drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
kwakweli limekuwa jambo sugu na limewalemaza wengi watu wanapanga harusi ya 7mil 10 mil yy anatoa laki 2 tu imeshajangeka akilini kwamba arusi ni garama sana mpaka uwe na mamilioni mtu kalipa mahari,kanunua pete za arusi, nguo zenu zote za arusi kila kitu tayari lakini awezi kufungisha ndoa mpaka afikirie namna ya kuwalisha watu 300 au zaidi mwisho wanaishia kumimbishana nafikiri ipo aja sasa ata viongozi wa dini kuhamasisha wanandoa kama mtu amejipanga vizuri kwa vitu vya msingi wafungishwe ndoa waende om waandae kipati cha familia mbili na marafiki bila mchango wa mtu jamani hii ndio wazo langu na ukifika wakati wangu nitafanya na nitatangaza hapa na nitaomba wawakilishi from jf