ahhaa daah
 
SI KARNE YA SASA.

Hapa ndo umeongea ukweli wenu. Mmetubadilikia sana nyie watu. Nyie ndo watunzaji wa nyumba sasa mkianza ligi mnaumiza watoto. busura zaidi kasema finally mume alijirudi, tumieni busara na maombi tu mwanaume atakaa sawa. "Mwanamke mwenye busara huijenga nyumba yake, mpumbavu..." unaijua hii quote?
 
Back
Top Bottom