Kuchapiwa ni faida kwa wanaume

Kuchapiwa ni faida kwa wanaume

Duh! Naona wewe unaweza ukamrushia condom dirishani mwizi wa mkeo, ukisisitiza amle mkeo kwa condom.

Sasa kama kashaweza kuingia mpaka chumbani si bora nimrushie hasije akapigwa kavu kavu? maradhi mengi........LOL
 
naanza kuona mwisho wa great thinker's humu ndani wengi ni pumba thinker's
 
naona haya kutokana na hii thred yako:
1.wewe ni mtoto wa kiume na sio mwanaume

2.kichwa cha habari hakifai kwa kuwa kimegeneralize sana at least kingekuwa kuchapiwa ni faida kwangu,kwa kuwa hayo umeyasema na kuyaona wewe,kwani kuna wanaume wengine wamo humu walikuambia kuwa wanaona sawa tu kuchapiwa wake zao?

3.unapenda kulelewa kiasi uko radhi mkeo aliwe,sitaona hatari hata kama ukipigika haswa na wewe ukaamua kuliwa,mashoga wengi wameingia huko kwa ajili ya kupenda kulelewa na vya bure.

4mkeo ana hasara na kama yumo humu na id yako anaijua na anajitambua mwandalie talaka mapema kabisa aikute mezani hufai hata kwa kulumangia.

think big nafasi bado ipo ya kubadilika bado hujachelewa.

ni hayo tu mkuu JustDoItNow.

Una umri gani?
 
Siku ukija kuolewa ndo utaelewa nini maana ya mke au mume!
 
Kwa wanaume,
Ukisikia mkeo analambwa nje furahia, na msisitizie awaambie jamaa zake watumie kondomu ili unufaike kwa haya yafuatayo.

1. Unapunguziwa matumizi(Lazima anapewa pesa)
2. Unaletewa staili mpya za mapenzi
3. Mapenzi yanazidi ili husijeshtukia dili.
4. Ukifulia una uhakika wa kukuta msosi mzuri nyumbani.

This thread is Nonsense and unacceptable
 
Kwa wanaume,
Ukisikia mkeo analambwa nje furahia, na msisitizie awaambie jamaa zake watumie kondomu ili unufaike kwa haya yafuatayo.

1. Unapunguziwa matumizi(Lazima anapewa pesa)
2. Unaletewa staili mpya za mapenzi
3. Mapenzi yanazidi ili husijeshtukia dili.
4. Ukifulia una uhakika wa kukuta msosi mzuri nyumbani.

Nipe wako nihondomole!
 
Unatuaibisha ss wanaume, hata kama hakuna ajira ila tunaangaika wake na watoto zetu waishi vizuri Anglia Sana usije ukagongwa!!!!
 
Kwa wanaume,
Ukisikia mkeo analambwa nje furahia, na msisitizie awaambie jamaa zake watumie kondomu ili unufaike kwa haya yafuatayo.

1. Unapunguziwa matumizi(Lazima anapewa pesa)
2. Unaletewa staili mpya za mapenzi
3. Mapenzi yanazidi ili husijeshtukia dili.
4. Ukifulia una uhakika wa kukuta msosi mzuri nyumbani.
Unajua kuna Mabibi na Mabwana halafu na wale wengine!

Naona upo kwenye group la wale wengine!
 
wewe una mke? kama ndio mwambie amtafute mtu inaitwa JT! maana ni mbumbumbu anaweza sema hivyo!
 
Kwa wanaume,
Ukisikia mkeo analambwa nje furahia, na msisitizie awaambie jamaa zake watumie kondomu ili unufaike kwa haya yafuatayo.

1. Unapunguziwa matumizi(Lazima anapewa pesa)
2. Unaletewa staili mpya za mapenzi
3. Mapenzi yanazidi ili husijeshtukia dili.
4. Ukifulia una uhakika wa kukuta msosi mzuri nyumbani.
Nakataa, Siwezi mfanya mke wangu kitega uchumi hata niwe choka mbaya kiasi gani, nitajua nipigane vipi hadi kieleweke
 
Kwa wanaume,
Ukisikia mkeo analambwa nje furahia, na msisitizie awaambie jamaa zake watumie kondomu ili unufaike kwa haya yafuatayo.

1. Unapunguziwa matumizi(Lazima anapewa pesa)
2. Unaletewa staili mpya za mapenzi
3. Mapenzi yanazidi ili husijeshtukia dili.
4. Ukifulia una uhakika wa kukuta msosi mzuri nyumbani.

Fanya kazi kijana acha mawazo ya kijinga
 
Back
Top Bottom