Kuchepuka raha

Bora wewe umetoa ushuhuda. Yaani hapo mume alitegemea uendelee kulia ukose raha..wanaume hawajui ni jinsi gani tunapenda amani ndani ya ndoa. Tunavumilia sana lkn tunachoka pia. Uvumilivu hautadumu milele!
Uvumilivu una kikomo kwa kweli!Wafunguke tu akili wajue liwapasalo kutenda
 
Asante kwa ushuhuda
 
Mi nnachojiuliza hadi sasa......
Wanawake hatutakiwi kuchepuka, tukichepuka dhambi, tunaenda kinyume na asili.... Sasa WAUME ZETU WANACHEPUKA NA KINA NANI? Au wanapiga mashouga???
Mmhh...
 
Michepuko sisi tunakuwa nayo na huwa tunakamatika kiurahisi. Sisi michepuko huwa tunaipa hadi namba za simu tunazotumia kila siku.

Ila kwq wanawake waache tu ndiyo maana wanabaki kusema wanaume wanaongoza kwq kuchepuka.
Kwa kweli wametuzidi mbinu, usiyaamini machozi yao ukajua ni innocent, ni uzugaji ili usigundue nyendo zake. Wanaume tuna tumia sana simu lakini wenyewe ni MANUALLY na wauza mboga, bucha, ulembo,....
 
Huyoooo ni chaguo lako!!

Basi hayo yanayokukera tafta namna bora ya kuyazungumza na mtaelewana vizuri tu.

Nilikuwa na tabia mwenzangu anaweza kunikera nikakaa nalo nakuja kulitoa siku nyingineee(yaani narundika makosa) siku moja ikabidi aniambie tu, kuwa "mama ninapokukwaza(bila kujua) naomba uniambie, usiniwekee kinyongo its not good for yo health too" na tuliongea sanaaa, aliniacha niyatoeeee yooote hadi niwe mwepesiiii.

From there nimeacha kwakweli, and nikajikuta am falling in love with him again. Mawasiliano mazuri baina ya wapendanao(wanandoa) ni muhimu sana, there is where you find what connects you. Unapompata mtu muelewa ni raha sana.

Kwahiyo hayo yanayokukwaza hebu tafuta njia nzuri ya kuyamaliza na mwenzako ili mfurahie maisha yenu. But remember makwazo hayawezi kuisha because she is a human being too but love 'll always connect you back. Msijisahau tu.
 
Kwa kweli wametuzidi mbinu, usiyaamini machozi yao ukajua ni innocent, ni uzugaji ili usigundue nyendo zake. Wanaume tuna tumia sana simu lakini wenyewe ni MANUALLY na wauza mboga, bucha, ulembo,....
Hatuchepuki bwana hebu usiwadanganye wenzio, au umesahau kuwa wanwake hawapaswi kuchepuka?
 
Dah! Ukurasa wa 105 na bado tunatoka povu! We binti Kisia kweli umetupatia wanaume. Hapa lazima tuwe wapole tu. Huu uzi unazidi kudhihirisha kwamba sisi wanaume hatutaki kuamini kwamba
matendo yetu yanaweza pelekea wake/wapenzi wetu wanaweza kufanya maamuzi ya kuchepuka na kisha kufurahia kitendo hicho. Tujitahidi basi kutofanya matendo yanayoweza pelekea wake/wapenzi wetu kuchepuka. Na kama itashindikana
basi matendo hayo yafanyike huku heshima na staha ya wenzi wetu ikipewa kipaumbele
 
Ahsante kwa kuja.
 


uko kwenye ndoa?????!

heshima tunawapa ila haiwezi Zidi ya mchepuko
 
Aaah kama nakuona ulivyo fall In love again na daddy
 
Kwa kweli wametuzidi mbinu, usiyaamini machozi yao ukajua ni innocent, ni uzugaji ili usigundue nyendo zake. Wanaume tuna tumia sana simu lakini wenyewe ni MANUALLY na wauza mboga, bucha, ulembo,....
Kabisa mkuu.
 
Umeongea ukweli maana Ujumbe wake umeibua mbinu nyingi sana ambazo zitatumika kuchepuka kwa wale ambao walikuwa si wachepukaji. Tunayajua mengi kupitia comments za akina espy, nao, Nalendwa, Evelyn Salt, demi, Heaven Sent, na wengineo.
 
Amen. Ubarikiwe sana
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…