Kubwa Kuliko...!

Kubwa Kuliko...!

Wabongo tuna kazi kwenye kutamka na kuyaandika haya maneno...

3. FIRE EXTINGUISHER = Fire Tigisher

Hii ni kweli nimeishakutana nayo, Mzee mmoja msimamizi wa kiwanda nilimsikia vizuri akisema;

''fayaukishatingisha'' alafu ''do you understand = ushaenda stendi''
 
Determine - (wengi huisomakama ditamaini)
examine - (wengi huisoma kama exzamaini)
 
hata wafanyakazi wa benki wenyewe wanasema benki ya crdb, au kcb bank tanzania ltd

The name's been changed to CRDB Bank, so wakisema benki ya CRDB ni kiswahili chake tu......Wako sahihi kabisa,
 
Back
Top Bottom