Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,769
- Thread starter
- #21
Ukiona hivyo usimtoe out, muingize in.
Halafu uone kama ataangalia simu mpaka kitandani.
Akiangalia simu kitandani hayo ni makosa yako ya kiufundi.
Ukiona hivyo usimtoe out, muingize in.
Halafu uone kama ataangalia simu mpaka kitandani.
Akiangalia simu kitandani hayo ni makosa yako ya kiufundi.
Inasikitisha sana...
Mimi huwa nauliza .. eeeh nini ?? Kwa sura serious no way, siwezi vumilia ujinga wa hivyo.