1. usifikiri wanawake wote wako ki-pesa zaidi, hao ni wale wanaojiuza tu.
2. Mapenzi yameanza toka binaadam wa kwanza duniani, mpaka hii leo, ni nini kipya utachovumbuwa? Fikiri.
3. Huo ni udhaifu wa roho.
4. Kumbe njaa ndiyo inakusumbuwa?
Sasa kamuulize mama'ko na yeye alimfanyia hayo yote baba'ko?
1. Alimpunguzia matumizi baba'ko?
2. Alimletea staili mpya baba'ko?
3. Aliongeza mapenzi kwa baba'ko kwa kuzini nje?
4. Baba'ko alipofulia alikuta msosi mzuri nyumbani? pamoja na wewe?
Qur'an 17:32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.![]()
ahaaaaaa! kamanimekuelewa vizuri inawzeka mtoa mada ni product ya mchepuko wabi mkubwawake!