Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Well kila mtu ana mawazo yake juu ya thread yako.Tuanzie hapa;angekuwa ni mwanaume kasema hayo maneno basi wanaume wenzie wangemuunga mkono ndoa nyingi sana wanaume wamekuwa wakichepuka na mara nyingi wake zao wanafahamu lakini viburi,madharau na kudhan kwamba hakuna chochote wanawake wanaweza fanya basi hata samahani au kuacha kabisa hawawezi kufanya.

Ni kweli mnachokifanya ni dhambi maana kila mmoja alijicommit kwa mwenzie ila tunasahau jambo moja kwamba mwanaume siku zote ni kichwa we learn from them,yote wanayoyafanya tunacopy kutoka kwao na sio wanaume wote lkn kuwa makini magonjwa mengi..Do what makes u happy na mm ningekuwa ww hata mzigo hapati maana alianza kugawa yeye
 
Kitu ambacho unakifanya ni kibaya zaidi ila kwasababu akili yako imefika mwisho basi endelea kwa raha zako na kama vip omba talaka kabisa uende hukoooooo
 
Matendo ya wake zenu ni matokeo ya matendo mnayofanya nyuma yao.
Ukizini na mkeo atagongwa tuu
Wewe dada hapo unalipa maovu ya mumeo anayoyafanya.
Ni kweli unayosema.
.
.Asikwambie mtu wanawake wengi wanapoingia kwenye ndoa wanakuwa ni waaminifu sana na huwa wanajitahidi sana kutokuchepuka. Anaweza akawa anapata shida mume hamjali, ana michepuko anampiga lkn bado ataendelea kuwa mwaminifu.
.
.
Ukiona kachepuka ujue yamemzidia sana. Anachepuka ili kupata relief, mume hamsifii wala hamjali, akipata wa kumjali kidogo lazima achepuke. Mwanamke na yy ni binadamu anazo hisia.
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
 
Ni kweli unayosema.
.
.Asikwambie mtu wanawake wengi wanapoingia kwenye ndoa wanakuwa ni waaminifu sana na huwa wanajitahidi sana kutokuchepuka. Anaweza akawa anapata shida mume hamjali, ana michepuko anampiga lkn bado ataendelea kuwa mwaminifu.
.
.
Ukiona kachepuka ujue yamemzidia sana. Anachepuka ili kupata relief, mume hamsifii wala hamjali, akipata wa kumjali kidogo lazima achepuke. Mwanamke na yy ni binadamu anazo hisia.
Vipi kuhusu wale wanaofanyiwa yote hayo na still kuwaona waume zao mabwege na kuanzisha chatting na wasenge wengine. Nje huko!
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
 
Ni kweli unayosema.
.
.Asikwambie mtu wanawake wengi wanapoingia kwenye ndoa wanakuwa ni waaminifu sana na huwa wanajitahidi sana kutokuchepuka. Anaweza akawa anapata shida mume hamjali, ana michepuko anampiga lkn bado ataendelea kuwa mwaminifu.
.
.
Ukiona kachepuka ujue yamemzidia sana. Anachepuka ili kupata relief, mume hamsifii wala hamjali, akipata wa kumjali kidogo lazima achepuke. Mwanamke na yy ni binadamu anazo hisia.
Me Siku hzi nkiskia mwanamke kacheat naguna tu..
Na tunapoelekea wanawake kucheat itakua kawaida sana maana wanaume wamezidi
Wakati kuna thread humu Jf wanaume wanajisifia kutembea na wake za watu..
Ndo wayaone sasa.
 
Vipi kuhusu wale wanaofanyiwa yote hayo na still kuwaona waume zao mabwege na kuanzisha chatting na wasenge wengine. Nje huko!
Hao pia wapo. Wanawake wanaowatesa wanaume hawakosekani..na mke akiwa haeleweki mume atachepuka tu. So kumponda huyo dada mnakosea sana. Mnataka avumilie tuuu kwasababu yeye ni mwanamke au?
 
Una mpango wa kuchepuka na mwanaume huyo huyo mmoja au utabadilisha. Niweke oda mapema
 
Me Siku hzi nkiskia mwanamke kacheat naguna tu..
Na tunapoelekea wanawake kucheat itakua kawaida sana maana wanaume wamezidi
Wakati kuna thread humu Jf wanaume wanajisifia kutembea na wake za watu..
Ndo wayaone sasa.
Imeshakuwa kawaida.
 
wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
Acha kumshauri mwenzako ujinga
 
wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
Haswa dear
 
Hivi ni nani atakuwa mbabe wa hiyo vita!!! Nauliza tu!

Wakuu mimi bado najiuliza swali moja tu hasa nikiona maada kama hizi,

Hivi mimi siku nikiamua kwamba leo sasa naoa hivi maisha na familia yangu yataendaje!! Maana ninayoshuhudia humu bado kuchukua maamzi ya kuwa na mke yanakuwa magumu?
 
Back
Top Bottom