Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,194
Nakujua wewe hapa huondoki hadi uone kikufuli na bango la "no further reply" teh tehNgoja nimjibie
Mimba itakuwaya ya mume.no matter what
Ila jamani mie si nishaaga kwenye huu uzi????
Nakujua wewe hapa huondoki hadi uone kikufuli na bango la "no further reply" teh tehNgoja nimjibie
Mimba itakuwaya ya mume.no matter what
Ila jamani mie si nishaaga kwenye huu uzi????
Nice comment, yako ilikuwa inatosha kbsMhhh,
Hv kuchepuka ndio jawabu?anyway hongera zako but hayo mambo ya kibamia sijui hajui kitu unayoyasema ni udhalilishaji kwa mumeo ila kila la kheri.
Nakunywa Balimi shosti sina hata gharama!Sweetheart unapendelea nini nikutumie zawadi? Mwenye masikio na akusikie, waache waendelee kuona kuwa kuchepuka ndo suluhu na ni haki yao. Hakuna mtu anayetosheka ni ile inafika stage unasema ngoja tu nitulie na mume wangu, no need of kuhangaika. Sasa wenzetu wanahisi wao tu ndo wanatamani/hawaridhiki
Hehehe kwani nyie mnavyochepukaga, si mnagonga shoo vizuri tu mnarudi home? Na wanawake wachepukaji wapo smart kama nyie, ukirudi home Unamkuta tu tena anakupokea kwa adabu zote. "Pole na kazi mume wangu" dadeki
Hhaha basi leo umezipata.Nakunywa Balimi shosti sina hata gharama!
Weeee tena mimi kama mtu akinitelekeza akahamia kwa mchepuko wake, atakapoanza kuumwa hoi apitilize tu kijijini kwao, mimi mwenyewe nina allergy na shida. Wakiwa na maisha mazuri hawatulii na wake zao kutwa kuhangaika, yakiwashinda huko ndo anarudi na kijuso kinamshuka. Utauguzwa huku huko ulipokuwa unakula raha zako, nani anataka liabilities.
Wewe ibadilishe tu ID yangu kadri utakavyojisikia.
Kama mume akitaka kurudi a - make sure bado ni asset, sio mtu hueleweki apeche alolo, umekongoroka ndo unanirudia, ntakutoa nduki na zubeda lako, kwendraaa kijijini kwenu huko. Hata ukija vizuir sio guarantee ya kurudiana na wewe ila naweza kukufikiria Haha ahhaa daah
Najua unanikubali points zangu..ni basi tu ego zako za kiume zinakusumbua!Hapa umeongea point hadi nimekupenda. Hapi kwenye kusolve matatizo hapo.

Haha tena mwambie asifunge virago yeye, ila akufungashie wewe virago vyako uhamie huko unakopata vyote unavyovitaka.Nina gelofrend yeye anasema akikufuma atanyanyua virago tu. Haya mambo ya visasi yeye hayawezi. Yeye na wewe wote mnahitaji maombi
Sana. Cases zipo nyingi. bibi zetu na mama zetu wamevumilia mengi.Sad! 😵
Ukiagiza soda hulali. Mimi nakunywa wine nakoroma vizuri tutaonana ukirudi!Hhaha basi leo umezipata.
Ila usiwe tu kama mtoa mada, yeye mume asiporudi ndo anaagiza na soda haha
Sawa mkuu tutawapenda na kuwaheshimIkifikia mpaka mwamamke anaamua kuchepuka jua yamemfika na kavumilia sana! wanaume wapendeni wake zenu na ukikosea omba msamaha yaishe, ila ukijifanya kiburi na kununa juu, watawachapia sana wake zenu.Huo ni ukweli usiofichika.
Relax ndugu. Ikinishinda haitakuwa mwisho wa dunia! Marriage is not everything in this world.
.
.
Bila ndoa mtoto unapata na penzi unapata. Nini zaidi nitamiss?
.
.
Remember We Only Live Once!
Wanaota hawa. Hiyo miaka yote nakaa namsubiri arudi, yeye nani?Girl umeona jinsi wanavyotaka ma door mats?!!
Akakitembeze huko, akachafue na matope ya kila aina and then God knows ataokota magonjwa mangapi, halafu anataka arudi akukute uko hapo unamsubiri afutie uchafu aliotoka nao nje.
Unbelievable!
Haha daahUkiagiza soda hulali. Mimi nakunywa wine nakoroma vizuri tutaonana ukirudi!
Hehehe kwani nyie mnavyochepukaga, si mnagonga shoo vizuri tu mnarudi home? Na wanawake wachepukaji wapo smart kama nyie, ukirudi home Unamkuta tu tena anakupokea kwa adabu zote. "Pole na kazi mume wangu" dadeki
Hahaa Yani hapo anajiona mwepesiiiii, hasira zitatoka wapi?..Huku ana kinywaji pembeni cha kumpa company wakati anamsubiri...lol