Kuchapiwa ni faida kwa wanaume

Kuchapiwa ni faida kwa wanaume

Kwa wanaume,
Ukisikia mkeo analambwa nje furahia, na msisitizie awaambie jamaa zake watumie kondomu ili unufaike kwa haya yafuatayo.

1. Unapunguziwa matumizi(Lazima anapewa pesa)
2. Unaletewa staili mpya za mapenzi
3. Mapenzi yanazidi ili husijeshtukia dili.
4. Ukifulia una uhakika wa kukuta msosi mzuri nyumbani.

Kwa mujibu wa signature ya FaizaFoxy

Qur'an 17:32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
 
Last edited by a moderator:
Kuchapiwa na ushoga vinauhusiano gani dada? Ina maana wewe tangu uanze kubeba wanaume hamna yeyote aliyeshawahi kukupumulia kisogoni?

Mkuu,

Mi nadhani wewe kama mtoa mada huna haja ya kurudisha "insults". Utanufaika zaidi kwa kuchochea broad and general debate lakini sio kuwa defensive, then sio lazima ujibu kila posting. Utaona kwamba the most virulent reaction inatoka kwa kina mama na there is a reason!!!! Hii link ina some reasons.

12 Qualities Women Want in Their Men

mimi nina ushauri dont hurt your own contributors by counter-insulting them after they have taken time to contribute to your thread. I would laugh off the reaction if i was in your position. But i honestly detest the manner you insulted one contributor, albeit it being a counter reaction from you.

cc FaizaFoxy, umukagame,
 
Last edited by a moderator:
Kajibu, lakini si majibu ya maswali yangu, amekasirika kutajiwa mama'ke lakini yeye anaona raha kuja na ujumbe kwa mama na baba za wenzake. hapo sasa!

Niliyaona. I saw no real answers.
 

mmmmh! mimi nina 24,,,ungekuwa rika langu ningekuambia umeingia choo cha kike ila kwa huo umri nasema (kama tu ni mwanaume kweli maana siku hizi kina bujibuji mko wengi humu) dingi umezingua.
 
FaizaFoxy,
Shukran sana, honestly hii ni 100% embarassment kutoka kwa "mwanaume" akifurahia "mkewe" amlishe msosi haram na amletee ujuzi wa kujaamiana toka mitaani. Mashaka yangu ni kuwa kwa "quality" ya thread yake sioni "ataanzia wapi" kukujibu. Yaelekea alipoandika hakuzingatia kuwa mama aliyemzaa ni mwanamke na baba ni mwanaume na wanaweza guswa na mada husika. Huu ni mchango mzuri sana

Nimemjibu kwanza kwa kumlaumu kuingiza wazazi wangu kwenye mada hii, pia panapoleta utata ni wapi? kuchapiwa? kufundishwa staili? kusaidiwa majukumu? au? suppose hivyo vitu vyote vinafanyika bila kujua kama ni matokeo ya kuchapiwa ni nani angevikataa?
 
mmmmh! mimi nina 24,,,ungekuwa rika langu ningekuambia umeingia choo cha kike ila kwa huo umri nasema (kama tu ni mwanaume kweli maana siku hizi kina bujibuji mko wengi humu) dingi umezingua.

Niko choo cha kiume kaka. Ebu niambie, kwenye maneno yangu ni wapi nilipoandika mimi nafanyiwa hivyo, au mimi nilishasikia mke wangu anachepuka? Mara nyingi watu wanashindwa mtihani sababu ya kutoelewa swali au ku implement hoja zake kabla ya kuelewa hoja zilizoletwa.
Kama nilivyosema, kwa aliyesikia mke wake anamegwa ndo ajibu hoja. wengine toeni maoni bila kunitukana jamani.
 
1. usifikiri wanawake wote wako ki-pesa zaidi, hao ni wale wanaojiuza tu.
2. Mapenzi yameanza toka binaadam wa kwanza duniani, mpaka hii leo, ni nini kipya utachovumbuwa? Fikiri.
3. Huo ni udhaifu wa roho.
4. Kumbe njaa ndiyo inakusumbuwa?

Sasa kamuulize mama'ko na yeye alimfanyia hayo yote baba'ko?

1. Alimpunguzia matumizi baba'ko?
2. Alimletea staili mpya baba'ko?
3. Aliongeza mapenzi kwa baba'ko kwa kuzini nje?
4. Baba'ko alipofulia alikuta msosi mzuri nyumbani? pamoja na wewe?

17_32.GIF
Qur'an 17:32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.

Tobaaaaaaaaa....bibi FaizaFoxy Umeuaaaaaaa...yani umemalizaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu,

Mi nadhani wewe kama mtoa mada huna haja ya kurudisha "insults". Utanufaika zaidi kwa kuchochea broad and general debate lakini sio kuwa defensive, then sio lazima ujibu kila posting. Utaona kwamba the most virulent reaction inatoka kwa kina mama na there is a reason!!!! Hii link ina some reasons.

12 Qualities Women Want in Their Men

mimi nina ushauri dont hurt your own contributors by counter-insulting them after they have taken time to contribute to your thread. I would laugh off the reaction if i was in your position. But i honestly detest the manner you insulted one contributor, albeit it being a counter reaction from you.

cc FaizaFoxy, umukagame,

Sawa Mkuu. I get what you mean.
 
naona haya kutokana na hii thred yako:
1.wewe ni mtoto wa kiume na sio mwanaume

2.kichwa cha habari hakifai kwa kuwa kimegeneralize sana at least kingekuwa kuchapiwa ni faida kwangu,kwa kuwa hayo umeyasema na kuyaona wewe,kwani kuna wanaume wengine wamo humu walikuambia kuwa wanaona sawa tu kuchapiwa wake zao?

3.unapenda kulelewa kiasi uko radhi mkeo aliwe,sitaona hatari hata kama ukipigika haswa na wewe ukaamua kuliwa,mashoga wengi wameingia huko kwa ajili ya kupenda kulelewa na vya bure.

4mkeo ana hasara na kama yumo humu na id yako anaijua na anajitambua mwandalie talaka mapema kabisa aikute mezani hufai hata kwa kulumangia.

think big nafasi bado ipo ya kubadilika bado hujachelewa.

ni hayo tu mkuu JustDoItNow.
5- km ana wototo KASINGIZIWA maana hahitaji mrithi wa jina lake.

6- Hakuna kiumbe anayekubali mal zake kuliwa sembuse Jogoo ila Nguruwe tu ndio hana wivu
 
asante kwa kuongezea mkuu maaneke mijitu mingine haifikirri kutumia kichwa aisee.
5- km ana wototo KASINGIZIWA maana hahitaji mrithi wa jina lake.

6- Hakuna kiumbe anayekubali mal zake kuliwa sembuse Jogoo ila Nguruwe tu ndio hana wivu
 
Uwe basi unafikiria kabla hujapost chochote angalia sasa kila mtu mwisho wa siku ana conclude utaliwa ----...!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Uwe basi unafikiria kabla hujapost chochote angalia sasa kila mtu mwisho wa siku ana conclude utaliwa ----...!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Sawa mkuu wewe wasema. Lakini research yangu inakwenda vizuri. Wengi humu wanaonekana ni wazinifu kwa jinsi wanavyojibu. Ntakuja na nyingine kali kuliko hiyo ili niandike conclusion
 
Niko choo cha kiume kaka. Ebu niambie, kwenye maneno yangu ni wapi nilipoandika mimi nafanyiwa hivyo, au mimi nilishasikia mke wangu anachepuka? Mara nyingi watu wanashindwa mtihani sababu ya kutoelewa swali au ku implement hoja zake kabla ya kuelewa hoja zilizoletwa.
Kama nilivyosema, kwa aliyesikia mke wake anamegwa ndo ajibu hoja. wengine toeni maoni bila kunitukana jamani.

natanguliza msamaha kutokana na umri wako mkubwa sana kuliko wangu, lakini mimi binafsi sioni tofauti kati ya kusema na kuandika kwa kuwa zote ni lugha(rejea tafrisi ya lugha), kutokana na kauli zako jaribu kuzichuja kwanza ili anayekusikiliza afaidike nazo baada ya kuelewa vizuri na ikitokea akakanganyika basi umueleweshe.
umefikia umri wa kutoa maneno ya busara na ya kukanya vijana dhidi ya tabia mbaya zenye madhara mbeleni, binafsi nilitegemea ungeutumia uzi wako ufafanua madhara ya kuchapiwa mke ili iwe funzo kwa vijana wengi na mimi nikiwemo.
 
natanguliza msamaha kutokana na umri wako mkubwa sana kuliko wangu, lakini mimi binafsi sioni tofauti kati ya kusema na kuandika kwa kuwa zote ni lugha(rejea tafrisi ya lugha), kutokana na kauli zako jaribu kuzichuja kwanza ili anayekusikiliza afaidike nazo baada ya kuelewa vizuri na ikitokea akakanganyika basi umueleweshe.
umefikia umri wa kutoa maneno ya busara na ya kukanya vijana dhidi ya tabia mbaya zenye madhara mbeleni, binafsi nilitegemea ungeutumia uzi wako ufafanua madhara ya kuchapiwa mke ili iwe funzo kwa vijana wengi na mimi nikiwemo.

Labda nikueleze kwa mfano huu, unapotaka kujua kuwa hewa iliyomo kwenye test tube kama ni oxygen au naitrojen, ni lazima una i burn. Matokeo ya kuungua kwa ile ges ndo utajua kuwa ni aina gani ya gesi. Mimi nimetumia njia hiyo ilikuanalyse vitu fulani kwenye hii MMU. Watu humu wamejibu kwa kunishambulia sana ikimaanisha wengi wao aume kwa wake wanafanya hivyo, na hata mmoja wao aliyenitukana kuwa mimi ni shoga alianzisha thread yake baadaye eti anasema huwa anajaribu ku act kutembea na mtu hasiyempenda mara kadhaa bila mafanikio. Hiyo ni michepuko kaka.
I burn them to idetify them.
 
Sidhani kama kuna mwanaume rijali anayeweza kufurahia kuchapiwa kwa mkewe hata kama ana dhiki mpaka kuchani
 
Back
Top Bottom