jiwemton
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 317
- 505
Ndugu yangu uwezi kujua kibamia kama ujakutana na dushe zito la maaanaChepuka lakini mambo ya kuanza kumsema eti kabamia ni upumbavu.Ina maana sasa ndio unagundua kuwa ana kabamia?
Ndugu yangu uwezi kujua kibamia kama ujakutana na dushe zito la maaanaChepuka lakini mambo ya kuanza kumsema eti kabamia ni upumbavu.Ina maana sasa ndio unagundua kuwa ana kabamia?
Hapo sasa, mtoto akiwa jambazi watashangaa?!Mume malaya, mke malaya
Huko kuvumilia ndio tatizo. Mnatake advantage uvumilivu wetu. Tunavumilia sana lkn uvumilivu una mwisho wake.Jifunzeni kwa mama zetu jinsi walivyovumilia mengi. Au mnataka kuwandisha nini watoto wenu?
Njoo umpime na upime na zako ndo utajua Mme Wang ana akili au hana tofaut ikiyopo baina yako na take wewe ni mkolon na yeye muelewa(changeable man according to the situation so humuwezi kuwa sawa upo hapo afaganstan man?)Huyo mumeo nae ni wakupimwa akili. Mimi nijue mke wangu wa ndoa umeliwa nje huo mtiti wake ni wa Afghanistan kama Siyo Iraq.
Nilikua sijawahi kuonja njee ndio maana nilikua namuonabonge la bwana cc hiv namcheka kizungu tu kama yy alivyokua ananichekaga na mauno yangu ya ki..
wala hatushindani na mtu, tunafanya tu wenyewe kwa starehe zetu. Afu wanawake mnaochepuka nao nyie wanashindana na nani kwani?Ni kweli. Msishindane na wanaume mtaumia.
Nitajie nini hasa walivumilia? Hapo ndio utagundua kuwa waliishi kama watumwa.Jifunzeni kwa mama zetu jinsi walivyovumilia mengi. Au mnataka kuwandisha nini watoto wenu?
Duuh we kiboko,umekumbuka mahaliUsitafute usawa kwa sababu wazazi wako walipokea Mali,wazazi wa mume wako hawakupokea mali
Ha ha hasasa hilo la kibamia linakujaje huku?? mngese sana wewe
Halafu sasa alivyokosa mshipa wa aibu, machafu ya ndani ya mumewe anayaanika, haitoshi anajisifia umalaya huyu mtoa post nina wasiwasi ana ugonjwa wa akili.Hapo sasa, mtoto akiwa jambazi watashangaa?!
Ikifikia mpaka mwamamke anaamua kuchepuka jua yamemfika na kavumilia sana! wanaume wapendeni wake zenu na ukikosea omba msamaha yaishe, ila ukijifanya kiburi na kununa juu, watawachapia sana wake zenu.Huo ni ukweli usiofichika.Nkujifarij tu lakin anaumia
Ooops we are not "our" mothersJifunzeni kwa mama zetu jinsi walivyovumilia mengi. Au mnataka kuwandisha nini watoto wenu?

Tena wasiri hao hutakaa ungudue.Yaani huu uzi ungeandikwa na mwanaume ungeona jinsi ambavyo angesifiwa!!!
Sasa hao wanaume wanaojisifiaga kuchepuka ndo wajue sasa kua wake zao hawawasubiri tu, nao wanatafuta michepuko! Huyu dada wala simshangai, sema tu yeye kajitoa ufahamu na kuandika hapa... Ila hili lipo kwenye jamii... Wanawake kibao kwenye ndoa wanachepuka. Wanaume waamke, usidhani kumueka ndani na kuendelea na michepuko unamkomoa... Mnakomoana siku hizi
Yani ndoa inakuwa kama relationship ya boss na kijakazi wake. Me mwenyewe napenda attention kama nini tehEti kwa nini attention wapewe wao tu kila wakati, as if ndoa ni ya upande mmoja.
Nitajie nini hasa walivumilia? Hapo ndio utagundua kuwa waliishi kama watumwa.
Akili gani hiyo ya kujua kitumbua chake kinaliwa na mwingine eti halafu ajirekebishe. Haibadilishi ukweli kwamba tayari umeliwa na mwanaume mwingine. Wacha niwe mkoloni tu kwakweli mambo mengine ni magumu kuyakubali akilini.Njoo umpime na upime na zako ndo utajua Mme Wang ana akili au hana tofaut ikiyopo baina yako na take wewe ni mkolon na yeye muelewa(changeable man according to the situation so humuwezi kuwa sawa upo hapo afaganstan man?)
Kuna mama mmoja wa karibu sana na mimi. Huyu mama ni mvumilivu dunia nzima hakuna!Jifunzeni kwa mama zetu jinsi walivyovumilia mengi. Au mnataka kuwandisha nini watoto wenu?
Tena wakitoka kuchepuka anarudi kavimba ili usisubutu hata kuuliza.hawa watu waajabu sana!Ni kweli unayosema.
.
.Asikwambie mtu wanawake wengi wanapoingia kwenye ndoa wanakuwa ni waaminifu sana na huwa wanajitahidi sana kutokuchepuka. Anaweza akawa anapata shida mume hamjali, ana michepuko anampiga lkn bado ataendelea kuwa mwaminifu.
.
.
Ukiona kachepuka ujue yamemzidia sana. Anachepuka ili kupata relief, mume hamsifii wala hamjali, akipata wa kumjali kidogo lazima achepuke. Mwanamke na yy ni binadamu anazo hisia.
Halafu ukiendelea na hii akili ndoa itakushinda .nishakuona wewe.Nitajie nini hasa walivumilia? Hapo ndio utagundua kuwa waliishi kama watumwa.
Ooops we are not "our" mothers![]()
So tuwafundishe mabinti zetu kuwa Ndoa ni mateso, ila wavumilie tu kuwa abused hadi siku watakapokufa, . Na watoto wetu wa kiume tuwafundishe kuwa "umalaya" ni njia sahihi, hakuna haja ya kumuheshimu Mungu wala viapo vyao vya ndoa, right?