Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,427
Birthday - Bathdei
We nawe. . . Sasa ubaya uko wapi hapo?
Birthday - Bathdei
Kazamia manake ndo zake!
Majukumu dada si unajua wifi yako kajifungua mtoto wa 12 kwahiyo ndani hakukaliki kabisa...lol
Leo utanikuta kwenye skype yako....ikifika mida..Lizzy amesema atakuwa anaripoti kama vile Al JazeeraNdo maana hata JF simuoni, sijui ndo kaanza holiday? Niletee wawili nikutunzie kaka yangu,umenitoa mbali,nirudishe wema kidogo!
Leo utanikuta kwenye skype yako....ikifika mida..Lizzy amesema atakuwa anaripoti kama vile Al Jazeera
Mie mpaka kesho naiita balabendi.Rubberband-balabendi
hii ni lazima wote mshawahi kusema.
We nawe. . . Sasa ubaya uko wapi hapo?
Hata hivyo si utakuwa uko maeneo ya Libya ni vigumu mno kukugusa maana nasikia utakuwa na vibomu viwili kwa ajili ya kujhami na waasi..lolWewe. . .muone vile. Kisa cha kulipua cover langu?
Leo utanikuta kwenye skype yako....ikifika mida..Lizzy amesema atakuwa anaripoti kama vile Al Jazeera
Yaani kabisa huuoni au unataka kuleta ligi isiyo na kombe?
Hata hivyo si utakuwa uko maeneo ya Libya ni vigumu mno kukugusa maana nasikia utakuwa na vibomu viwili kwa ajili ya kujhami na waasi..lol
Hahahaha ahsante dearest!!He he he he....can't wait..am excited already....Lizzy wangu muache tu ana vipaji vingi sana,hicho cha u-reporter ni kipya!
Sijaona. . . Nionyeshe!!
Hahahaha!!! Hii utotoni tuliisema sana, ila hadi sasa kuna watu wazima bado hawawezi kusema rubber-band wanasema balabendi..lol
Hahaha. . .
We jifanye mjanja tu, haki ya nani ntakuzuia kuingia!!
Hahahaha ahsante dearest!!
Leo sasa ndio utaniona/nisikia kikazi zaidi.
Siku hizi kamusi za kwenye mtandao zina miongozo ya matamshi. Nakushauri uingie Merriam-Webster au Oxford Advanced Learner's Dictionary usikie linavyotamkwa!!
Sasa ingia usikilize halafu uje uniambie kama kuna "a" (hii yetu ya Kiswahili na siyo "ei") kwenye hilo neno.
Kwa kukusaidia zaidi, phonetic symbols za hilo neno ni hizi hapa "bɜːrθdeɪ"
Sasa kama umesoma Isimu utajua hilo alama zinatamkwaje. Lakini kama hujasoma huwezi kujua
Ndivyo nnavyojua dearest. . . na mimi niliambiwa ntakua na mkaka mmoja pia. Usikute. . . . . . . . dah ngoja niulize vizuri.Dearest, sijaelewa,nawe utakuwa mlinzi wa mlangoni pale British Council? manake mi nimeomba iyo kazi wamenipa na mkaka mmoja!
We nawe. . .
Haya ahsante kwa somo!!
10. AUTO (should be pronounced Oto) lakini watu wanaitamka kama inavyoandikwa. Na hili kosa hufanywa na zaidi ya 95% ya wabongo.Wabongo tuna kazi kwenye kutamka na kuyaandika haya maneno...
1. SIDE MIRRORS = Sight Mirrors, Site Mirror
2. HELMET = Element, Elementi, Elmet
3. FIRE EXTINGUISHER = Fire Tigisher
4. RAV 4 = Rava 4
5. AC = IC
6. MAYFAIR = MAIFEA
7. BLACKBERRY = Blackaberry, Blackbel
8. VITZ = Vitis
9. Redds = Redis